Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wapenda sifa na hawapendi kukosolewa hata kidogoHilo jamaa liongo kama kaka yake aliefariki.Sijui wapoje kanda ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapenda sifa na hawapendi kukosolewa hata kidogoHilo jamaa liongo kama kaka yake aliefariki.Sijui wapoje kanda ile
Ni muongo sana huyo mchungaji wa michangoGwajima Helicopter anayo ipo apo JNIA labda Kama ameiamisha. Kuhusu uongo siwezi kuongeza au kupunguza maana Mungu ndie anajua ukweli wa Mwanadamu.
Naona umeamua kuwatukana wana ccm wenzakoGwajiboy piga hapohapo mashetani yatoke pangoni.
Hela ya kununulia Treni imepatikana cashhhh - GwajimaView attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi!!!!
Kila tukiwaambia chadema mmeishiwa sera na mmekufa kisiasa mnabisha!View attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi!!!!
Aropoke awezavyo ila tuu asi compromise maslahi ya Nchi.View attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi!!!!
Mkuu huo uharo ulioutoa umekuzuia kuona uongo wa Gwajima?Kila tukiwaambia chadema mmeishiwa sera na mmekufa kisiasa mnabisha!
Yaani chama ambacho kuanzia mwenyekiti,Makamu mwenyekiti, wabunge na makada woote mnakosa hoja mnabaki kusengengenya watu na matukio mitandaoni. majungu
Kuna hoja nyingi za msimgi kitaifa za kero kwa wananchi ambaxo kama mnajinasibu chama makini mlitakiwa kuzipandisha kwa wananchi kwa sasa.
Lakini nyinyi mnapokezana umbea na majungu kutwa kucha.
Mna ubaya na kila mtu anaefikiri tofauti na nyinyi. Hamna staha ukimsikiliza Tundu lissu utadhani ni mtu anaongelea kijiweni kumbe makamu mwenyekiti kabisa....same thing kwa Lema,Heche,Msigwa,Mnyika,
Mrema,Sugu,Mdude...yaani woote mnapayuka payuka tu.
Ndio maana woote waliojitambua walikimbia mapema
Huku mitandaoni vijana wenu ni matusi tupu...sasa kwa nini hambadiliki?
Wananchi wanapowakataa ni halali yao,maana hamfanyi siasa safi bali fitna tupu.
Mnagombania riziki hadi mnaitana covid19 .
Mnakwama wapi?
Sasa hivi mnacheza muziki wa CCM mchana kutwa.mmesahau kwamba siku zinasonga?
Mkianza na Sabaya mnamaliza na Makonda mara Polepole mara mumshabikie Membe yaani hamjitambuwi.
Sasa naona mnahangaika na Gwajima.....hii haiwasaidii kitu zaidi ya kuwaongezea msongo wa mawazo ya kupigwa chini 2020.
Mnagombana hadi na maiti waliopumzishwa kaburini...yaani mnakera sana nyie jamaaa!
Jamaa ni muongo ile mbaya!Gwajima Helicopter anayo ipo apo JNIA labda Kama ameiamisha. Kuhusu uongo siwezi kuongeza au kupunguza maana Mungu ndie anajua ukweli wa Mwanadamu.
Sio kosa lake, yeye anatengeneza pesa kutokana na hayo maneno, wa kuwashangaa ni wale wanaokubali hayo maneno kama sio ya kweli !View attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi!!!!
Wahuni wako kila chama.Naona umeamua kuwatukana wana ccm wenzako
Ccm ndiyo kichaka cha kufuga wahuni na kina HamzaWahuni wako kila chama.
Boya wee. Kwahiyo wewe ukiongopewa hujui hadi Mungu ajue? Nyie ndio mnawanufaisha hawa manabii wa uongo.Gwajima Helicopter anayo ipo apo JNIA labda Kama ameiamisha. Kuhusu uongo siwezi kuongeza au kupunguza maana Mungu ndie anajua ukweli wa Mwanadamu.
Gwajima ni mmoja wa matapeli wa kidini wanaotumia madhabahu kufanya uasherati na wanawake wenye frustrations za ndoa.View attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi!!!!
Acheni kujadili watu na matukio bali njooni na hoja na sera kwa manufaa ya taifa.Mkuu huo uharo ulioutoa umekuzuia kuona uongo wa Gwajima?
Na hiyo clip ni majungu?
Uoni wako naona hauna uhusiano na udadavuzi wako.
Na mataahira yanashangilia!View attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi!!!!