Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot 2021-12-18 at 07.25.45.png


Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.

kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
 
View attachment 2048184

Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.

kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
Kuna msemo "wakitumaliza, wataparurana wenyewe". Sasa ngoma inogile.
 
View attachment 2048184

Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.

kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
Mgambo wanaruka na kukanyagana.

Tulisha sema sana juu ya nia ya hawa watu mara tu walipo anzisha vuguvugu la kuanzisha kundi lao la sukuma gang.
 
View attachment 2048184

Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.

kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
HAWA WAKABILA WANAPATA TABU KWELI SHINDWA KATIKA JINA LA YESU NA UKOME UKOME UKOME ULEGEE KWA JINA LA YEYE AMBAYE YUPO AMBAYE NI MMOJA PEKEE THE OMNIPONENT THE MOST HIGH SELAH AMEN AMEN
 
View attachment 2048184

Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.

kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
Hagaya/hangaya? Gwaji naye ni askofu wa michongo tuu
 
SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
 
SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
KATIBA INASEMAJE?
 
Kuna kidhibitisho chochote kwamba katangaza haya maombi baada ya kutolewa taarifa ya kuitwa jana? Maana hilo tangazo halina tarehe, na vile vile halioneshi hayo maombi ni tarehe ngapi hadi ngapi, limekaa linaelea tu, na MCHONGANISHI yeyote anaweza kulitengeneza!! Na ni kipi kilichokufanya uconclude Amaleki anamaanisha ni Mkuu wa nchi?

Kabla ya kutoa mapovu humu ni bora kujiridhisha usahihi wa hiyo taarifa ya maombi. Naona HARUFU YA UCHONGANISHI katika hilo bango, kwa maoni yangu hiyo taarifa haijatengenezwa na Gwajima, Ni mtu smart yule, siyo mjinga kwa kiwango hiki.
 
Mnajidanya, CCM ni moja na ile ile na mtaendelea kujifariji humu JF na CCM ikiongoza kwa miaka mingi ijayo.
Kuna msemo "wakitumaliza, wataparurana wenyewe". Sasa ngoma inogile.
 
Back
Top Bottom