Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima kugombea ubunge Kibiblia atafakari upya kama mtumishi wa Mungu

Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima kugombea ubunge Kibiblia atafakari upya kama mtumishi wa Mungu

Mgombea anakataliwa katika box la kura, iwe chamani au jimboni. Mengine ni chuki binafsi na kujilisha upepo.
Mgombea kama Porn Star Gwaji boy huanza kukataliwa mtaani tu huko kwenye sanduku la maoni na kura huwa ni kuhitimisha na kupigilia msumari wa mwisho!!
 
Kwa mujibu wa 1 Timotheo 3 mstari 1 - 10 Gwajima hana sifa ya kuwa askofu!
 
Hakuna sababu nyingine ya kumfanya agombee ubunge bali ni pesa na uheshimiwa.
 
Huko Kawe chungeni wake zenu, bazazi mtafuna kondoo wake na wake za watu anabisha hodi huko.
 
Wengi sanaaaa,
tena waumini wake wa kike wameongezeka mara 12 baada ya kuwaonesha umahiri wake wa kuwakatikia huduma za kiroho na kimwili chumbani.
Sijui matapeli kama hawa huwa wanawakamata na nini watu! Inasikitisha
 
Kwanza atusibitishie kuwa kweli ile video imeeditiwa alafu ndio tumpe ridhaa ya kwenda Bungeni.
 
Habari wakuu!

Jana Askofu Gwajima ametangaza nia ya kugombea ubunge kwa tiketi ya chama tawala na ametoa sababu nyingi tu kwa nn yy ni Askofu na anataka kuingia kwenye siasa! Mm kama mtumishi wa Mungu pia na mchambuzi wa Biblia natoa sababu kwa nini askofu gwajima hatakiwa kuwa kwenye siasa.

1: Neno asikofu kibiblia ndo Kazi njema kuliko kazi nyingine zote, kuwa Askofu maanake ww unaongoza makanisa mengine, na umeitwa na Mungu kwa ajili ya Kazi hiyo, maana nyingine unamwakilisha Mungu hapa duniani, na unalipwa na Mungu.

2: Askofu Gwajima ni kiongozi wa kiroho anayeongoza watu wote wa vyama tofauti sasa anapoingia kwenye siasa ataweza kkuwa na ujasiri wa kukemea mabaya yatakayofanywa na chama chake?? Lakini pia Kanisani kwake ataweza kuhubiri bila kuwa na itikadi ya chama?

3: Kazi kubwa ya Askofu Gwajima ni kuwaleta watu kwa Yesu, he! Hiyo Kazi kaimaliza??? ( Rejea kwenye Biblia mavuno ni mengi watenda Kazi ni wachache) bado maasi yanaongezeka duniani huu ndo muda ambao angeutumia kuihubiri injili kwa kila kijiji na kabila watu waache dhambi, hii Kazi hajaimaliza bado anaenda kwenye majukumu mengine ya kaisaria.

4: Mifano aliyoitoa yote haina mashiko ukilinganisha na wito wake, kwanza lwakatare bila shaka alikuwa ni mbunge wa vyiti maalum maanake wa kuteuliwa, na madhara yake tuliyaona hana rekodi ya kuhubiri injili mikoani tofauti na Kanisani kwake!, lakini mchungaji Msigwa au mtikila baada ya kuingia tu kwenye siasa wote tunajua lina baki jina tu uchungaji lakini ule wito kamili unaondoka!

6: Huwezi kuwatumikia mabwana wawili ni lazima umchukie mmoja na umpende mmoja.

7:Kugombea ubunge na ww ukiwa mtumishi wa Mungu sio dhambi lakini madhara yake ni makubwa kwenye ulimwengu wa roho.

8: Kama ni swala la kumsaidia Rais hata hapo alipo uwezo huo anao sana sio mpaka uwe mbunge!

9: Kuwa mbunge ni kujiongezea majukumu ambayo sio ya lazima kwako ili hali kondoo bado wanahitaji malisho yako.

10: Gwajima alianza vizr ila kwenye siasa ungewaachia wenyewe ww uwe mshauri tu:

Note: Nia ya mwili ni mauti lakini nia ya Rohoni ni uzima wa milele, Mungu anaangalia mwisho mwema wala sio mwanzo, gwajima ww huwezi kutolea mfano wa papa wa Italia! Huko ni kuwafurahisha wanadamu ili hali ukweli unaujua tofauti ya makanisa ya kidini na makanisa ya kiroho! Labda kama unataka kuwa mwanadini sawa!

Ili kuelewa jambo hili unashauriwa kusoma mada hii
=> Uchaguzi 2020 - Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe
Ya mama Lwakatare na Gwajima ni sawa. Watu wawe waangalifu.
 
Gwaji Boy si askofu ni porn star and business man, mchumia tumbo kupitia Faith Business!!Anaujua uislam ni dini ya kweli na ni hatari kwa ustawi wa ukristo sababu kila aya ya Al Furqan ina logic na sasa anapambana na uislam ndani na nje ya nchi , Gwaji boy ni fundi wa mauno na ngono na wake za waumini wake tu hafai kuwa kiongozi wa siasa!ni mbaguzi wa kidini!

Kaona mbupu zote sasa zimevutwa anatafuta pa kutokea! kama hustler wengine nampongeza kutangaza nia ila hafai ubunge sababu ni mdini wa kujitangaza mwenyewe kuchukia waislam, na wazungu wanatekeleza ushauri wake kwao wazungu wanaanzisha vita Arabuni na kugoma kupokea wakimbizi!!!

mimi kama kijani makini namshangaa sana kwanini Porn Star Gwaji boy hakugombea ubunge miaka ya nyuma ila alipoingia tu Magu, covid19 na vita ya Madawa ya Makonda mpunga sasa umekata karukia Siasa !! shame on him!!

Gwaji boy hana aibu na mauno yote yale akienda bungeni atadeal na viti maalum wote awamalize na kuekti nao porn zingine tutaziona nazo pia! nilikagua ile clip mara kumi nikajihakikishia ni Gwaji Boy halisi sio fake!!bichwa lake la kijijini lile unaediti vipi?

Sisiem tusifuge uchafu kama huu na kuupeleka bungeni!! kijani tuwaheshimu wapiga kura wetu si kuwapelekea bungeni uchafu kama Gwaji Boy tuangalie watangaza nia walio wasafi , wazalendo na makini tu!
kwa nini waislamu hawaendi nchi za kiarabu zilizo shwari kuomba ukimbizi ila kila siku Ulaya tu...wazungu wamegundua njama zenu ..mnazaana kama sungura Ulaya ili iweje...
 
Habari wakuu!

Jana Askofu Gwajima ametangaza nia ya kugombea ubunge kwa tiketi ya chama tawala na ametoa sababu nyingi tu kwa nn yy ni Askofu na anataka kuingia kwenye siasa! Mm kama mtumishi wa Mungu pia na mchambuzi wa Biblia natoa sababu kwa nini askofu gwajima hatakiwa kuwa kwenye siasa.

1: Neno asikofu kibiblia ndo Kazi njema kuliko kazi nyingine zote, kuwa Askofu maanake ww unaongoza makanisa mengine, na umeitwa na Mungu kwa ajili ya Kazi hiyo, maana nyingine unamwakilisha Mungu hapa duniani, na unalipwa na Mungu.

2: Askofu Gwajima ni kiongozi wa kiroho anayeongoza watu wote wa vyama tofauti sasa anapoingia kwenye siasa ataweza kkuwa na ujasiri wa kukemea mabaya yatakayofanywa na chama chake?? Lakini pia Kanisani kwake ataweza kuhubiri bila kuwa na itikadi ya chama?

3: Kazi kubwa ya Askofu Gwajima ni kuwaleta watu kwa Yesu, he! Hiyo Kazi kaimaliza??? ( Rejea kwenye Biblia mavuno ni mengi watenda Kazi ni wachache) bado maasi yanaongezeka duniani huu ndo muda ambao angeutumia kuihubiri injili kwa kila kijiji na kabila watu waache dhambi, hii Kazi hajaimaliza bado anaenda kwenye majukumu mengine ya kaisaria.

4: Mifano aliyoitoa yote haina mashiko ukilinganisha na wito wake, kwanza lwakatare bila shaka alikuwa ni mbunge wa vyiti maalum maanake wa kuteuliwa, na madhara yake tuliyaona hana rekodi ya kuhubiri injili mikoani tofauti na Kanisani kwake!, lakini mchungaji Msigwa au mtikila baada ya kuingia tu kwenye siasa wote tunajua lina baki jina tu uchungaji lakini ule wito kamili unaondoka!

6: Huwezi kuwatumikia mabwana wawili ni lazima umchukie mmoja na umpende mmoja.

7:Kugombea ubunge na ww ukiwa mtumishi wa Mungu sio dhambi lakini madhara yake ni makubwa kwenye ulimwengu wa roho.

8: Kama ni swala la kumsaidia Rais hata hapo alipo uwezo huo anao sana sio mpaka uwe mbunge!

9: Kuwa mbunge ni kujiongezea majukumu ambayo sio ya lazima kwako ili hali kondoo bado wanahitaji malisho yako.

10: Gwajima alianza vizr ila kwenye siasa ungewaachia wenyewe ww uwe mshauri tu:

Note: Nia ya mwili ni mauti lakini nia ya Rohoni ni uzima wa milele, Mungu anaangalia mwisho mwema wala sio mwanzo, gwajima ww huwezi kutolea mfano wa papa wa Italia! Huko ni kuwafurahisha wanadamu ili hali ukweli unaujua tofauti ya makanisa ya kidini na makanisa ya kiroho! Labda kama unataka kuwa mwanadini sawa!

Ili kuelewa jambo hili unashauriwa kusoma mada hii
=> Uchaguzi 2020 - Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe
Tangu lini gwaji alishawahi kuwa askofu?
 
Tatizo bunge letu lina majembe membe sasa tunapeleka machete masululu mundu mapanga ba majaba na tupa na mifuniko.
Mpaka kieleweke
 
Mgombea kama Porn Star Gwaji boy huanza kukataliwa mtaani tu huko kwenye sanduku la maoni na kura huwa ni kuhitimisha na kupigilia msumari wa mwisho!!
[/QUO
Kushinda na kushindwa ndiyo matokeo ya mgombea, mengine ni sifa za matendo yaliyo wazi kwa mtajwa na yaliyojificha kwa wale wanaomtaja.
 
Habari wakuu!

Jana Askofu Gwajima ametangaza nia ya kugombea ubunge kwa tiketi ya chama tawala na ametoa sababu nyingi tu kwa nn yy ni Askofu na anataka kuingia kwenye siasa! Mm kama mtumishi wa Mungu pia na mchambuzi wa Biblia natoa sababu kwa nini askofu gwajima hatakiwa kuwa kwenye siasa.

1: Neno asikofu kibiblia ndo Kazi njema kuliko kazi nyingine zote, kuwa Askofu maanake ww unaongoza makanisa mengine, na umeitwa na Mungu kwa ajili ya Kazi hiyo, maana nyingine unamwakilisha Mungu hapa duniani, na unalipwa na Mungu.

2: Askofu Gwajima ni kiongozi wa kiroho anayeongoza watu wote wa vyama tofauti sasa anapoingia kwenye siasa ataweza kkuwa na ujasiri wa kukemea mabaya yatakayofanywa na chama chake?? Lakini pia Kanisani kwake ataweza kuhubiri bila kuwa na itikadi ya chama?

3: Kazi kubwa ya Askofu Gwajima ni kuwaleta watu kwa Yesu, he! Hiyo Kazi kaimaliza??? ( Rejea kwenye Biblia mavuno ni mengi watenda Kazi ni wachache) bado maasi yanaongezeka duniani huu ndo muda ambao angeutumia kuihubiri injili kwa kila kijiji na kabila watu waache dhambi, hii Kazi hajaimaliza bado anaenda kwenye majukumu mengine ya kaisaria.

4: Mifano aliyoitoa yote haina mashiko ukilinganisha na wito wake, kwanza lwakatare bila shaka alikuwa ni mbunge wa vyiti maalum maanake wa kuteuliwa, na madhara yake tuliyaona hana rekodi ya kuhubiri injili mikoani tofauti na Kanisani kwake!, lakini mchungaji Msigwa au mtikila baada ya kuingia tu kwenye siasa wote tunajua lina baki jina tu uchungaji lakini ule wito kamili unaondoka!

6: Huwezi kuwatumikia mabwana wawili ni lazima umchukie mmoja na umpende mmoja.

7:Kugombea ubunge na ww ukiwa mtumishi wa Mungu sio dhambi lakini madhara yake ni makubwa kwenye ulimwengu wa roho.

8: Kama ni swala la kumsaidia Rais hata hapo alipo uwezo huo anao sana sio mpaka uwe mbunge!

9: Kuwa mbunge ni kujiongezea majukumu ambayo sio ya lazima kwako ili hali kondoo bado wanahitaji malisho yako.

10: Gwajima alianza vizr ila kwenye siasa ungewaachia wenyewe ww uwe mshauri tu:

Note: Nia ya mwili ni mauti lakini nia ya Rohoni ni uzima wa milele, Mungu anaangalia mwisho mwema wala sio mwanzo, gwajima ww huwezi kutolea mfano wa papa wa Italia! Huko ni kuwafurahisha wanadamu ili hali ukweli unaujua tofauti ya makanisa ya kidini na makanisa ya kiroho! Labda kama unataka kuwa mwanadini sawa!

Ili kuelewa jambo hili unashauriwa kusoma mada hii
=> Uchaguzi 2020 - Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe

Angalizo na ushauri wako una mantiki. Nami nakuunga mkono 100%...

Labda niseme kidogo, kwamba;

Askofu Gwajima ni miongoni mwa watumishi wa Mungu wanaoni - inspire sana katika maisha yangu ya kiroho. Niseme wazi kuwa Mungu anamtumia sana kugusa roho za wengi. In case kama alikuwa hajui hili, basi afahamu hivyo kuanzia leo...

Mara zote aliposhambuliwa kwa hili ama lile, binafsi nilikataa kuukubali uzushi wowote dhidi yake na nilimtetea sana kwa kupiga magoti kumwombea...

Lakini recently hasa tangu kuanza mwaka huu 2020, Askofu Gwajima ameonekana mara mbili au tatu akitoa kauli tata kidogo ikiwemo ile ya kuwaomba watu wa kabila lake wasukuma kumtetea na kumpigania Rais Magufuli ambaye kikabila inasemekana ni msukuma....

Alipohojiwa na kujitetea kuhusu hili la kushabikia ukabila, na kulitolea ufafanuzi niliendelea kuweka imani yangu kwake kama baba yangu wa kiroho....

Lakini kama hili linalo - trend sasa la kutaka kujiingiza kwenye siasa moja kwa moja ni la kweli na kutaka kutumikia mabwana wawili, basi ni dhahiri kuwa Bwana mmoja atapendwa na atamchukia mmojawapo.....

Kuna hatari anakwenda kuacha wito wake mkuu wa kuzileta roho kwa Mungu. Na kwa hili, binafsi sina hakika kama ameongozwa na Roho Mtakatifu kuchukua maamuzi haya...

I am afraid kuwa, huyu anakwenda kuizika rasmi huduma yake...

Akumbuke kuwa hata Yesu Kristo kuna wakati wayahudi walimwendea na kutaka kumfanya awe Mfalme wao. Lakini Yesu, alijua na kuiona mapema sana nia yao hiyo. Mara moja alitafuta kila namna na kuwakwepa kwa sababu wao waliyatazama na kuamua mambo kimwili zaidi....

Bishop Josephat Gwajima acha hilo. Jikite kwenye kazi ya wito wako. Umeitwa kwa ajili ya kujenga Ufalme wa Mungu. Waachie wahusika wa falme za duniani wafanye kazi yao...

Walikuwepo wahubiri maarufu sana miaka ile kama vile Mwinjilisti maarufu sana kati ya miaka 1980s hadi 2000s, Mzee Moses Kulola. Kamwe hakuwahi kuyumba na kutaka kuingia kwenye mitego ya kidunia kama wewe unavyotaka kunasa kirahisi sasa...

Wewe ni "Universal player" katika mambo ya siasa za nchi yetu. Wewe tayari ni Kuhani wa Mungu. Una nafasi ya KUONYA na KUSHAURI na KUELEKEZA kwa uzuri zaidi ukiwa mtu huru hata kama CHADEMA ama ACT WAZALENDO ama CCM ama CUF watakuwa madarakani ukiwa nje ya ulingo wa siasa za moja kwa moja kama unavyotaka kufanya....

Tatizo moja kubwa mnalokabiliwa nalo kwa sasa nyie viongozi wengi wa dini, ni WOGA na HOFU kuikosoa na kuilekeza serikali iliyoko madarakani. Wachache sana ni wa kweli na wajasiri....

Wengi ni wanafiki tu. Wanajali zaidi mahitaji ya miili yao na familia zao (ubinafsi) kuliko kujitoa kwa ajili ya wengine....

Kusimama kwa ajili ya wanyonge ni kama vile alivyofanya Yesu Kristo. Aliwakosoa na kuwaonya watawala wa serikali za dunia hii hii waziwazi bila woga wala hofu. Hakuogopa kusema ukweli....

Na kwa sababu hiyo (kuwakosoa na kuwaonya watawala wa serikali za kidunia) alikufa kwa ajili ya wengi. Alijitoa sadaka kwa ulimwengu wote. Mwisho Mungu alimfufua kutoka kwa wafu. Yu hai hata Leo. Alishinda kifo na mauti....

Sijui kama na wewe unaingia kundi hili. ..
 
Habari wakuu!

Jana Askofu Gwajima ametangaza nia ya kugombea ubunge kwa tiketi ya chama tawala na ametoa sababu nyingi tu kwa nn yy ni Askofu na anataka kuingia kwenye siasa! Mm kama mtumishi wa Mungu pia na mchambuzi wa Biblia natoa sababu kwa nini askofu gwajima hatakiwa kuwa kwenye siasa.

1: Neno asikofu kibiblia ndo Kazi njema kuliko kazi nyingine zote, kuwa Askofu maanake ww unaongoza makanisa mengine, na umeitwa na Mungu kwa ajili ya Kazi hiyo, maana nyingine unamwakilisha Mungu hapa duniani, na unalipwa na Mungu.

2: Askofu Gwajima ni kiongozi wa kiroho anayeongoza watu wote wa vyama tofauti sasa anapoingia kwenye siasa ataweza kkuwa na ujasiri wa kukemea mabaya yatakayofanywa na chama chake?? Lakini pia Kanisani kwake ataweza kuhubiri bila kuwa na itikadi ya chama?

3: Kazi kubwa ya Askofu Gwajima ni kuwaleta watu kwa Yesu, he! Hiyo Kazi kaimaliza??? ( Rejea kwenye Biblia mavuno ni mengi watenda Kazi ni wachache) bado maasi yanaongezeka duniani huu ndo muda ambao angeutumia kuihubiri injili kwa kila kijiji na kabila watu waache dhambi, hii Kazi hajaimaliza bado anaenda kwenye majukumu mengine ya kaisaria.

4: Mifano aliyoitoa yote haina mashiko ukilinganisha na wito wake, kwanza lwakatare bila shaka alikuwa ni mbunge wa vyiti maalum maanake wa kuteuliwa, na madhara yake tuliyaona hana rekodi ya kuhubiri injili mikoani tofauti na Kanisani kwake!, lakini mchungaji Msigwa au mtikila baada ya kuingia tu kwenye siasa wote tunajua lina baki jina tu uchungaji lakini ule wito kamili unaondoka!

6: Huwezi kuwatumikia mabwana wawili ni lazima umchukie mmoja na umpende mmoja.

7:Kugombea ubunge na ww ukiwa mtumishi wa Mungu sio dhambi lakini madhara yake ni makubwa kwenye ulimwengu wa roho.

8: Kama ni swala la kumsaidia Rais hata hapo alipo uwezo huo anao sana sio mpaka uwe mbunge!

9: Kuwa mbunge ni kujiongezea majukumu ambayo sio ya lazima kwako ili hali kondoo bado wanahitaji malisho yako.

10: Gwajima alianza vizr ila kwenye siasa ungewaachia wenyewe ww uwe mshauri tu:

Note: Nia ya mwili ni mauti lakini nia ya Rohoni ni uzima wa milele, Mungu anaangalia mwisho mwema wala sio mwanzo, gwajima ww huwezi kutolea mfano wa papa wa Italia! Huko ni kuwafurahisha wanadamu ili hali ukweli unaujua tofauti ya makanisa ya kidini na makanisa ya kiroho! Labda kama unataka kuwa mwanadini sawa!

Ili kuelewa jambo hili unashauriwa kusoma mada hii
=> Uchaguzi 2020 - Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe
Gwajima mwenyewe ni huyu anayeonekana kwenye video hii ?
FB_IMG_1593705284834.jpg
 
Habari wakuu!

Jana Askofu Gwajima ametangaza nia ya kugombea ubunge kwa tiketi ya chama tawala na ametoa sababu nyingi tu kwa nn yy ni Askofu na anataka kuingia kwenye siasa! Mm kama mtumishi wa Mungu pia na mchambuzi wa Biblia natoa sababu kwa nini askofu gwajima hatakiwa kuwa kwenye siasa.

1: Neno asikofu kibiblia ndo Kazi njema kuliko kazi nyingine zote, kuwa Askofu maanake ww unaongoza makanisa mengine, na umeitwa na Mungu kwa ajili ya Kazi hiyo, maana nyingine unamwakilisha Mungu hapa duniani, na unalipwa na Mungu.

2: Askofu Gwajima ni kiongozi wa kiroho anayeongoza watu wote wa vyama tofauti sasa anapoingia kwenye siasa ataweza kkuwa na ujasiri wa kukemea mabaya yatakayofanywa na chama chake?? Lakini pia Kanisani kwake ataweza kuhubiri bila kuwa na itikadi ya chama?

3: Kazi kubwa ya Askofu Gwajima ni kuwaleta watu kwa Yesu, he! Hiyo Kazi kaimaliza??? ( Rejea kwenye Biblia mavuno ni mengi watenda Kazi ni wachache) bado maasi yanaongezeka duniani huu ndo muda ambao angeutumia kuihubiri injili kwa kila kijiji na kabila watu waache dhambi, hii Kazi hajaimaliza bado anaenda kwenye majukumu mengine ya kaisaria.

4: Mifano aliyoitoa yote haina mashiko ukilinganisha na wito wake, kwanza lwakatare bila shaka alikuwa ni mbunge wa vyiti maalum maanake wa kuteuliwa, na madhara yake tuliyaona hana rekodi ya kuhubiri injili mikoani tofauti na Kanisani kwake!, lakini mchungaji Msigwa au mtikila baada ya kuingia tu kwenye siasa wote tunajua lina baki jina tu uchungaji lakini ule wito kamili unaondoka!

6: Huwezi kuwatumikia mabwana wawili ni lazima umchukie mmoja na umpende mmoja.

7:Kugombea ubunge na ww ukiwa mtumishi wa Mungu sio dhambi lakini madhara yake ni makubwa kwenye ulimwengu wa roho.

8: Kama ni swala la kumsaidia Rais hata hapo alipo uwezo huo anao sana sio mpaka uwe mbunge!

9: Kuwa mbunge ni kujiongezea majukumu ambayo sio ya lazima kwako ili hali kondoo bado wanahitaji malisho yako.

10: Gwajima alianza vizr ila kwenye siasa ungewaachia wenyewe ww uwe mshauri tu:

Note: Nia ya mwili ni mauti lakini nia ya Rohoni ni uzima wa milele, Mungu anaangalia mwisho mwema wala sio mwanzo, gwajima ww huwezi kutolea mfano wa papa wa Italia! Huko ni kuwafurahisha wanadamu ili hali ukweli unaujua tofauti ya makanisa ya kidini na makanisa ya kiroho! Labda kama unataka kuwa mwanadini sawa!

Ili kuelewa jambo hili unashauriwa kusoma mada hii
=> Uchaguzi 2020 - Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe
Huyo muhuni na malaya Uaskofu aliutoa wapi? Uaskofu aliupata kwa mfumo upi? Pumbafu
 
Back
Top Bottom