Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe

Kama heading inavyoeleza wengi wanaopinga hapa JamiiForums wanasukumwa na udini na chuki binafsi 'iliyopitiliza'. (1) Hakuna mwanadamu aliyemkamilifu, awe ni CCM, CHADEMA, CUF, NCCR, Mwarabu, Mhindi, na nk., (2) hata sasa kuna wabunge ni ma-alhaj, mashehe, wachungaji na wapendwa. Ova!
 
Ishu ya huyo ni maadili, anacheza picha za ngono na kubanjuka na waumini wake tena wake za watu
 
Upo sahihi kusema Halima hatatoboa,ni haki yako.

Na mimi nipo hapa kusema Gwajima ni mavi na hatatoboa,ni haki yangu..

Uzuri baada ya uchaguzi tuje hapa tu-verify.

Haina shida Mkuu!
Sawa mkuu tunza maneno yako na mm nitunze yangu October sio mbali tuombe uzima
 
Nasikia Hata makonda kashachukua kisiri siri jimbo la ubungo
 
Nchi ina vituko hii
Huyu naye anawaza kudhalilishwa au katumwa!
 
Gwajima 2017

"Mimi siwezi kuwa Mbunge ni kujishusha mimi ni mtumishi wa bwana ambaye ni zaidi ya Mbunge,Waziri na Rais"

Gwajima 2020
"Naishi kawe naona kuna naweza kuifanyia kitu kawe kupitia CCM,hivyo nina gombea Ubunge"

Gwajima 2010

"Mnashinda facebook,kwa taarifa yenu facebook ni mtandao wa kishetani,Shetani anakusanya mafairi yake"

Gwajima 2020

"Ukiwa mbali na kanisa unaweza ingia facebook kwenye live stream kuendelea na mahubiri na kutuma sadaka yako kupitia M-Pesa"

Wana kawe kueni makini na huyu mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…