Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Kweli kabisa. Tena wapitie kabisa mengine eti unaambiwa umuombe marehemu bikira Maria ! Hayo ndio ya kufutiwa kabisa usajili. Ala.
 
Gwajima toka atembelewe na Samia jimboni kwake na kuahidiwa kutatuliwa kero zake alifunga mdomo, iweje leo akurupuke ghafla? usanii tu.

Polepole ndie anawahenyesha CCM kwa sas na ndie anaetafutwa, sio huyo zilipendwa.
 
Hapa Chini ni official Instagram account ya Gwajima, na mambo yanayohusu activities za kanisani kwake yote huyaposti hapo, hakuna hicho ulichoweka mleta mada katika account yake!! Wewe umetoa wapi hicho ulichoweka? Kuna harufu ya UCHONGANISHI, Mods fanyeni kazi yenu...

1639797840430.jpeg
 
SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Kwani huyo Amaleki katika nchi ni nani? Yaani wafutiwe usajili wao kwa sababu ya huyo Amaleki? What if huyo Amaleki ni wakala wa shetani hapa nchini?
 
Hapa Chini ni official Instagram account ya Gwajima, na mambo yanayohusu activities za kanisani kwake yote huyaposti hapo, hakuna hicho ulichoweka mleta mada katika account yake!! Wewe umetoa wapi hicho ulichoweka? Kuna harufu ya UCHONGANISHI, Mods fanyeni kazi yenu...

View attachment 2048220
mbona povu limekutoka sana shida nini hasa
 
Kweli kabisa. Tena wapitie kabisa mengine eti unaambiwa umuombe marehemu bikira Maria ! Hayo ndio ya kufutiwa kabisa usajili. Ala.
Jamaa unapata tabu bure.

Mtu anamuomba marehemu wake kwa maana nyingine anaomba kwa mizimu yake kama babu zetu walivyoomba kwa mizimu(mababu zao marehemu) ulinzi au mvua au mavuno mazuri au kuondoa mabalaa kwenye familia zao enzi hizo kabla ya kuvurugwa na dini za kigeni za waarabu, wazungu na wayahudi wanakuwa wamevunja sheria gani? Au wanakuumiza nini?

Si bora wafungiwe wale wanatupigia kelele kubwa sana kwenye makazi ya watu na maspika yao au na vipaza sauti wakati wa ibada zao? Watu wanasoma au wanaumwa wanasumbuliwa na kelele.
 
View attachment 2048184

Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.

kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
Kuna watu WAPUMBAV wanamuamini anyway hizi Dini wakati mwingine zinakuwa kama Pombe tu
 
SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Iangalie pia na mfumo Katoliki na Majesuit walivyojipanga kuitafuna nchi na dunia
 
Qmaninerrrr ajivue uanachama n.a. ubunge kwanza afanye toba kisha ndiyo afunge, zilipendwa huyu, kiroboto.
Huyu askofu aliyekutwa na mrembo guest😀😀😀, maneno ya shemeji Doro.

Everyday is Saturday................................😎
 
Hiki kikundi Cha wahaini kinatakiwa kiangamizwe haraka,

Hawa watu Ni hatari kwa usalama wa Taifa, halafu nagundua Sasa kweli hili kabila halitakiwi kukamata Madaraka makubwa,

Slow slow na kina gwaji na kundi lao, na Ni kirusi hatari kwa usalama wa Taifa
 
Back
Top Bottom