Mhujumu Uchumi
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,541
- 3,521
Kawe hatuchagui wacheza porn, akagombee xvideos huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni domokaya na njaa,miaka hii sadaka ni kiduchu sana.
Gwajima alisema yeye ni zaidi ya mbunge na kwamba hana mpango wa kugombea ubunge imekuwaje tena mbona amekuwa mtu wa kauli mbili!
KoromijeKumbuka kwao ni wapi vile?
Kasesela bora atafute pori akajisaidie kwanza huko kawe awaachie CCM wengine wapambane na mdeeSasa hapo sijui hapo kawe ccm watamchagua nani kuwania hilo jimbo maana na yule dc wa iringa Kasesela alisha tangaza nia
Sasa Mbona CCM hamtambui mungu kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani?Ni jambo jema sana kuongozwa na watumishi wa Mungu wakiwa ndani ya chama kubwa CCM,
Kila la kheli baba askofu
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣Nampa hongera Sana kile Ni kichwa chenye akili kubwa Sana yani na naamini atashinda yani ngoja tusubiri mchakato
Historia ipi ya Slaa? au kununuliwa akaenda canada kufichwa na CCM? Huko kawe CCM watapora uchakachuaji tu lakini sanduku la kura wananchi watamchagua mdee tuMshengaaa!
Historia iko upande wa Dr Slaa,hata kama wanajifanya kutokulitambua hili lakini muda unazidi kupembua pumba na mchele!
Hapo Mdee hana chake!
Akifika Bungeni Akili itakuwa kama ya cyprian Musiba, le mutuz, kibajaji na Msukuma ukiingia CCM moja kwa moja unapungukiwa na uwezo wa kufikiriKatika watu niliokuwa natamani siku moja aingie bungeni ni Gwajima.
Anakuaga na point sana za maswala mbalimbali yahusuyo nchi coz ana exposure kubwa ya nje.
Lakini kawe wapiga kura watamchagua Mdee ingawa mkurugenziccm atamtangaza mshindi hewa wa CCM kwa njia haramu.Ni haki yake kabisa.
View attachment 1494766
Askofu Josephat Gwajima ametangaza nia ya kugombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) na leo amefika kwenye ofisi za chama hicho kupewa utaratibu.
Kuhusu kuunga mkono UKAWA mwaka 2015, amesema hajawahi kuwa mwanachama wa CHADEMA, ila hutetea haki wakati wote.
Uongo mbaya,Gwajima ana convincing capacity kubwa sana,ninavyowajua wapiga kura lazima watamchagua Gwajima.Akisema atawaletea wafadhili kutoka Japan watatue kero za Kawe. Ujue hapo ni kura za ndiyo tu.Lakini kawe wapiga kura watamchagua Mdee ingawa mkurugenziccm atamtangaza mshindi hewa wa CCM kwa njia haramu.