Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe

Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe

KATI YA VITU NILIVYOFURAHIA LEO HII N KUONA WATUMISHI WA MUNGU WAKIWA NA HAMU YA KUMSAIDIA DK JPM

HAKIKA NIMEFARIJIKA SANA KUONA ASKF AKITANGAZA NIA

NIWEKE WAZI TU KAMA CCM MTAFANIKIWA KUMPITISHA ASKOFU

SWALA LA KWENDA DODOMA N NUSUSAA BAADA YA UCHAGUZI HILO TUACHIEN WATOTO WA KAWE

KAMA MBAYU NA IWE MBAYU TUMECHOKA NA HAWA WATOTO WA MAMA MDOGO KWA KWELI

TUNAHITAJI MTU AMBAE ANA HOFU NA MUNGU BUNGENI AMBAE AKIONA KUNA SHIDA SIOTU KUSEMA ANAANZA KUMWOMBA ROHO MT AMWONYESHE NN CHA KUONGEA KUWEKA SAWA MAENDELEO YA NVHI YETU

NAOMBA WAH WOTE MSIKOSEE KWA HILI TUNATAMA KUFANYA MAGEUZI MAKUBWA KAWE

MUMGU AWABARIKI
MUNGU AMBARKKI ASK GWAJIMA
Hebu acha mzaha! Gwajima ana hofu ya Mungu? hivi kwanini huwa mnalichezea hivyo jina la Mungu? yaani anavyokusanya misukule pale ubungo tayari unamwita Gwajima ana hofu ya Mungu? Hebu tupinge.....Gwajima akipitishwa na CCM hawezi kushinda jimbo lolote hapa Dar es Salaa, hawezi! Kama amewapiga upofu wafuasi wake sio sisi wapiga kura wa Kawe!
 
Haya mambo yamekatazwa ktk maandiko ,huwezi kutumikia mabwana wawili. Siamini Ngwajima yupo tayari kumwadu mwanadamu badala ya Muumba pekee.

Katika hilo hafuati maandiko, na ni sawa tu
 
Nakumbuka aliwahi kusema yeye hahitaji kuwa mbunge wala mkuu wa mkoa maana cheo alichonacho ni kikubwa kulinganisha na hivyo vya kisiasa. Leo tena imekuaje?
 
Angekuwa mgombea binafsi ningemuunga mkono.

Sasa kama mtumishi wa kanisa unakuwa kwenye Chama fulani utawapenda wahasimu /wapinzani wako?.

Ila huyu jamaa waumini kawaweka mfukoni.

Siku anatangaza kuunga mkono upinzani waumini wote wakaingia CHADEMA na siku aliyosalimu amri kwa Bashite baada ya maombi yake ya kishenzi ya kumng'oa madarakani kugonga mwamba nao waumini wote wakarudi CCM.

Nafanya kazi na waumini 2 wa Gwajima, aisee jamaa wapo kama wapumbavu fulani kichwani
Kama ulivyo mpumbavu wewe kwa mbowe
 
Nikajua anakuja kugombea huku nyumbani Koromije atusaidie kuondoa kero yeye anahangaika na jimbo ambalo lina mbunge shupavu.
Wajameni wajameni.!!
Alima mdee hawez kusimama na gwajima huu ndio ukwel gwajima anaongea Sana
 
Naona huyo anajivua nguo zinazo msitiri.
Si vizuri mchungaji anaye simamia na kuhudumia wahumini ambao ni wanachama wa vyama tofauti kuonyesha msimamo wake dhairi. Ataleta mgawanyiko kwa wahumini wake.
Ingefahaa kama uchungaji umemshinda, aweke kanzu pembeni na aingie kwenye ulingo wa sias, ila ajipange maana heshima aliyonayo itaporomoka mara moja.
Unawajua waumini wa Gwajima lakini.... ni zile typ za ulipo tupo!

Hukuona walivyokua wanamtetea kipindi cha ile video?

Yaani Gwajima Akiwaambia vaa kijani wote watavaa!
Akiwaambia vaaa kaki wote watavaa!

Yani sijui kawalisha nini Aisee!
 
Hebu acha mzaha! Gwajima ana hofu ya Mungu? hivi kwanini huwa mnalichezea hivyo jina la Mungu? yaani anavyokusanya misukule pale ubungo tayari unamwita Gwajima ana hofu ya Mungu? Hebu tupinge.....Gwajima akipitishwa na CCM hawezi kushinda jimbo lolote hapa Dar es Salaa, hawezi! Kama amewapiga upofu wafuasi wake sio sisi wapiga kura wa Kawe!

Mkuu, uweke akiba ya maneno.

Safari hii miss Mdee ana mtihani.

Zengwe lishaundwa hapo kuna moshi mweupe na mzito juu ya Kawe.

Kawe na Kigamboni kwa sasa ni majimbo ya kimkakati.
 
Dunia ina mambo.

Kikatiba yuko sahihi kabisa.

Kiuhalisia hata ccm hawawezi kumpitisha labda viti maalum.

Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumpigia kura gwajima kua mbunge wake.
Viti maalum labda avae sketi
 
Gwajima alisema yeye ni zaidi ya mbunge na kwamba hana mpango wa kugombea ubunge imekuwaje tena mbona amekuwa mtu wa kauli mbili!
kama sijasahau aliwahi sema yeye ni zaidi ya rais yaan rais ni cheo kidogo sana kwake
 
Yaani Ubunge wa sasa ni hatari CCM watakusanya fedha kwenye kuchukua form just imagine ubungo wagombea 20,kibamba wamefika 17!! Nashangaa Kitila kakaidi maagizo ya JIWE anagombea Ubungo ina maana anapiga chini ukatibu mkuu WM.


Jamaa amukubali kutishika na mikwala ya Migulu Mchemba?! [emoji3][emoji3][emoji3]

Kumbe sometimes mikwala inasaidia !

Eti mamba kwenye kina sijui nini na nini. [emoji3][emoji3]

Hadithi za kungulu mwoga kukimbiza mabawa yake!
 
Back
Top Bottom