Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Maombi yalitangazwa jpl hafu kibwengo from no where kinazusha uzushi wa ajabu
 
Tatizo ni uelewa duni wa wananchi... ccm inafanya makosa mengi sana!!
 
Mmwambie huyu jamaa yako aloandika hii nakala aache uzushi, uwongo na uchanganishi asije naya akawa mfuasi wa amalek mwenye neema ya kupigwa.

Wapi panaposema Amaleki ni mtawala? Amaleki ni mpinzani wa watu wa Mungu wanapotaka kutimiza maagizo na makusudi ya Mungu wao.

Hii si lazima awe mtawala bali ni nguvu pinzani. Kwa hiyo kama kuna yeyote ama chochote kimebeba nia ama nguvu kwa namna yoyote ya kuzuia watu wasiwe katika makusudi ya Mungu, nawahakikishia hapa hakatishi.

Wale wanaoojua kuna mambo Mungu ameyakusudia kwao na kuna nguvu ya hovyo tu inazuia, ni kipindi cha kujiungamanisha kwa namna yoyote iwezekanavyo na hawa wapiganaji. Wewe hata ukiwa unaomba tu kwamba Mungu wape nguvu ya kuendelea kuomba, au hata ukawa unamwabudu Mungu tu kwa kuwa na nia moja na hili jeshi, amaleki wako ana hayo masaa 72 ya kuondoka kwenye njia yako kwa kipigo

APIGWE AMALEK APIGWE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! APIGWE!!!!!!!!!!!!!!
Apigweeeeeeeeeeeeee
Wenye mwili wote,waseme ameeee!!!!
Gwajiboy umetuokoa na JJ.
 
Huu ni upotoshaji wa amalek mwenyewe. Hakuna sehemu Gwajima kasema anamng'oa mtawala, wala hakuna mahala amesema "Amelek ni Mtawala". Ni tafsiri ya kipumbavu ya hila ya huyo anayeetakiwa kupigwa yaana "amalek" ili avae ngao ya kulindwa. Anaingia kwenye kivuli cha watawala ili awe salama lakini hasha, amalek, haina maana ya mtawala.
Kwa hiyo huyu alieleta hii habari hapa ndio mpotoshaji. Maana yake hapa inatakiwa ulete habari iliyonyooka,sio kuanza kufumbua mafumbo,nani alisema hiki na yupi ni yupi. Mood futa huu uzi
 
SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Chuki ipi Sasa Labda tujuze.
 
Ohoooo huyu jamaa c ndo alimfuta bashite kwny dunia ya siasa??? Msicheze nae
Ndie na baada ya kumfuta mikosi ikaanza kumuandamana ikiwemo kuvunjika ndoa yake na jiwe,hadi leo toka meza kuu hadi kwenye mkeka.
Huyu jamaa sio wa mchezo,ndie aliyemuokoa jiwe na kombola la moshi wa ruangwa.
 
Back
Top Bottom