#COVID19 Askofu Gwajima: Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi

#COVID19 Askofu Gwajima: Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi

View attachment 1893352

"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"

Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!

My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.
Huyu tapeli Gwajima ngoja amkaange mama hadi akili zimkae sawa. Haya ndio madhara ya kuchanganya dini na siasa. Kura walizoiba mwaka 2020 sasa zimeanza kuwaehua. Na huyu Gwajima atakuwa amekumbwa na PEPO la wizi wa kura.
 
View attachment 1893352

"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"

Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!

My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.
Kuna wapumbavu wamempandikizia Mbowe makosa ya Ugaidi wakati huo huo kiongozi wa magaidi Gwajima yupo ubungo anabwabwaja tu
 
View attachment 1893352

"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"

Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!

My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie a
Mmhh..! Hii sasa inazid kiwango cha kawaida cha maoni. Hii jamaa inajivunia k2 gan hasa😀
 
View attachment 1893352

"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"

Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!

My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.

Gwajima ameshajua wanaomfuatilia ni wapenda drama, vituko na wajingawajinga hivyo ataendelea kuwalisha ujinga kama mtaendelea kumpa sadaka. Sadaka haiendi mbinguni inaenda tumboni kwa Gwajima 🤔 huyu ni mfanya biashara
 
Hivi kukataa kuchanjwa ni tusi ?
Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
 
View attachment 1893352

"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"

Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!

My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.
Ngoja waendelee kumchekea wataisoma namba
 
Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
Ni waoi katukana?
 
Lisu au mbowe angekua msilamu dunia ingewaka moto kwanini nyie watu huwa hamuwez kuwaza beyond dini hii ni inferior complex au ignorance of highest level?
Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
 
Binafsi nimechanjwa na kwa siku 3 kutokea nilipochanjwa nilikuwa na headache ya hatari kuweza kufanya lolote. Hata kutembelea JF tu ilikuwa kwa mbinde.

SSH aliendelea na shughuli zake?!

Nimeongea na wenzangu wengi bado sijaweza kuwa na kanzidata ya kutosha kabla ya kumrukia ki Gwajiboy.

Kuna habari kuwa serikalini walishapata Pfizer mapema tu.

Simwungi mkono Gwajiboy kuhamasisha watu wasichanjwe, ila kwenye kuchanjwa wakuu hawa Gwajiboy anaweza kuwa na point.

Cc: Jumbe Brown BAK
Wakala wa chanjo naona akili imeanza kukurudia
 
Mpaka sasa watu laki mbili wamechanjwa zaidi ya siku kumi zimepita
It will take us 5 years to vaccinate 30,000 (50%) of the population
Tujitokeze tukachanjwe
Hao ni wale viherehere, Ila waliobaki ndio ambao hawataki kusikia chanjo. Hivyo number lazima ishuke sana
 
..mimi sijaiona video.

..lakini kama kinachoripotiwa ni kweli basi Gwajima amevuka mpaka.

..kudai kwamba viongozi wamechomwa chanjo feki ili kuwalaghai wananchi ni tuhuma nzito.

..na kama tuhuma hizo si za kweli basi Gwajima atakuwa amekashifu na kutukana.
Kwani yule Afisa Elimu wa Arusha ambaye mpaka amesimamishwa kazi ni uongo? Tatizo lenu mnamajibu tayari ya viongozi wengine!!
 
Peleka huko chokochoko za udini... Koma kujaribu kuibua uzushi wa udini zama hizi...

Huoni bi mkubwa anavojaza waisilamu kwenye serikali yake, Wakristo nao wakinyanyua hoja za udini unapakwenda?!

KOMA
We Mdini sana!

Leta data kwenye yafuatay:
Kwenye mawaziri waislam ni % ngapi?
makatibu wakuu waislam ni % ngapi?
Wakuu wa Mikoa waislam ni % ngapi?
Wakuu wa wilaya waislam ni % ngapi?
Wakurugenzi walioteuliwa majuzi waislam ni % ngapi?

Hivi hizi tabia za kujadili teuzi kwa kuangalia dini zao na sio taaluma na uwezo wao. Stupid mindset.
 
Binafsi nimechanjwa na kwa siku 3 kutokea nilipochanjwa nilikuwa na headache ya hatari kuweza kufanya lolote. Hata kutembelea JF tu ilikuwa kwa mbinde.

SSH aliendelea na shughuli zake?!

Nimeongea na wenzangu wengi bado sijaweza kuwa na kanzidata ya kutosha kabla ya kumrukia ki Gwajiboy.

Kuna habari kuwa serikalini walishapata Pfizer mapema tu.

Simwungi mkono Gwajiboy kuhamasisha watu wasichanjwe, ila kwenye kuchanjwa wakuu hawa Gwajiboy anaweza kuwa na point.

Cc: Jumbe Brown BAK
Na bado kila mwaka sasa itabidi uchanjwe la sivyo itabidi ufe tu hata na ugonjwa wowote kwa kuwa immunity yako ya asili umeshaiharibu mkuu. Pole sana!
 
View attachment 1893352

"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"

Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!

My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.
Ndio mjuwe kuna siri hatuzijuwi
 
Back
Top Bottom