Askofu Gwajima: Domokaya tuliyemchoka!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Your browser is not able to display this video.


Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.

Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.

Uongo mwiingi
 
Hilo jamaa liongo kama kaka yake aliefariki.Sijui wapoje kanda ile
 
Gwajima Helicopter anayo ipo apo JNIA labda Kama ameiamisha. Kuhusu uongo siwezi kuongeza au kupunguza maana Mungu ndie anajua ukweli wa Mwanadamu.
 
Huyu mzushi tu

Blh blh nyingi

Mm mkazi wa madale sahv nasubiria lami tu

Ova
 
Umesahau na kuwaletea wana kawe treni

Hao ndiyo aina ya wabunge wa ccm waliowengi na wananchi wanakubali kudanganywa tu kama watoto wadogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…