Askofu Gwajima asema yeye na Abbas Tarimba ni mapacha, amkaribisha kanisani kwake na kumpigia kampeni

Askofu Gwajima asema yeye na Abbas Tarimba ni mapacha, amkaribisha kanisani kwake na kumpigia kampeni

Mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema yeye na mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni ni mapacha.

Gwajima amesema hayo leo alipomkaribisha Abbas Tarimba Kanisani kwake na kumtambulisha kwa waumini wake ambao walimshangilia kwa nderemo na vigelegele.

Mchungaji Gwajima amesema yeye na Abbas Tarimba wameletwa na Mungu kuwatumikia wananchi wa Tanzania.

Chanzo: Eatv

My take: Mnaosema Gwajima ana chuki na waislamu soma hiyo!

Maendeleo hayana vyama.
Upo serious kweli wewe?
Kwahyo Tarimba ambaye anaenda mchezo wa kamari(sportpesa) na mlaa riba vitu ambavyo ni haramu katika uislam ndo muislamu wa kuthibitisha kuwa Gwajima yupo pamoja na waislamu?
 
Mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema yeye na mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni ni mapacha.

Gwajima amesema hayo leo alipomkaribisha Abbas Tarimba Kanisani kwake na kumtambulisha kwa waumini wake ambao walimshangilia kwa nderemo na vigelegele.

Mchungaji Gwajima amesema yeye na Abbas Tarimba wameletwa na Mungu kuwatumikia wananchi wa Tanzania.

Chanzo: Eatv

My take: Mnaosema Gwajima ana chuki na waislamu soma hiyo!

Maendeleo hayana vyama.
Huu nao ni ujinga waliopelekewa wajinga waliokusanywa kwenye jumba wanaloliita kuwa ni "kanisa"! Watu na akili zao wanakusanywa na mtu asiye na sifa za kichungaji halafu anawageuza mazezeta leo anawaambia hili kesho anawaambia hivi nao wanapiga makofi nchi hii ina wehu kibao Pale Tarimba amepelekwa kufuta upuuzi wake kwamba atafuta madrasa! Zamani watu kama Gwajima waliitwa ma TP! Ukweli waumini wa Ufufuo wanaongozwa na TP waliomshtukia mapema walitafuta makanisa zamani wakajiondokea!
 
Uislam unakataza kamari na riba... yeye ndio anahamasisha kisha "...wanataka watuaminishe kuwa kaalika muislamu kanisani anamtafutia kura!!!" Haya basi na amualike Sheikh Ponda au Sheikh Kishki ili wamsafishe vizuri!!!
Samahani kwan ndugu zangu waisilamu hamna anayebet?
 
Naomba picha ya Mdee akiwa na Sheh wake. Bora Askofu ambaye ni mkristo kuliko yule mdada mwenye dharau na matusi kwa kila aliyemzidi
IMG-20200730-WA0043.jpg
 
Mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema yeye na mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni ni mapacha.

Gwajima amesema hayo leo alipomkaribisha Abbas Tarimba Kanisani kwake na kumtambulisha kwa waumini wake ambao walimshangilia kwa nderemo na vigelegele.

Mchungaji Gwajima amesema yeye na Abbas Tarimba wameletwa na Mungu kuwatumikia wananchi wa Tanzania.

Chanzo: Eatv

My take: Mnaosema Gwajima ana chuki na waislamu soma hiyo!

Maendeleo hayana vyama.
Makanisa siku hizi ni mali ya ccm?
 
Tapeli na muhuni

Video: Gwajima ukiwa muongo usiwe msahaulifu, alisema Kuutaka Ubunge ni kujishusha chini

Mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema yeye na mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni ni mapacha.

Gwajima amesema hayo leo alipomkaribisha Abbas Tarimba Kanisani kwake na kumtambulisha kwa waumini wake ambao walimshangilia kwa nderemo na vigelegele.

Mchungaji Gwajima amesema yeye na Abbas Tarimba wameletwa na Mungu kuwatumikia wananchi wa Tanzania.

Chanzo: Eatv

My take: Mnaosema Gwajima ana chuki na waislamu soma hiyo!

Maendeleo hayana vyama.
 
Mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema yeye na mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni ni mapacha.

Gwajima amesema hayo leo alipomkaribisha Abbas Tarimba Kanisani kwake na kumtambulisha kwa waumini wake ambao walimshangilia kwa nderemo na vigelegele.

Mchungaji Gwajima amesema yeye na Abbas Tarimba wameletwa na Mungu kuwatumikia wananchi wa Tanzania.

Chanzo: Eatv

My take: Mnaosema Gwajima ana chuki na waislamu soma hiyo!

Maendeleo hayana vyama.

Kauli za majukwaani mara nyingi hazibebi maana halisi.
Ingekuwa mimi nisingeambatana na watu vigeugeu wanaomsingizia Mungu kuwa amewatuma wakati wametumwa na matumbu ya wao wenyewe
 
Utapeli kwa mgongo wa dini!

Kutumia nyumba za badala kufanya kampeni,ni kujimaliza kisiasa.

Huyu kura za Waislaumu hapati kabisa na hata za wakristo wa madhehubu mengine pia hatozipata kwani hawamuamini.
Hahaaa!! Tuache kujifariji kiivo mzee
 
Mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema yeye na mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni ni mapacha.

Gwajima amesema hayo leo alipomkaribisha Abbas Tarimba Kanisani kwake na kumtambulisha kwa waumini wake ambao walimshangilia kwa nderemo na vigelegele.

Mchungaji Gwajima amesema yeye na Abbas Tarimba wameletwa na Mungu kuwatumikia wananchi wa Tanzania.

Chanzo: Eatv

My take: Mnaosema Gwajima ana chuki na waislamu soma hiyo!

Maendeleo hayana vyama.
Kwani aliyetaka kugeuza misikiti kuwa sunday school ni nani? Pili unasema kampigia kampeni kwani kampeni zisharuhusiwa kuanza? Tatu huyo Tarimba bado ni boss wa makamari ambayo uislam umekataza?
 
Gwajima pressure imepanda mapema hivi?! na bado, game ndio hata bado filimbi ya kuanza haijapulizwa, kazi anayo.

Halafu huyo tapeli anafanya kampeni kanisani kwake waziwazi na waumini wake wanachekelea tu, sijui hilo andiko la kampeni wamelisoma kwenye kitabu gani cha biblia, wajinga ndio watafunwao.
 
Watu wanaangalia utendaji..kama kashfa ingekuwa kigezo cha kutokubalika basi kanisa la gwajima leo hii lingekuwa na waumini wasiopungua hamsini.

Hiyo habari ya kashfa zinaenda zaidi mitandaoni na si kila mtu yupo bize na mitandao..kama ni kashfa hata halima ana kashfa za muda mrefu tu za kusagana. Na hata bungeni alishawahi kutuhumiwa na wabunge wenzie na bawacha wanajua hiyo skendo..
Unazungumzia "tuhuma" za Mdee wakati wenzio tunaangalia porn za Gwajima, wacha kutetea ujinga dogo.
 
Back
Top Bottom