Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Na kondoo zake atamkabidhi nami?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako watu ninawafahamu ni wachungaji wa Gwajima wamenimegea kila kitu , tutamwanika bila hurumaAnguko lake la kiimani linapisha hodi
Jiwe ni nani? Kila mnachoambiwa mnaufyata!Yaani Ubunge wa sasa ni hatari CCM watakusanya fedha kwenye kuchukua form just imagine ubungo wagombea 20,kibamba wamefika 17!! Nashangaa Kitila kakaidi maagizo ya JIWE anagombea Ubungo ina maana anapiga chini ukatibu mkuu WM.
Msigwa ni kichwa cha injiri ama siasa..?Ni kichwa cha Injili ama Siasa?
Kawe hatuhitaji tumaini jipya. Tunahitaji kiongozi shupavu ambae tayari tunae Halima Mdee. Huyu anatutosha!J. Gwajima tumaini jipya la wana Kawe!
Hahhahaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu maktaba yangu ina video zake zaidi ya 10 , nasubiri apewe nafasi nimalize kazi , hakuna haja ya kulea ujinga
Sema hujaweka hata picha akiwa ndani ya green sareKATI YA VITU NILIVYOFURAHIA LEO HII N KUONA WATUMISHI WA MUNGU WAKIWA NA HAMU YA KUMSAIDIA DK JPM
HAKIKA NIMEFARIJIKA SANA KUONA ASKF AKITANGAZA NIA
NIWEKE WAZI TU KAMA CCM MTAFANIKIWA KUMPITISHA ASKOFU
SWALA LA KWENDA DODOMA N NUSUSAA BAADA YA UCHAGUZI HILO TUACHIEN WATOTO WA KAWE
KAMA MBAYU NA IWE MBAYU TUMECHOKA NA HAWA WATOTO WA MAMA MDOGO KWA KWELI
TUNAHITAJI MTU AMBAE ANA HOFU NA MUNGU BUNGENI AMBAE AKIONA KUNA SHIDA SIOTU KUSEMA ANAANZA KUMWOMBA ROHO MT AMWONYESHE NN CHA KUONGEA KUWEKA SAWA MAENDELEO YA NVHI YETU
NAOMBA WAH WOTE MSIKOSEE KWA HILI TUNATAMA KUFANYA MAGEUZI MAKUBWA KAWE
MUMGU AWABARIKI
MUNGU AMBARKKI ASK GWAJIMA
Kajifunze kwanza kuandika alafu ndio uje na story zako kuhusu Gwajima.KATI YA VITU NILIVYOFURAHIA LEO HII N KUONA WATUMISHI WA MUNGU WAKIWA NA HAMU YA KUMSAIDIA DK JPM
HAKIKA NIMEFARIJIKA SANA KUONA ASKF AKITANGAZA NIA
NIWEKE WAZI TU KAMA CCM MTAFANIKIWA KUMPITISHA ASKOFU
SWALA LA KWENDA DODOMA N NUSUSAA BAADA YA UCHAGUZI HILO TUACHIEN WATOTO WA KAWE
KAMA MBAYU NA IWE MBAYU TUMECHOKA NA HAWA WATOTO WA MAMA MDOGO KWA KWELI
TUNAHITAJI MTU AMBAE ANA HOFU NA MUNGU BUNGENI AMBAE AKIONA KUNA SHIDA SIOTU KUSEMA ANAANZA KUMWOMBA ROHO MT AMWONYESHE NN CHA KUONGEA KUWEKA SAWA MAENDELEO YA NVHI YETU
NAOMBA WAH WOTE MSIKOSEE KWA HILI TUNATAMA KUFANYA MAGEUZI MAKUBWA KAWE
MUMGU AWABARIKI
MUNGU AMBARKKI ASK GWAJIMA
Haya mambo yamekatazwa ktk maandiko ,huwezi kutumikia mabwana wawili. Siamini Ngwajima yupo tayari kumwadu mwanadamu badala ya Muumba pekee.
Ni rahisi kushinda ubunge lakini sio ubunge wa Kawe. Waulize wakina Mlaki walivyoangukia pua.Kusema kweli ni haki yake kugombea. Na huyu akigombea na anavyojua kuutumia mdomo wake lazima watu watampigia kura tu. Tanzania ni rahisi sana kushinda ubunge ukiwa unajulikana.
Umeuliza jibu boss.Kwahiyo Halima ameondoka?
Namwomba Bi. Halima Mdee akiandae kumla tigo kwa vidole huyu mpumbavu! Mdee anachukua kombe asubuhi na mapemaaaaa!Huyo hapati hata asilimia 20 ya kura labda wamebebe kwa kutumia Polisi na Tume yao.
Wajasiliami wa kidini wanajulikana na hawakubaliki popote pale.