Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Amesomesha marubani wanne ....nje ya nchi kwa miliion 120 kwa kila mmoja.View attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi
You are basically stupid!Amesomesha marubani wanne ....nje ya nchi kwa miliion 120 kwa kila mmoja.
Kulingana na post yako inaonekana kuwa una chuki binafsi na gwajiboy.
Kama maisha yako yamekushinda kuyaendesha si lazima stress zako uanze kuzitoa kwa mfumo wa kuchanganyikiwa au chizi
Grow up
Alisema treni aliyoagiza imefika bandariniView attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi
Wewe inaonekana ni miongoni mwa misukule aliyofufua!Amesomesha marubani wanne ....nje ya nchi kwa miliion 120 kwa kila mmoja.
Kulingana na post yako inaonekana kuwa una chuki binafsi na gwajiboy.
Kama maisha yako yamekushinda kuyaendesha si lazima stress zako uanze kuzitoa kwa mfumo wa kuchanganyikiwa au chizi
Grow up
Watu wajinga wajinga hamkosi kuwepo katika jamii.Amesomesha marubani wanne ....nje ya nchi kwa miliion 120 kwa kila mmoja.
Kulingana na post yako inaonekana kuwa una chuki binafsi na gwajiboy.
Kama maisha yako yamekushinda kuyaendesha si lazima stress zako uanze kuzitoa kwa mfumo wa kuchanganyikiwa au chizi
Grow up
Kumbe ww hujitambui kbsa ,mimi nimezungumzia nini na ww unauliza nini ww kihoroYou are basically stupid!
Hebu uonyeshe treni kwa kuanzia!
NdiyoWewe inaonekana ni miongoni mwa misukule aliyofufua!
Toka kwa mume wa dada ako apo ww ...unakula na kulala bure huku dada ako anaikatikia ndani...Watu wajinga wajinga hamkosi kuwepo katika jamii.
Mtu una mke na watoto, unakula ugali wako halafu unaenda kukubali upuuzi wa Gwajima kununua treni na kuizindua wiki inayofuata!
Na hiyo treni(sijui ni kichwa na mabehewa?) ataitembeza Kawe au TRC au TAZARA?
Mnaaminishwa vitu ambavyo hata haviingii akilini.
Jamaa hapo kakuita stupid, mimi nafikiri wewe ni idiot.
Wajinga wajinga mko wengi.Toka kwa mume wa dada ako apo ww ...unakula na kulala bure huku dada ako anaikatikia ndani...
Kajitegemee ww mburula
Hujajibu swali: tuonyeshe treni la Kawe.Kumbe ww hujitambui kbsa ,mimi nimezungumzia nini na ww unauliza nini ww kihoro
Askofu wa uongo au siyoMimi si askofu!
Hawa akina Riyan ndiyo misukule ya Gwajima. Hayasikii kitu baada ya kuwa brainwashed. Yako tayari kutoa sadaka mpaka hela ya kula na nauli halafu menyewe yakashinda na njaa au kutembea kwa mguu, ilimradi Gwajima asomeshe mtu urubaniAmesomesha marubani wanne ....nje ya nchi kwa miliion 120 kwa kila mmoja.
Kulingana na post yako inaonekana kuwa una chuki binafsi na gwajiboy.
Kama maisha yako yamekushinda kuyaendesha si lazima stress zako uanze kuzitoa kwa mfumo wa kuchanganyikiwa au chizi
Grow up
Heshimu Viongozi wa Dini mbona Wanasiasa wote ndivyo walivyo
Hivi, Umeisoma hii kabla ya kupost. Huwezi kuwa kiongozi wa dini unayetaka heshima ukatamani kwenda kujichafua katika siasa zetu hizi za kiafrika.Heshimu Viongozi wa Dini mbona Wanasiasa wote ndivyo walivyo
Hilo jamaa liongo kama kaka yake aliefariki.Sijui wapoje kanda ile
Mbona hii ni vita ya man to man una interest gani na hichi kichwa cha baba askofu gwajiboy... Shida fake ID kama unao uwezo nenda pale madhabahuni ukamwambie unayoyasema hapaView attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi
Kwani uongo una zingatiwa ni nani anaongea uongo... Dhambi ni dhambi tu haina cheo, jina, umri nk ukisema uongo adhabu yenu ni mojaMimi si askofu!
Mimi si mwanachama wa chama cha siasa ila hapa kuingiza chama unatutoa kwenye mjadala maana anayejadiliwa hapa si chama, ila ni hivi;Kila tukiwaambia chadema mmeishiwa sera na mmekufa kisiasa mnabisha!
Yaani chama ambacho kuanzia mwenyekiti,Makamu mwenyekiti, wabunge na makada woote mnakosa hoja mnabaki kusengengenya watu na matukio mitandaoni. majungu
Kuna hoja nyingi za msimgi kitaifa za kero kwa wananchi ambaxo kama mnajinasibu chama makini mlitakiwa kuzipandisha kwa wananchi kwa sasa.
Lakini nyinyi mnapokezana umbea na majungu kutwa kucha.
Mna ubaya na kila mtu anaefikiri tofauti na nyinyi. Hamna staha ukimsikiliza Tundu lissu utadhani ni mtu anaongelea kijiweni kumbe makamu mwenyekiti kabisa....same thing kwa Lema,Heche,Msigwa,Mnyika,
Mrema,Sugu,Mdude...yaani woote mnapayuka payuka tu.
Ndio maana woote waliojitambua walikimbia mapema
Huku mitandaoni vijana wenu ni matusi tupu...sasa kwa nini hambadiliki?
Wananchi wanapowakataa ni halali yao,maana hamfanyi siasa safi bali fitna tupu.
Mnagombania riziki hadi mnaitana covid19 .
Mnakwama wapi?
Sasa hivi mnacheza muziki wa CCM mchana kutwa.mmesahau kwamba siku zinasonga?
Mkianza na Sabaya mnamaliza na Makonda mara Polepole mara mumshabikie Membe yaani hamjitambuwi.
Sasa naona mnahangaika na Gwajima.....hii haiwasaidii kitu zaidi ya kuwaongezea msongo wa mawazo ya kupigwa chini 2020.
Mnagombana hadi na maiti waliopumzishwa kaburini...yaani mnakera sana nyie jamaaa!
View attachment 2051012
Kama kuna mtu muongo, msema ovyo na generally haaminiki, basi ni huyu Askofu Gwajima.
Kuna video nyingi akiongea vitu tofauti, kuna wakati lisema ananunua helikopta, mara atawapeleka wana Kawe Birmingham, Marekani.
Uongo mwiingi
Na wewe The Boss mkongwe unamiskiliza gwaji na kuamini kila kitu , shida ni nyie mnaotega sikio na kuamini kila kitu na kupiga ndiyo mnatabu sanaAlipata umaarufu kwa kusema atamfufua Amina Chifupa.. imagine that
Na Leo ni mbunge..
Taifa la wapumbavu hili
Mwambieni Gwajima alete treni aliloahidi!Kwa akili zako zilivyo lazima uamini kuwa anaweza kuwapeleka wana kawe Birmingham, shida haipo kwa askofu shida ni kwa nyie akili zenu zinapokea kila kitu na kuamini ndiyo maaa CCM huwa ni rahisi sana kuwadangany watu wa sampuli yako