ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,979
Waambie na wengine waacheUbunge wenyewe wa kupewa na Jiwe hata akiuacha hana cha kupoteza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie na wengine waacheUbunge wenyewe wa kupewa na Jiwe hata akiuacha hana cha kupoteza
Inatuhusu Nini wanajf? Hebu jifunze kuleta hoja za kutafakarisha humu!Askofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Ingekuwa hiari wasingefuata uchawi Nigeria kuja kuwageuza kuwa mandondocha.Wanachunwa kwa hiari,tozo tozo unachunwa kwa lazima
Ulimsikia alichosema spika ?CHANJO NI HIARI, SIO LAZIMA
KAMA HATAKI NI HIARI YAKE
HALAFU KWA NINI VITISHO KWA JAMBO AMBALO NI HIARI AS LONG AS TAHADHARI ZA KUJIKINGA ZINACHUKULIWA
Kumbe hata ujinga sikuhz ni msimamowanakawe gani hao waliomchagua? Askofu aliingia kwa kura za wizi atutolee ujinga sisi
Hongera ASKOFU kwa MSIMAMO Mlingoti CHUMA Bendera CHUMA wengine BENDERA fuata UPEPOAskofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Alikugaragaza vibaya pale Kawe!Kwani huo ubunge nani alimlazimisha kugombea si alienda kugombea na akasaidiwa na mwendazake kushinda kwa sababu ya njaa zake binafsi? Asitutishe.
Tuko page ya 5 ujue!Inatuhusu Nini wanajf? Hebu jifunze kuleta hoja za kutafakarisha humu!
Wrong is just wrong even if everyone is doing it.Huyu jamaa ni kukaza kweli kweli, kwa hiyo dunia nzima walochanja ni wajinga alafu yeye ndo mwerevu?
Hahahahahaha... We jamaa wewe... Si watatusumbua sana ambao hatutachanja asee...?!Ndio ndio...mimi nasubiria kwanza baada ya mwaka nione impact ya chanjo...wazungu wanaweza kukugeuza shoga
Sio dunia nzima,baadhi tu ndio waliochanja,Marekani mpk wanakupa dola 100,ili uchanjwe.
Mimi nasubiria tu kwa mbaaaaaaaali... Atayeanza tu kudemka najua tayariiiiiiiiiiicku utakaposema unaenda kuchanja ndio unakuta ya mashoga sasa!!
Hamna Askofu hapo muhuni tu huyoAskofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Demokrasia ina gharama zake!Aache use*** anajua ni pesa kiasi gani kimetumika kumuweka hapo iwe kwa hila au kwa halali