Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima kugombea ubunge Kibiblia atafakari upya kama mtumishi wa Mungu

Duuuuh jamani eti nimesikia Gwajima ni mtumishi wa Mungu!!! Nashindwa kuamini maneno haya yanasemwa GT wa humu. Kuhusu kugombea ubunge, hiyo inaeleweka maana hata Makonda nae anagombea Kigamboni. Tuaelewa tu taratibu
 
Sisi wakaazi wa Kawe, hatuko tayari kuongozwa na mcheza filamu za ngono, muuza madawa, mtu anayemiliki silaha haramu, mtu tapeli anayibia waumini kwa madai kwamba ana uwezo wa kufufua ndugu zao waliokufa
WanaKawe msifanye kosa hilo! Kamwe!!!!
 
Kawe tunaenda kupata mbunge sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…