Askofu Gwajima: Chadema wana mapepo ndio maana wamesusia bunge na wanalazimisha makanisa yafungwe, Wameshindwa katika jina la Yesu!

gwajima kaona maslahi yake ya sadaka yanataka kuguswa hivyo lazima povu limtoke maana hana kitega uchumi kingine zaidi ya hizo sadaka
 
Baada ya Lowassa kuondoka CDM naye saiv kabadili upepo na kuamua kuwavaa CDM kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…