Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Uliishawahi kuuliza swali hili kwa Mch. Msigwa?Naomba kuuliza kuwa is it ethical kwa kiongozi wa kiimani kujihusisha na shughuli za kisiasa directly kama anavyofanya Gwajima?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliishawahi kuuliza swali hili kwa Mch. Msigwa?Naomba kuuliza kuwa is it ethical kwa kiongozi wa kiimani kujihusisha na shughuli za kisiasa directly kama anavyofanya Gwajima?!
Huyu ni km pet dog. Akiona nyama anatikisa mkia. Hana muda atatumbuliwa tuHahaha nimeona mahubiri yake . amemsifu rais kila dakika. Huyu lazma atachanjwa ni swala la muda tu .
Kwa hili nakuunga mkono.Gwajiboy ni tapeli tu hana chembe ya kustahili kuitwa Kiongozi.
Hana lolote.Hofu imemjaa.Anakumbuka jinsi alivyokamatwa na kuhojiwa halafu akawa anashinda kwenye wheelchair analialia na kupenga mikamasi kama piglet.Alijiliza hasa akidai anaonewa sana.Hahaha nimeona mahubiri yake . amemsifu rais kila dakika. Huyu lazma atachanjwa ni swala la muda tu .
Mbona hujahoji kuhusu bagonza, shoo na mwamakula?Naomba kuuliza kuwa is it ethical kwa kiongozi wa kiimani kujihusisha na shughuli za kisiasa directly kama anavyofanya Gwajima?!
Bweha namba moja ni wewe!!!!Askofu Gwajima amesema alipojenga ofisi ya CCM kata ya Mbweni ambayo kimsingi ni jengo kubwa kuliko lile la CCM wilaya ya Kinondoni, mama Samia akiwa makamu wa Rais ndiye alikuja kumfungulia rasmi jengo hilo.
Askofu Gwajima amesema mama Samia ni mtu mzuri sana na ameapa kuwashughulikia mbwea wote waliomzunguka mh Rais.
Mungu ni mwema wakati wote!
****** kachanjwa sasa huyu mcheza sinema za utupu asichanjwe hawezi kuruhusiwa kuingia bungeni kamweHahaha nimeona mahubiri yake . amemsifu rais kila dakika. Huyu lazma atachanjwa ni swala la muda tu .
Gwajima sio kiongozi wa dini ni mwizi na tapeliNaomba kuuliza kuwa is it ethical kwa kiongozi wa kiimani kujihusisha na shughuli za kisiasa directly kama anavyofanya Gwajima?!