Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima kugombea ubunge Kibiblia atafakari upya kama mtumishi wa Mungu

Watu mnaweweseka tu kuona jamaa ana uhakika wa kumtoa mtu wenu Mdee akipewa ridhaa na chama chake.

Hao wachungaji wengine mbona hatukusikia hizi analysis uchwara?

Mdee out!
 
Unasumbuka kumwambia gwajima bible uyo ni mganga wa kienyeji boss
 
Sisi wakaazi wa Kawe, hatuko tayari kuongozwa na mcheza filamu za ngono, muuza madawa, mtu anayemiliki silaha haramu, mtu tapeli anayibia waumini kwa madai kwamba ana uwezo wa kufufua ndugu zao waliokufa
Bro kwanza huyu mtu ni tapeli la kutupwa! maisha yake hadi kujiita nabii ni uatepeli na kufuru mbele ya Mungu.
 
Kwahiyo Msigwa na Lwakatale kwao haikuwa tatizo kuwa wanasiasa ila Gwajima ndo iwe?

Tofautisha Mchungaji na Askofu
Gwajima ni Askofu mkuu kwa ufupi ndiye mmiliki wa kanisa lake sijui linaitwa Ufufuo na uzima hivyo anawajibika kwa kanisa lake moja kwa moja, Tofauti na Mchungaji ambaye yeye anaweza kubaki na daraja la uchungaji laikini akawa anafanya shughuli zingine mf siasa.
Mama Rwakatare R.I.P naye ni kama Gwajima aliwakwa na tamaa akaingia kwenye siasa lakini kiroho hakupaswa kabisaaa Mola amsamehe
 
1- kutolea mifano isiyofaa kwa mtu, kwangu mm naamini huna hoja zaidi ya kujilinda kwa kauli hizo.

Binafsi najisifu na kuwasifu wazazi wangu RIP kwa kutonilea hivyo mwisho namshukuru Mungu kwa kuniongoza kupokea lugha zote na kuzitafakari.

Wapi Wapi nilipofananisha ugombeaji na mchungaji Msigwa?

Maisha mengine ya sifa za mgombea yanahusikaje kwenye chaguzi.

Box la kura ndiyo hitimisho la mgombea iwe chamani au kituo cha kura!.

Gwajima ni Mwana CCM, ni Mtanzania amejipima na kujiona anafaa.
 
Gwajima huyu huyu aliwawleza wafuasi wake kwamba hawezi kugombea Ubunge au Uraisi na pia asingependa kuwa Waziri kwani huko ni kujishusha cheo. Yeye ataendelea kuwa Mtumishi wa Mungu daima dawamu. Alishambuliwa kwa makofi na vigeregere kwa sana. Leo hii anasikika akitaka kugombea Ubunge. Hapo ndipo utagundua huyu jamaa alivyo kama kinyonga, rangi yake haieleweki na hubadirika kufuatana na mazingira. Alianza kwa kufufua misukule na hivyo kuwavuta wale wanaoamini ushirikina. Kaona amepata wafuasi wengi sasa kakimbilia siasa. Lakini akumbuke kuwa huwezi kuwatumia mabwana wawili, Mungu na mali. Achague moja kati ya hivi viwili.
 
Gwajima ni mfanyabiashara kama walivyo wafanyabiashara wengine hivyo anayohaki Kugombea Ubunge.
Sawa kabisa. Haki ya kugombea Ubunge anayo. Lakini anataka kula matapishi yake mwenyewe. Mbele za Mungu na mbele ya kanisa lake na wafuasi wake alijiapiza kwamba hawezi kugombea Ubunge kwani kwa kufanya hivyo atakuwa amejishusha cheo. Alisema ataendelea kuwa Mtumishi wa Mungu daima dawamu.
 
Namba sita ndio point muhimu sana kuliko zote
 
Hao Watumishi ndio wanatakiwa Kwa sababu Taifa litakuwa na maadili
Yaani ccm ni watu wa kuhurumia tu, linatoka jamaa huko lilipo hata halina uchungu, wala ufahamu wa chama, linaingia lina kula maisha, wale magamba kindakindaki wanabaki kama walivyo na wanashangilia tu, daaa praise team bwana mna mioyo ya kipekeee!! Na mwaka huu ndio bala, wewe kwakuwa meko anakukubali hata kama umeingia kwwnye chama juzi, unateuliwa kugombea na sio kura za maoni tena ndio zinazo amua!!!
 
Sisi wakaazi wa Kawe, hatuko tayari kuongozwa na mcheza filamu za ngono, muuza madawa, mtu anayemiliki silaha haramu, mtu tapeli anayibia waumini kwa madai kwamba ana uwezo wa kufufua ndugu zao waliokufa
Ni filamu ipi ya ngono alicheza?
 
kwa nini waislamu hawaendi nchi za kiarabu zilizo shwari kuomba ukimbizi ila kila siku Ulaya tu...wazungu wamegundua njama zenu ..mnazaana kama sungura Ulaya ili iweje...
hahaha
 
Endapo hao wateja wake hawatatambua kipindi hiki kuwa huyu jamaa ni 'nabii' au tapeli basi ni wa kupelekwa mirembe wakapimwe akili.
 
Dr slaa.,alivyotamani kuowa aliacha upadri kabisa akaambatana na mke wake na siasa
Mim naamini hilo ndilo fungu jema.,Ngwajima aache uaskofu achague siasa.
Mfano wa Papaa kuwa Rais wa roma,ikumbukwe roma ndio makao makuu ya kiroho ya Kanisa Katoliki la Mitume
Zinapofanyika taratibu za kumpata papa si kwa ajili ya kuwa rais wa roma bali ni kwa ajili ya kuliongoza Kanisa Katoliki la Mitume ulimwenguni ila automatical anakuwa the president of roma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…