Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe

Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe

Historia ipi ya Slaa? au kununuliwa akaenda canada kufichwa na CCM? Huko kawe CCM watapora uchakachuaji tu lakini sanduku la kura wananchi watamchagua mdee tu
Kizazi kitakachokuwa kinatumia vichwa kufikiri na si kutenganishia masikio pekee kitatambua tu how visionary Dr Slaa was!

Nyie mliolemazwa na propaganda uchwara hii wala haiwahusu.

Huo uchakachuaji huwa ni excuse tu kwa losers wote, kwa sisi tuoamini kilichopo kwenye scoreboard huo msamiati hatuna kwenye KAMUSI zetu.

MDEE OUT!
 
View attachment 1494766

Askofu Josephat Gwajima ametangaza nia ya kugombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) na leo amefika kwenye ofisi za chama hicho kupewa utaratibu.

Kuhusu kuunga mkono UKAWA mwaka 2015, amesema hajawahi kuwa mwanachama wa CHADEMA, ila hutetea haki wakati wote.
Hili zee la kumbato kondooo linataka kwenda kutafuna malaya wa mjengoni
 
Bora kaingia mzima mzima kuliko Pengo na yule muhuni wa Bakwata wanakula na kupuliza.Atachokutana nacho ataadithia waumini wake.
Ila atakuwa kaaidiwa viti maalumu.
 
Kizazi kitakachokuwa kinatumia vichwa kufikiri na si kutenganishia masikio pekee kitatambua tu how visionary Dr Slaa was!

Nyie mliolemazwa na propaganda uchwara hii wala haiwahusu.

Huo uchakachuaji huwa ni excuse tu kwa losers wote, kwa sisi tuoamini kilichopo kwenye scoreboard huo msamiati hatuna kwenye KAMUSI zetu.

MDEE OUT!
Huna akili ?
 
View attachment 1494766

Askofu Josephat Gwajima ametangaza nia ya kugombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) na leo amefika kwenye ofisi za chama hicho kupewa utaratibu.

Kuhusu kuunga mkono UKAWA mwaka 2015, amesema hajawahi kuwa mwanachama wa CHADEMA, ila hutetea haki wakati wote.

Kama Jukumu Mama tu la Kuwatumikia Waumini wake ameshaonekana amelishindwa je, ataliweza kweli Jukumu hili zito la Kisiasa huko Bungeni?
 
Kusema kweli ni haki yake kugombea. Na huyu akigombea na anavyojua kuutumia mdomo wake lazima watu watampigia kura tu. Tanzania ni rahisi sana kushinda ubunge ukiwa unajulikana.
Hata ww anakubeba mzima mzima...
 
Habari wadau,
Nimeskia Gwajima ametangaza nia ya Ubunge kupitia CCM jimbo la Kawe.
Kama ni hivo basi kuna mambo 3 Najiuliza
1. Barabara ya Salasala Goba(Mkupita Road) itawekwa lami mapema maana imekuwa ni kilio cha wengi ikiwemo gwajima mwenyewe mwenye investment zake katika mkondo huo.
Kiunganishi cha Salasala na Goba ni kilo cha wakazi wa mbezi, tegeta na Mbezi hasa ukitegemea itakuwa ni shotcut kati ya Kimara, mbezi na Tegeta, mbezi beach na Salasala.
Au labda ameona Mbunge aliyepita alishindwa kazi au ?
2. Labda ni kazi maalumu kuondoa CHADEMA jimbo la Kawe hasa baada ya mh kupiga biti wakuu wa mikoa kutoingia kwenye Uchaguzi hivo kuna uwezekano Kijana wetu mpendwa wa Dar atapumzika kwa muda ? Au

3. Ni kisasi na Kijana wetu wa Dar baada ya tetesi kwamba ataenda Kawe ?
Wataalamu wa kuchanganua karibuni
Barabara ya Makonde hadi Baraza la Mitihani.
Miaka yote inapigiwa chapuo lakini hakuna chochote miaka nenda rudi.
 
Alaaa kumbe?!

Ngoja tusubiri mchujo wa kura za maoni!

Wakifanya makosa hapo jimbo watalipoteza tena kwa mara nyingine
Yaani Ubunge wa sasa ni hatari CCM watakusanya fedha kwenye kuchukua form just imagine ubungo wagombea 20,kibamba wamefika 17!! Nashangaa Kitila kakaidi maagizo ya JIWE anagombea Ubungo ina maana anapiga chini ukatibu mkuu WM.
 
KAWE MBUNGE WETU NI MUTA RWAKATARE (CCM) AU HALIMA MDEE ( CHADEMA).

WENGINE WOTE WANAKUJA KUUZA SURA TU ILI WAONEKANE NA WAO WALIGOMBEA.

GWAJIMA HANA TOFAUTI NA JECHA.
 
Back
Top Bottom