Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Iwapo atapata ridhaa ya CCM na kupitishwa kuwa mgombea wa pekee kupitia CCM katika jimbo la Kawe nitampa siri ya yeye Gwajima kushinda uchaguzi.
Kwa sasa ngoja tusimwage Mchele kwenye kuku wengi.
Kwa sasa ngoja tusimwage Mchele kwenye kuku wengi.