Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mpitisheni muone moto kudadeki!Acha vitisho wewe! Gwajima ndio ana video za Mbowe za siku ile usiku pale dodoma!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpitisheni muone moto kudadeki!Acha vitisho wewe! Gwajima ndio ana video za Mbowe za siku ile usiku pale dodoma!
Na kwa vile ni " Gwakukaja" ni lazima apitishwe kuwa mgombeaGwajima ndo atapeleka hoja ya Rais aongezewe muda. Huko Russia wananchi wamepiga kura kumuongezea Putin muda mpaka 2036.
Wa kukaya siyo Gwakukaja.na kwa vile ni " Gwakukaja" ni lazima apitishwe kuwa mgombea
Mimi nimeandika kinyakyusa mkuuWa kukaya siyo Gwakukaja.
Hawa ndiyo mavuvuzela wa lumumba, yaani hawajui wanacho kisimamia zaidi ya kutoa sauti tu
Kisukuma ndo habari ya mjini.mimi nimeandika kinyakyusa mkuu
Kisukuma ndo habari ya mjini.
Ng'wa nene.Mwahdeeela maahyooo!
Ishu ya huyo ni maadili, anacheza picha za ngono na kubanjuka na waumini wake tena wake za watuKama heading inavyoeleza wengi wanaopinga hapa JamiiForums wanasukumwa na udini na chuki binafsi 'iliyopitiliza'. (1) Hakuna mwanadamu aliyemkamilifu, awe ni CCM, CHADEMA, CUF, NCCR, Mwarabu, Mhindi, na nk., (2) hata sasa kuna wabunge ni ma-alhaj, mashehe, wachungaji na wapendwa. Ova!
Sawa mkuu tunza maneno yako na mm nitunze yangu October sio mbali tuombe uzimaUpo sahihi kusema Halima hatatoboa,ni haki yako.
Na mimi nipo hapa kusema Gwajima ni mavi na hatatoboa,ni haki yangu..
Uzuri baada ya uchaguzi tuje hapa tu-verify.
Haina shida Mkuu!
Wacha weeee !!Kisukuma ndo habari ya mjini.
Nchi ina vituko hii
Askofu Josephat Gwajima ametangaza nia ya kugombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) na leo amefika kwenye ofisi za chama hicho kupewa utaratibu.
Kuhusu kuunga mkono UKAWA mwaka 2015, amesema hajawahi kuwa Mwanachama wa CHADEMA, ila hutetea haki wakati wote.
===
Aliingia Ofisi ya CCM Wilaya ya Kinondoni
Amesema alikwenda pale baada ya kumsikia Rais na Katibu mkuu wa CCM aliyetangaza kuwa wale wenye nia ya kumsaidi Rais achukue fomu, na yeye ameona aweze kwenda ofisini kujua utaratibu wa kugombea
Amesema inaweza kuwa mtu mchungaji haimzuii kuwa mbunge kwa kuwa wako viongozi wa dini ambao pia ni viongozi kisiasa, amesema hajawahi kuwa mwananchama wa chadema
Amesema amekuwa mwanachama wa CCM tangu mwaka 1994, aliipata katika mkoa wa Mwanza, Wilaya ya Misungwi, kata ya Buhingo kijiji cha Kabale na alipewa kadi na mzee Kasmiriki Futumo, alikuwa ni mwenyekiti wa ccm ambaye katibu wake alikuwa Leoneidas Masungwa
Kadi yake amesha-upgrade kuingia mfumo mpya, amesisitiza hajawahi kuwa mwanachama wa CHADEMA, ila anapenda kutetea haki na tatatetea haki siku zote. Amesema anatetea haki sehemu yoyote, iwe CCM au kokote pale atatetea haki
Hajasema kitu ambacho anaweza kwenda kuwafanyia watu wa Kawe. Aidha ilionekana kuwa angeweza kugombea Misungwi, lakini amesema Misungwi ni sehemu aliyozaliwa lakini maisha yake yamekuwa Kawe kwa hiyo atagombea Kawe
View attachment 1495050
Ng'wa nene.
Ng'wa nene.