Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Askofu anapiga injili kwenye mshono wenye majini na mapepo wanajitokeza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mbwa koko na muda wake umefikaView attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi!!!!
Hiyo nzito!Gwajima ni mmoja wa matapeli wa kidini wanaotumia madhabahu kufanya uasherati na wanawake wenye frustrations za ndoa.
Kwani Huyo gwajima ni askofu au ni tapeli aliyejipa jina cheo cha askofu ?View attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi!!!!
We achakabisa watu wawili ndiyo iwe kanda nzima?Hilo jamaa liongo kama kaka yake aliefariki.Sijui wapoje kanda ile
Ukisha kuwa Askofu muongo, naturally unapata cheo cha Askofu tapeli.Kwani Huyo gwajima ni askofu au ni tapeli aliyejipa jina cheo cha askofu ?
Mkuu mimi niko specific zaidi, Gwajima ana sifa ya uongo na kuonekana mtu wa hila na fitina.
Cheo cha Askofu hakiendani na matendo yake.Kwani Huyo gwajima ni askofu au ni tapeli aliyejipa jina cheo cha askofu ?
Halafu wewe kiherehere cha kufuatilia uongo wake unakitoa wapi? Mwenzako Domokaya na wewe ni Masikiokaya! Ahahahahahahaha!!!View attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi
Inatakiwa wajifungie hekaluni wadanganyane mpaka wageuke rangi wawe bluu!Halafu wewe kiherehere cha kufuatilia uongo wake unakitoa wapi? Mwenzako Domokaya na wewe ni Masikiokaya! Ahahahahahahaha!!!
Sijui kwanini sukuma gang wanapenda uongoView attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi
Vitu vingine sio uongo, kama safari ya Birmingham, Marekani, bado ipo ila imekwamisha na Corona.View attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi
Hujui huyo mchungaji ni jizi ? Kweli CCM ni kokoroView attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi
kaka ake aliongopa nini?Hilo jamaa liongo kama kaka yake aliefariki.Sijui wapoje kanda ile
Kila kitu.kaka ake aliongopa nini?
Msukuma mwingine muongo huyu hapa.Vitu vingine sio uongo, kama safari ya Birmingham, Marekani, bado ipo ila imekwamisha na Corona.
Corona ikiisha, sio tuu safari inaendelea, bali treni ya umeme inatua, jet inatua, latest model ta hummer, barabarani kwetu Kawe
P