#COVID19 Askofu Gwajima: Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi

#COVID19 Askofu Gwajima: Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi

Hawa nae wasitutoe mchezoni hapa tunafocus na katiba mpya tu

Spinning tu hizo hakuna lolote kila kitu kimepangwa ! Chanjo ni hiari simple as that.

Huyu kapewa script awasahaulishe watu mambo ya msingi wakati yeye kachanjwa
 
Pimbi mimi au huyo mpumbavu mwenzako unayemtetea! Alivyokuwa msukuma mwenzake kila kitu alikuwa anasifia kama shoga anayemsifia bwana wake.
Uwe na adabu, msukuma/wasukuma wanahusika vipi katika hoja zenu ?
 
Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
hembu onyesha tusi alilotukanwa rais
 
Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.

Rais hajatukanwa bali watu wanasema ukweli. Huyo Gwajima hana cha kumuogopa rais maana anajua wote wako madarakani kwa wizi wa kura.
 
Kwani yule Afisa Elimu wa Arusha ambaye mpaka amesimamishwa kazi ni uongo? Tatizo lenu mnamajibu tayari ya viongozi wengine!!

..serikali imekwisha wakana maofisa walioigiza Arusha.

..Gwajima anatakiwa aje na ushahidi mwingine usiotiliwa mashaka.

..Au labda awa-present wale maofisa wa Arusha waseme kwamba walitumwa na serikali.
 
..serikali imekwisha wakana maofisa walioigiza Arusha.

..Gwajima anatakiwa aje na ushahidi mwingine usiotiliwa mashaka.

..Au labda awa-present wale maofisa wa Arusha waseme kwamba walitumwa na serikali.
Wewe ulimuona Freeman Mbowe akichanjwa!
 
Sasa aaminiwe nani!?
RAIS, KAKOBE au GWAJIMA (GWAJIBOY)????
Ukishindwa kujiani utayumba sana. Jiamini na toa maamuzi sahihi. Usitumie akili za kuambiwa peke yake, ongeza na za kwako. Jiamini na amua maamuzi sahihi.
 
Wewe ulimuona Freeman Mbowe akichanjwa!

..Nimewaona Rais SSH, Spika Ndugai, na Waziri Mkuu Majaliwa, wakichanjwa.

..Pia nimemsikia IGP Sirro akisema kuwa yeye amechanjwa.

..Gwajima anatakiwa awaeleze wananchi aliyechanjwa feki ni Samia, Ndugai, Majaliwa, au Sirro.
 
Na bado kila mwaka sasa itabidi uchanjwe la sivyo itabidi ufe tu hata na ugonjwa wowote kwa kuwa immunity yako ya asili umeshaiharibu mkuu. Pole sana!
Wacha kudanganya watu wewe, umechanjwa chanjo ngapi tangu ulipozaliwa mbona unaendelea tu na maisha?
 
..Nimewaona Rais SSH, Spika Ndugai, na Waziri Mkuu Majaliwa, wakichanjwa.

..Pia nimemsikia IGP Sirro akisema kuwa yeye amechanjwa.

..Gwajima anatakiwa awaeleze wananchi aliyechanjwa feki ni Samia, Ndugai, Majaliwa, au Sirro.
Mbowe ndiye anataka wananchi wachanjwe kwa lazima wakati yeye hatujamuona popote akichanjwa!
 
Gwajima amesikika ndani ya kanisa lake akitoa kauli hiyo yenye tuhuma nzito, kwamba kuna viongozi wa Tanzania waliodanganya umma kwamba wanachanja kumbe si kweli, ili iwe chambo ya wananchi wengine kujitokeza kuchanja.

Hii si kauli ndogo , kuna msemo kwamba "mbwa akikuzoea sana iko siku atakufuata msikitini" sasa ni vema serikali ikanushe jambo hili au imtake Gwajima athibitishe kauli yake ili kulinda heshima ya viongozi wa nchi waliochanjwa.
Gwaji Boy ana ushahidi wa kutosha.
 
Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
Unaongelea mambo ya udini sasa. Udini hauna nafasi katika nchi hii.
 
1629046256907.png


1629046350367.png

1629046431699.png






..Je, hawa ndio waliodungwa feki?
 
View attachment 1893352

"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"

Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!

My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.
Hapo sasa huyu angekuwa John Mnyika Wa Chadema angekuwa amepewa kesi ya ugaidi
Lakini kwa kuwa ni mwenzao wanajifanya hawaoni
 
Kitendo cha kuikashifu serikali kila kukicha kwa maamuzi yake maana yake ni kumkashifu kiongozi wake,kwani asiyetaka kuchanjwa ni yeye tu mbona hatusikii hizo kelele kutoka kwa wengine? Ana lake jambo huyo mbwa.
Nileteeni Gwajimaaa! Kumbuka gwajiboy ni mchunga kondoo sasa unataka anyamaze kwa kondoo wake?
 
Back
Top Bottom