Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Joseph Gwajima leo amefika ofisi za ccm ili kupewa utaratibu wa jinsi ya kugombea ubunge.
Amedai kuwa anataka kugombea ubunge jimbo la kawe kupitia chama cha mapinduzi na amekana kuwa hajawahi kuwa mwanachama wa cdm.
Tujiandae kumuongezea cheo kwenye jina lake na sasa tutamuita MHESHIMIWA MCHUNGAJI GWAJIMA.
Amedai kuwa anataka kugombea ubunge jimbo la kawe kupitia chama cha mapinduzi na amekana kuwa hajawahi kuwa mwanachama wa cdm.
Tujiandae kumuongezea cheo kwenye jina lake na sasa tutamuita MHESHIMIWA MCHUNGAJI GWAJIMA.