Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Then siyo kweli Bwashee, maana hapa tunaambiwa mfungo unaanza baada ya kuitwa na Kamati KuuNi kweli.
Jana alikuwa mubashara ila mfungo ulianza kabla hajaitwa na kamati kuu.
Nadhani saa 72 za mfungo zilishaisha jana.
ApigweeeeeeeeeeeeeeMmwambie huyu jamaa yako aloandika hii nakala aache uzushi, uwongo na uchanganishi asije naya akawa mfuasi wa amalek mwenye neema ya kupigwa.
Wapi panaposema Amaleki ni mtawala? Amaleki ni mpinzani wa watu wa Mungu wanapotaka kutimiza maagizo na makusudi ya Mungu wao.
Hii si lazima awe mtawala bali ni nguvu pinzani. Kwa hiyo kama kuna yeyote ama chochote kimebeba nia ama nguvu kwa namna yoyote ya kuzuia watu wasiwe katika makusudi ya Mungu, nawahakikishia hapa hakatishi.
Wale wanaoojua kuna mambo Mungu ameyakusudia kwao na kuna nguvu ya hovyo tu inazuia, ni kipindi cha kujiungamanisha kwa namna yoyote iwezekanavyo na hawa wapiganaji. Wewe hata ukiwa unaomba tu kwamba Mungu wape nguvu ya kuendelea kuomba, au hata ukawa unamwabudu Mungu tu kwa kuwa na nia moja na hili jeshi, amaleki wako ana hayo masaa 72 ya kuondoka kwenye njia yako kwa kipigo
APIGWE AMALEK APIGWE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! APIGWE!!!!!!!!!!!!!!
Kwa hiyo huyu alieleta hii habari hapa ndio mpotoshaji. Maana yake hapa inatakiwa ulete habari iliyonyooka,sio kuanza kufumbua mafumbo,nani alisema hiki na yupi ni yupi. Mood futa huu uziHuu ni upotoshaji wa amalek mwenyewe. Hakuna sehemu Gwajima kasema anamng'oa mtawala, wala hakuna mahala amesema "Amelek ni Mtawala". Ni tafsiri ya kipumbavu ya hila ya huyo anayeetakiwa kupigwa yaana "amalek" ili avae ngao ya kulindwa. Anaingia kwenye kivuli cha watawala ili awe salama lakini hasha, amalek, haina maana ya mtawala.
Watu wamehamia pale kanisani ubungo tangu juzi na wanafunga na kulala hapo hapo bwashee!Then siyo kweli Bwashee, maana hapa tunaambiwa mfungo unaanza baada ya kuitwa na Kamati Kuu
Afunge kwanza alete treni, tapeli huyu.View attachment 2048240
Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.
kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
Chuki ipi Sasa Labda tujuze.SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Enzi ya Lowasa, Ulikuwa unamshabikia na kumshobokea sasa na wewe tukuite jina gani?Hagaya/hangaya? Gwaji naye ni askofu wa michongo tuu
dont you see?Chuki ipi Sasa Labda tujuze.
Maombi yake yanapokelewa alishangoa hata Halima mdeeOhoooo huyu jamaa c ndo alimfuta bashite kwny dunia ya siasa??? Msicheze nae
AiseeFake News
Mimi sikusomea kwa malkia.dont you see?
Ndie na baada ya kumfuta mikosi ikaanza kumuandamana ikiwemo kuvunjika ndoa yake na jiwe,hadi leo toka meza kuu hadi kwenye mkeka.Ohoooo huyu jamaa c ndo alimfuta bashite kwny dunia ya siasa??? Msicheze nae