Askofu Gwajima: Mama Samia ni mtu mzuri sana, alinifungulia ofisi ya CCM niliyojenga Mbweni. Nitawashughulikia mbweha wanaomuhujumu!

Askofu Gwajima: Mama Samia ni mtu mzuri sana, alinifungulia ofisi ya CCM niliyojenga Mbweni. Nitawashughulikia mbweha wanaomuhujumu!

Juha mwenzio mwingine huyu hapa ZWAZWA.
Kiongozi mambo yanayoendelea nchini kwetu hayapo poa, hamna mwenye akili timamu anaweza kukubaliana nayo. Mimi nachopambana nacho ni kuwaabudu hawa wanasiasa na kuamini wao ni miungu na hawakosei, ni wahuni tu hawa. Siwezi kupelekeshwa na watu kama Mbowe, Msigwa, Lissu, Zitto, Heche, Samia, Bashiru, Polepole, Mbatia, Magufuli (Marehehemu) na wengine wa aina hiyo, hao wote wapo team moja, wanapigiana simu kila siku na kupeana mikakati jinsi gani wanavuta hela za mabeberu. Wewe endelea kuwaamini (kama siyo mmoja wao).
 
Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi itatupa Watanzania nguvu kubwa sana ya kuchagua Viongozi tuwatakao kuanzia Madiwani, Wabunge na Rais hivyo mtutu wa bunduki hautatumika tena kupora kura zetu
Chadema ikiwa madarakani ikivurunda baada ya miaka mitano inapigwa KIBUTI chama kingine kinashika madaraka.
Hicho ndiyo tukitakacho Watanzania wengi na siyo maccm kung’ang’ania madarakani kwa kutumia njia HARAMU na mtutu wa bunduki.




Kiongozi mambo yanayoendelea nchini kwetu hayapo poa, hamna mwenye akili timamu anaweza kukubaliana nayo. Mimi nachopambana nacho ni kuwaabudu hawa wanasiasa na kuamini wao ni miungu na hawakosei, ni wahuni tu hawa. Siwezi kupelekeshwa na watu kama Mbowe, Msigwa, Lissu, Zitto, Heche, Samia, Bashiru, Polepole, Mbatia, Magufuli (Marehehemu) na wengine wa aina hiyo, hao wote wapo team moja, wanapigiana simu kila siku na kupeana mikakati jinsi gani wanavuta hela za mabeberu. Wewe endelea kuwaamini (kama siyo mmoja wao).
 
Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi itatupa Watanzania nguvu kubwa sana ya kuchagua Viongozi tuwatakao kuanzia Madiwani, Wabunge na Rais hivyo mtutu wa bunduki hautatumika tena kupora kura zetu
Chadema ikiwa madarakani ikivurunda baada ya miaka mitano inapigwa KIBUTI chama kingine kinashika madaraka.
Hicho ndiyo tukitakacho Watanzania wengi na siyo maccm kung’ang’ania madarakani kwa kutumia njia HARAMU na mtutu wa bunduki.
Unaamini Abubakar akikamata madaraka atakubali kuachia? Kama alionjeshwa huko CDM miaka kumi ya kwanza na sasa anaenda 20, atawezaje kuachia kirahisi BOT?
 
Makosa yaliyofanywa 2015 ya kumkaribisha fisadi Lowassa hayatarudiwa tena. Mamluki MARUFUKU Chadema. Kama chama ukitaka uchaguzi huru na wa haki basi ni LAZIMA uhakikishe uchaguzi ni huru na wa haki 110% hivyo uwe tayari kuyakubali matokeo vinginevyo kapinge mahakamani.
Unaamini Abubakar akikamata madaraka atakubali kuachia? Kama alionjeshwa huko CDM miaka kumi ya kwanza na sasa anaenda 20, atawezaje kuachia kirahisi BOT?
 
Makosa yaliyofanywa 2015 ya kumkaribisha fisadi Lowassa hayatarudiwa tena. Mamluki MARUFUKU Chadema. Kama chama ukitaka uchaguzi huru na wa haki basi ni LAZIMA uhakikishe uchaguzi ni huru na wa haki 110% hivyo uwe tayari kuyakubali matokeo vinginevyo kapinge mahakamani.
Wengi ambao unawaona makamanda mkuu wapo kwenye payroll, zinatengenezwa figisu mabeberu wajue kuna upinzani tz ili hela zao ziliwe, huyo jamaa yetu hata hayupo mahabusu. Ila endelea kuamini hao watu
 
Naomba kuuliza kuwa is it ethical kwa kiongozi wa kiimani kujihusisha na shughuli za kisiasa directly kama anavyofanya Gwajima?!
It's not ethical

Usiniulize imeandikwa wapi. OVA
 
Siamini hilo wanasiasa Malaya hata maccm wako wengi tu lakini Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi itatusaidia sana kuwaondoa hawa kwani tayari Watanzania tunawajua wengi wao hivyo kwenye uchaguzi huru na wa haki HAWATAAMBULIA chochote kile.
Wengi ambao unawaona makamanda mkuu wapo kwenye payroll, zinatengenezwa figisu mabeberu wajue kuna upinzani tz ili hela zao ziliwe, huyo jamaa yetu hata hayupo mahabusu. Ila endelea kuamini hao watu
 
Hahaha nimeona mahubiri yake . amemsifu rais kila dakika. Huyu lazma atachanjwa ni swala la muda tu .

kasema baada ya kutoa msimamo ambao umejibiwa na mijitu isiyo na imani Jumapili ijayo anatoa “Msimamo Juu ya Msimamo.”

Na pia atatoa shule juu ya vyakula vya kupambana na Covid na kisaidia shughuli za mke na mme kitandani
 
Askofu Gwajima amesema alipojenga ofisi ya CCM kata ya Mbweni ambayo kimsingi ni jengo kubwa kuliko lile la CCM wilaya ya Kinondoni, mama Samia akiwa makamu wa Rais ndiye alikuja kumfungulia rasmi jengo hilo.

Askofu Gwajima amesema mama Samia ni mtu mzuri sana na ameapa kuwashughulikia mbwea wote waliomzunguka mh Rais.

Mungu ni mwema wakati wote!
Gwajima network sasa hazisomi!
 
Askofu Gwajima amesema alipojenga ofisi ya CCM kata ya Mbweni ambayo kimsingi ni jengo kubwa kuliko lile la CCM wilaya ya Kinondoni, mama Samia akiwa makamu wa Rais ndiye alikuja kumfungulia rasmi jengo hilo.

Askofu Gwajima amesema mama Samia ni mtu mzuri sana na ameapa kuwashughulikia mbwea wote waliomzunguka mh Rais.

Mungu ni mwema wakati wote!
Askofu Gwajima amesema alipojenga ofisi ya CCM kata ya Mbweni ambayo kimsingi ni jengo kubwa kuliko lile la CCM wilaya ya Kinondoni, mama Samia akiwa makamu wa Rais ndiye alikuja kumfungulia rasmi jengo hilo.

Askofu Gwajima amesema mama Samia ni mtu mzuri sana na ameapa kuwashughulikia mbwea wote waliomzunguka mh Rais.

Mungu ni mwema wakati wote!
Ha ha ha! Keshaitwa hiyo na kamati Kuu kujieleza!!!! Alidhani yuko huu ya mamlaka!!!!
 
Mchezo mdogo sana tiss wamemwita kumpa masharti yao....kwa nini unamzuia rais asifanye kazi? Wewe hustahili kuwa mbunge na kanisa lako tunalifuta.....weww mbubge uwe no1 kusifia mwenyekiti wako....sasa tor hii hapa ukatengue ulichooongea ....badili msimamo wako kijinga na kanisa na waumini....haraka sana pia uwnde ukachanjwe hata kama ni maji .....nedia zote ziwepo....
Ha ha ha!
 
Kweli CCM imechoka ..

Hii nayo ndio mbinu waliyokuja nayo kufanya hadaa?
 
Hii ndio tunaita kubadili gia angani!
Yaani Gwajima atajijua Kama alikuwa ni kinyonga anabadilika rangi kufuata upepo wa maslahi Wafuasi wa Magufuli tunamtangaza Kama adui wa Magufuli hata Kama alimpa ubunge shenzi type
 
Back
Top Bottom