#COVID19 Askofu Gwajima: Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi

#COVID19 Askofu Gwajima: Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi

Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
Kwa maelezo yako basi hata Mdude Chadema ni Askofu ndio maana hakukamatwa aliporoka hadharani na kumkosea heshima Mama akiwa kwenye jukwaa la Chadema.
 
..mimi sijaiona video.

..lakini kama kinachoripotiwa ni kweli basi Gwajima amevuka mpaka.

..kudai kwamba viongozi wamechomwa chanjo feki ili kuwalaghai wananchi ni tuhuma nzito.

..na kama tuhuma hizo si za kweli basi Gwajima atakuwa amekashifu na kutukana.
Labda kama sikusikia vizuri lakini alikuwa anaelezea tukio la yule Afisa Elimu Arusha ambaye clip yake imezagaa mtandaoni akiwa ana fake kuchanjwa hadi ikapelekea waziri mwenye dhamana kutoa tamko hali iliyopelekea kusimamishwa kazi kwa Nurse na Afisa huyo.

Kwahiyo hapo ndo akaeleza kuwa lengo la huyo kiongozi ilikuwa ni nini kama siyo kuja kuanza kuwahamasisha wananchi kuchanja alimhali yeye hakuchanja.
 
..mfano, chadema.

..polisi walikwenda na mbwa kutawanya kongamano la Chadema.

..Je, huo ni uungwana?

..Tumeshuhudia watu waliovalia kiraia na kubeba silaha wakiwapiga na kuwakamata wafuasi wa Chadema mahakamani?

..Je, huo ni uungwana?
Kuna walichofanya sio itokee tu bila sababu,kwani hao viongozi wa chadema wameanza kushtakiwa sasa? mbona hatujasikia lolote siku zilizopita hapo mahakamani.
 
"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"

Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!

My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.

Binafsi nimechanjwa na kwa siku 3 kutokea nilipochanjwa nilikuwa na headache ya hatari kuweza kufanya lolote. Hata kutembelea JF tu ilikuwa kwa mbinde.

SSH aliendelea na shughuli zake?!

Nimeongea na wenzangu wengi bado sijaweza kuwa na kanzidata ya kutosha kabla ya kumrukia ki Gwajiboy.

Kuna habari kuwa serikalini walishapata Pfizer mapema tu.

Simwungi mkono Gwajiboy kuhamasisha watu wasichanjwe, ila kwenye kuchanjwa wakuu hawa Gwajiboy anaweza kuwa na point.

Cc: Jumbe Brown BAK
 
Uhuru ni wa maoni sio facts, huwezi kusema soda za Coca Cola zina sumu halafu useme ni uhuru wa maoni.

Kusema viongozi wamechoma chanjo feki ni factual matter. Akitakiwa athibitishe ataweza?
Wewe umethibitisha uhalali na ubora wa the so called chanjo waliyoichoma?
 
Tuoneshe hilo tusi tu basi.

..Tusi au kashfa siyo lazima mtu akwambie lile neno baya kwa mama zetu.

..Mimi nikisema wewe umefanya jambo fulani la hovyo wakati hujafanya jambo hilo bila shaka nitakuwa nimekutukana / nimekukashifu.

..Kama Gwajima amesema viongozi wamechomwa feki ili kuwachota wananchi, bila shaka amemaanisha viongozi ni waongo, wahuni, walarushwa, mafisadi, malaya, wauwaji, na sifa nyingine mbaya.

..MSISITIZO: Kama viongozi hawajachoma chanjo feki basi Gwajima amekashifu na kutukana.
 
Kwa maelezo yako basi hata Mdude Chadema ni Askofu ndio maana hakukamatwa aliporoka hadharani na kumkosea heshima Mama akiwa kwenye jukwaa la Chadema.
Huyo kilichompata ni kama anaangaika tu kutaka kumpa mtu lawama ndio maana hawaangaiki naye tena.
 
Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
acha kuaibisha waislam wenzako pimbi wewe
 
Kuna walichofanya sio itokee tu bila sababu,kwani hao viongozi wa chadema wameanza kushtakiwa sasa? mbona hatujasikia lolote siku zilizopita hapo mahakamani.

..labda hufuatilii.

..lakini sio mara ya kwanza kuwepo na vitendo vya kinyama dhidi ya chadema.

..hivi unaamini kwamba chadema wanastahili kutawanywa kwa kutumia MBWA?
 
..Tusi au kashfa siyo lazima mtu akwambie lile neno baya kwa mama zetu.

..Mimi nikisema wewe umefanya jambo fulani la hovyo wakati hujafanya jambo hilo bila shaka nitakuwa nimekutukana / nimekukashifu.

..Kama Gwajima amesema viongozi wamechomwa feki ili kuwachota wananchi, bila shaka amemaanisha viongozi ni waongo, wahuni, walarushwa, mafisadi, malaya, wauwaji, na sifa nyingine mbaya.

..MSISITIZO: Kama viongozi hawajachoma chanjo feki basi Gwajima amekashifu na kutukana.
Hizo ni tuhuma - inaweza kuwa kweli au isiwe kweli.

Nyie mnaosema ni tusi tuonesheni hilo tusi.

Lakini pia tuhuma zinaweza kuwa za kweli au la, mtuthibitishie uongo wa Gwajima.
 
..labda hufuatilii.

..lakini sio mara ya kwanza kuwepo na vitendo vya kinyama dhidi ya chadema.

..hivi unaamini kwamba chadema wanastahili kutawanywa kwa kutumia MBWA?
Wanastahili, kwani wao nani.
 
Labda kama sikusikia vizuri lakini alikuwa anaelezea tukio la yule Afisa Elimu Arusha ambaye clip yake imezagaa mtandaoni akiwa ana fake kuchanjwa hadi ikapelekea waziri mwenye dhamana kutoa tamko hali iliyopelekea kusimamishwa kazi kwa Nurse na Afisa huyo.

Kwahiyo hapo ndo akaeleza kuwa lengo la huyo kiongozi ilikuwa ni nini kama siyo kuja kuanza kuwahamasisha wananchi kuchanja alimhali yeye hakuchanja.

..Very good.

..Serikali ya CCM imewachukulia hatua za kinidhamu waliocheza video ile.

..Gwajima kama mbunge wa CCM hatakiwi kuituhumu serikali ya chama chake kwa jambo ambalo serikali yenyewe imelilaani na kuchukua hatua.
 
Hizo ni tuhuma - inaweza kuwa kweli au isiwe kweli.

Nyie mnaosema ni tusi tuonesheni hilo tusi.

Lakini pia tuhuma zinaweza kuwa za kweli au la, mtuthibitishie uongo wa Gwajima.

..Gwajima ndiye anayetakiwa kuthibitisha ukweli kuhusu kauli zake.
 
Mpaka sasa watu laki mbili wamechanjwa zaidi ya siku kumi zimepita
It will take us 5 years to vaccinate 30,000 (50%) of the population
Tujitokeze tukachanjwe
 
Back
Top Bottom