Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima kugombea ubunge Kibiblia atafakari upya kama mtumishi wa Mungu

Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima kugombea ubunge Kibiblia atafakari upya kama mtumishi wa Mungu

Waliotafunwa wala hawalalamiki halafu wewe ambaye hujatafunwa unalalama kama una nyege si useme tu bishop hawezi kujivunga kwako dear
Mengi ya kibiblia ameshayavunja Mchungaji anatafuna kondoo wake walionona.
 
Huyu gwajima si amewahi sema kwamba kwake yeye kwa nafasi alonayo kuwa waziri ni demotion sasa na huu ubunge
 
Huyu bwana ameanza kunishangaza, asinifanye nianze kuamini yale mapichapicha yake!

Utumishi wa Mungu ni zaidi ya kuwa Rais wa nchi!
 
Habari wakuu!

Jana Askofu Gwajima ametangaza nia ya kugombea ubunge kwa tiketi ya chama tawala na ametoa sababu nyingi tu kwa nn yy ni Askofu na anataka kuingia kwenye siasa! Mm kama mtumishi wa Mungu pia na mchambuzi wa Biblia natoa sababu kwa nini askofu gwajima hatakiwa kuwa kwenye siasa.

1: Neno asikofu kibiblia ndo Kazi njema kuliko kazi nyingine zote, kuwa Askofu maanake ww unaongoza makanisa mengine, na umeitwa na Mungu kwa ajili ya Kazi hiyo, maana nyingine unamwakilisha Mungu hapa duniani, na unalipwa na Mungu.

2: Askofu Gwajima ni kiongozi wa kiroho anayeongoza watu wote wa vyama tofauti sasa anapoingia kwenye siasa ataweza kkuwa na ujasiri wa kukemea mabaya yatakayofanywa na chama chake?? Lakini pia Kanisani kwake ataweza kuhubiri bila kuwa na itikadi ya chama?

3: Kazi kubwa ya Askofu Gwajima ni kuwaleta watu kwa Yesu, he! Hiyo Kazi kaimaliza??? ( Rejea kwenye Biblia mavuno ni mengi watenda Kazi ni wachache) bado maasi yanaongezeka duniani huu ndo muda ambao angeutumia kuihubiri injili kwa kila kijiji na kabila watu waache dhambi, hii Kazi hajaimaliza bado anaenda kwenye majukumu mengine ya kaisaria.

4: Mifano aliyoitoa yote haina mashiko ukilinganisha na wito wake, kwanza lwakatare bila shaka alikuwa ni mbunge wa vyiti maalum maanake wa kuteuliwa, na madhara yake tuliyaona hana rekodi ya kuhubiri injili mikoani tofauti na Kanisani kwake!, lakini mchungaji Msigwa au mtikila baada ya kuingia tu kwenye siasa wote tunajua lina baki jina tu uchungaji lakini ule wito kamili unaondoka!

6: Huwezi kuwatumikia mabwana wawili ni lazima umchukie mmoja na umpende mmoja.

7:Kugombea ubunge na ww ukiwa mtumishi wa Mungu sio dhambi lakini madhara yake ni makubwa kwenye ulimwengu wa roho.

8: Kama ni swala la kumsaidia Rais hata hapo alipo uwezo huo anao sana sio mpaka uwe mbunge!

9: Kuwa mbunge ni kujiongezea majukumu ambayo sio ya lazima kwako ili hali kondoo bado wanahitaji malisho yako.

10: Gwajima alianza vizr ila kwenye siasa ungewaachia wenyewe ww uwe mshauri tu:

Note: Nia ya mwili ni mauti lakini nia ya Rohoni ni uzima wa milele, Mungu anaangalia mwisho mwema wala sio mwanzo, gwajima ww huwezi kutolea mfano wa papa wa Italia! Huko ni kuwafurahisha wanadamu ili hali ukweli unaujua tofauti ya makanisa ya kidini na makanisa ya kiroho! Labda kama unataka kuwa mwanadini sawa!

Ili kuelewa jambo hili unashauriwa kusoma mada hii
=> Uchaguzi 2020 - Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe
Hili jambo limeniwazisha sana

Kuna ulazima gani wa mtumishi mkubwa kama yeye kugombea ubunge?

Kwakuwa watu wanahoji,wanae(wafuasi wake) "wanamwitaga gwajima Baba" watakuja na kuwaita CHADEMA na kwamba mnaogopa atamshinda Mdee.

Masubili tamko la mch.Moses klora anavyosema
 
Mimi naona sawa tu, ngoja akaanze kuwahubiria huko huko ndani pengine haki itaanza kuonekana!

Maana sheria nyingi wanazotunga hazioneshi haki, nadhani ndio mana askofu kaamua kuingia huko huko jikoni
Angegombea uraisi kama angehitaji hilo.

Tangu lini mtoto akamkemea baba na kumfundisha maadili?

Hujui mbunge ni mtu mdogo hata kwa viongozi wa chama wa wilaya?

Umeshindwa kukemea ukiwa huru bila kutegemea mkono wa mtu kupata chakula,ndo ukemee ukiwa unategemea kulishwa na chama?

Najua uwezo anao ila bado yupo anazitafuta zaidi so usipinge kusema atategemea mkono wa ccm kulishwa
 
Mgombea anakataliwa katika box la kura, iwe chamani au jimboni. Mengine ni chuki binafsi na kujilisha upepo.
Ndo nyinyi mnaoingilia wake zenu kinyume na maumbile kisa eti mmeoa...

Mzee kuoa ni 1 na maadili ni kitu kingine.

Tatizo sio kugombea,tatizo ni nani anagombea kwa namna jamii inamchukulia.hamna siasa safi,watumishi wa Mungu wangebaki kuwa washauri tu.

Kama unamfananisha na msigwa,basi tukubali kuchukua hata mifano ya maisha mengine ya msigwa tuifananishe nae.
 
Tayari nimesha iandaa video yake kwaajili ya kampeni.. hatuwezi mpa mtu mchovu jimbo.. yani mechi ya dk 90 yeye anacheza dakika 2 na sekunde 47.. hawezi mambo.. labda kuunguruma kama mbozi..
 
Hawa ndo wanamchukiza Mungu mpaka tunapigwa na magonjwa yasiyojulikana.
 
Mkono wa baunsa aka kifo cha mende ni mpigaji hakuna mtumisha wa Mungu hapo.
 
Habari wakuu!

Jana Askofu Gwajima ametangaza nia ya kugombea ubunge kwa tiketi ya chama tawala na ametoa sababu nyingi tu kwa nn yy ni Askofu na anataka kuingia kwenye siasa! Mm kama mtumishi wa Mungu pia na mchambuzi wa Biblia natoa sababu kwa nini askofu gwajima hatakiwa kuwa kwenye siasa.

1: Neno asikofu kibiblia ndo Kazi njema kuliko kazi nyingine zote, kuwa Askofu maanake ww unaongoza makanisa mengine, na umeitwa na Mungu kwa ajili ya Kazi hiyo, maana nyingine unamwakilisha Mungu hapa duniani, na unalipwa na Mungu.

2: Askofu Gwajima ni kiongozi wa kiroho anayeongoza watu wote wa vyama tofauti sasa anapoingia kwenye siasa ataweza kkuwa na ujasiri wa kukemea mabaya yatakayofanywa na chama chake?? Lakini pia Kanisani kwake ataweza kuhubiri bila kuwa na itikadi ya chama?

3: Kazi kubwa ya Askofu Gwajima ni kuwaleta watu kwa Yesu, he! Hiyo Kazi kaimaliza??? ( Rejea kwenye Biblia mavuno ni mengi watenda Kazi ni wachache) bado maasi yanaongezeka duniani huu ndo muda ambao angeutumia kuihubiri injili kwa kila kijiji na kabila watu waache dhambi, hii Kazi hajaimaliza bado anaenda kwenye majukumu mengine ya kaisaria.

4: Mifano aliyoitoa yote haina mashiko ukilinganisha na wito wake, kwanza lwakatare bila shaka alikuwa ni mbunge wa vyiti maalum maanake wa kuteuliwa, na madhara yake tuliyaona hana rekodi ya kuhubiri injili mikoani tofauti na Kanisani kwake!, lakini mchungaji Msigwa au mtikila baada ya kuingia tu kwenye siasa wote tunajua lina baki jina tu uchungaji lakini ule wito kamili unaondoka!

6: Huwezi kuwatumikia mabwana wawili ni lazima umchukie mmoja na umpende mmoja.

7:Kugombea ubunge na ww ukiwa mtumishi wa Mungu sio dhambi lakini madhara yake ni makubwa kwenye ulimwengu wa roho.

8: Kama ni swala la kumsaidia Rais hata hapo alipo uwezo huo anao sana sio mpaka uwe mbunge!

9: Kuwa mbunge ni kujiongezea majukumu ambayo sio ya lazima kwako ili hali kondoo bado wanahitaji malisho yako.

10: Gwajima alianza vizr ila kwenye siasa ungewaachia wenyewe ww uwe mshauri tu:

Note: Nia ya mwili ni mauti lakini nia ya Rohoni ni uzima wa milele, Mungu anaangalia mwisho mwema wala sio mwanzo, gwajima ww huwezi kutolea mfano wa papa wa Italia! Huko ni kuwafurahisha wanadamu ili hali ukweli unaujua tofauti ya makanisa ya kidini na makanisa ya kiroho! Labda kama unataka kuwa mwanadini sawa!

Ili kuelewa jambo hili unashauriwa kusoma mada hii
=> Uchaguzi 2020 - Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe
Acheni hofu. Huyo Halima kama kidume apambane aache kuwatuma humu kulia lia. Hawezi basi aendelee kumlinda tuu Bul...
 
Hao Watumishi ndio wanatakiwa Kwa sababu Taifa litakuwa na maadili
Ana maadili gani huyo
Kweli usemi wangu wa "wajinga hawaishi Labda bahari ikauke" inazidi kujidhihirisha

Ova
 
Back
Top Bottom