Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Hajabadili tone yoyote.Leo kabadili tone?
Kuna wahuni ambao ni madalali wa chanjo wanataka kuwaaminisha watu kuwa Gwajima ameshatepeta!
Moto ni ule ule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajabadili tone yoyote.Leo kabadili tone?
mchawi kaloga wee sasa ANAJILOGA na yeyeSijawahi kufurahia hayo mambo ya akina James na huyu Kihongosi anayoongea now, kinachokera ni kuwa na wapinzani fake, Hii ishu ya huyo jamaa yenu Abubakar yenyewe imetengenezwa tu, naye ni muhusika katika utengenezaji huo (Nyie vilaza mnalibeba zimazima), mnajua kuchezewa sana aisee, poleee
Hahahaaaa...... Nadhani Ufipa wamekuelewa!Hajabadili tone yoyote.
Kuna wahuni ambao ni madalali wa chanjo wanataka kuwaaminisha watu kuwa Gwajima ameshatepeta!
Moto ni ule ule.
umenena kijana.Unaogopa vipi kupambana na wapinzani FEKI katika uchaguzi huru na wa haki na kuamua kutumia mtutu na Tume FEKI ya uchaguzi!? Hebu acha kuonyesha UJUHA wako hadharani. Upinzani FEKI unawaogopaje hadi kuwabambikia kesi FAKE? Watanzania wenye utindio wa ubongo kama wewe ni mkosi mkubwa sana Kwa Taifa.
Hamna upinzani TZ wewe jamaa, amka! Kungekuwa na upinzani TZ 2015 Jasusi aliyebobea asingepewa nafasi kugombea urais huko unakoita upinzaniUnaogopa vipi kupambana na wapinzani FEKI katika uchaguzi huru na wa haki na kuamua kutumia mtutu na Tume FEKI ya uchaguzi!? Hebu acha kuonyesha UJUHA wako hadharani. Upinzani FEKI unawaogopaje hadi kuwabambikia kesi FAKE? Watanzania wenye utindio wa ubongo kama wewe ni mkosi mkubwa sana Kwa Taifa.
Hamna upinzani TZ wewe jamaa, amka! Kungekuwa na upinzani TZ 2015 Jasusi aliyebobea asingepewa nafasi kugombea urais huko unakoita upinzani
Katiba mpya italetwa na CCM (CCM kama chama na vibaraka wake akina mbowe) muda ukifika, kwa sasa endeleeni kukata viuno mitandaoniNarudia tena Wapumbavu kama wewe ni janga kubwa la Taifa. Eti hamna upinzani Tanzania halafu unahofia Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi!?
Katiba mpya italetwa na CCM (CCM kama chama na vibaraka wake akina mbowe) muda ukifika, kwa sasa endeleeni kukata viuno mitandaoni
Usiseme gwajima sema "kibweteleee"Naomba kuuliza kuwa is it ethical kwa kiongozi wa kiimani kujihusisha na shughuli za kisiasa directly kama anavyofanya Gwajima?!
Labda wafuasi wake ndivyo alivyowajenga.Naomba kuuliza kuwa is it ethical kwa kiongozi wa kiimani kujihusisha na shughuli za kisiasa directly kama anavyofanya Gwajima?!
Mbona editing🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hajabadili gia angani Cc: peppapig
Huyu kaambiwa na "wakubwa" kwamba aendelee kuzungumzia covid ila akileta fyokofyoko %&(()€$#
Yaani ni mnafiki wa kupitiliza.
Hata hivyo nampa salute kwa ku deal na Paulo. Ile ilikuwa si kawaida. Nadhani P mwenyewe ana m respect " Bishop" .
Lakini hii movie yake ya sasa script ndio imefanyiwa editing. Haiwezi kwisha kama wengi walivyotegemea.
Hahaha, hao watu unawapigania wamekwa kwa mipango maalumu, matahira kama wewe ndiyo mnakomaa kutoa mapovu humu, CDM kimewekwa kwa mpango maalum, wewe endelea na hizo harakati zako za kifala, hata hujui kwa sasa Abubakar yupo wapi na anafanya nini, unajamba jamba tu hapa jukwaaniKwa kuwa Babaako anakata viuno usidhani kila mtu anafanya huo upumbavu.
Hahaha, hao watu unawapigania wamekwa kwa mipango maalumu, matahira kama wewe ndiyo mnakomaa kutoa mapovu humu, CDM kimewekwa kwa mpango maalum, wewe endelea na hizo harakati zako za kifala, hata hujui kwa sasa Abubakar yupo wapi na anafanya nini, unajamba jamba tu hapa jukwaani
Tahira, leo hii Polepole ameshakuwa rafiki yako tena??!! Mtu mliyekuwa mnamtukana miezi kadhaa nyuma!! Guys kubalini mmeshazidiwa kete, hamna jipya kwa sasa! Hao watu wote mnaowategemea washakuwa compromised! Kwa taarifa yako sasa Abubakar hayupo mahabusu, mnachezewa akili nyinyi matahiraUngekuwa una akili KAMWE usingepigia debe wahuni kama hawa. Wewe ni ZWAZWA TU usiyejitambua zaidi ya KUKENUA KENUA na kusifia hilo genge la wahuni, majizi, magaidi na wauaji maadui wakubwa wa Watanzania.
Polepole: CCM kuna majizi makubwa, kila nikitaka kuwataja wakubwa wananizuia! | Hao wakubwa ni nani zaidi ya M/kiti? Ukiwa CCM hukamatiki?
Katibu wa Itikadi Na Uenezi wa CCM Ndugu Humphrey Polepole anasema mbele ya Kamera na vinasa sauti, Kuwa ndani ya Chama cha Mapinduzi kuna majizi Na anawajua ila Kila akiomba ruhusa awataje wakubwa ndani ya Chama wanamzuia. Najiuliza maswali 1.Hao wakubwa wanaomzuia Polepole asiwataje ni...www.jamiiforums.com
Tahira, leo hii Polepole ameshakuwa rafiki yako tena??!! Mtu mliyekuwa mnamtukana miezi kadhaa nyuma!! Guys kubalini mmeshazidiwa kete, hamna jipya kwa sasa! Hao watu wote mnaowategemea washakuwa compromised! Kwa taarifa yako sasa Abubakar hayupo mahabusu, mnachezewa akili nyinyi matahira
Tahira, leo hii Polepole ameshakuwa rafiki yako tena??!! Mtu mliyekuwa mnamtukana miezi kadhaa nyuma!! Guys kubalini mmeshazidiwa kete, hamna jipya kwa sasa! Hao watu wote mnaowategemea washakuwa compromised! Kwa taarifa yako sasa Abubakar hayupo mahabusu, mnachezewa akili nyinyi matahira