Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Huyo hana jema kwa watanzania, si unakumbuka alivyo mtukana kadinari Pengo?Huu ni muendelezo wake wa kuchukia uislamu kwann asimfananishe na mbibi wa kikristo,mm ni mkristo AICT,lkn naona gwajiboy ana chuki sn na uislamu
Sent using Jamii Forums mobile app