uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
View attachment 2048184
Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.
kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
Pole pole coordinated con men