#COVID19 Askofu Gwajima: Nasubiri wataalamu wa ndani wa chanjo ya COVID-19 waongee kisha nitawapiga kwa risasi moja tu watawanyike

#COVID19 Askofu Gwajima: Nasubiri wataalamu wa ndani wa chanjo ya COVID-19 waongee kisha nitawapiga kwa risasi moja tu watawanyike

Gwajima anasema viongozi na wataalamu wetu ni vigeugeu na hawafai kuongoza, Wanafanya mambo kwa kuangalia upepo na sio utaalamu

Anasisitiza wajiuzulu mapema kwenye suala la korona

Akihutubia maelfu ya waumini wake leo Gwajima amesema wataalamu wetu ndio hao walijenga pale muhimbili jiko la kujifukiza nyungu na waliwaaminisha wananchi kuwa chanjo hazifai

Gwajima anasema Leo ghafla wataalamu hao wanahubiri chanjo, Je wanamdanganya nani?

Gwajima anahoji lile jiko sasa wana alitumia kwa kazi gani pale muhimbili kwani waliokataa chanjo ndio hao vinara wa kusisitiza chanjo

Gwajima anasisitiza hao wataalamu wa ndani walete Papers au Research zao wamefanya lini na wapi kuhusu chanjo za korona?

Gwajima anasema waje wataalamu hao wa ndani waeleze Madhara ya muda mrefu na mfupi wa chanjo ndio hapo atakuja na Maswali magumu ya kufanya watawanyike

Anasema viongozi makini wangejiuzuru kazi hawafai kuongoza Taifa kwa kuwa vigeugeu kwa kuangalia nani anaongoza juu yao
Halafu Hopi lake la madaktari na wafamasia wanaomdanganya ni very shoddy

they are not the cream
 
Gwajima anasema viongozi na wataalamu wetu ni vigeugeu na hawafai kuongoza, Wanafanya mambo kwa kuangalia upepo na sio utaalamu

Anasisitiza wajiuzulu mapema kwenye suala la korona

Akihutubia maelfu ya waumini wake leo Gwajima amesema wataalamu wetu ndio hao walijenga pale muhimbili jiko la kujifukiza nyungu na waliwaaminisha wananchi kuwa chanjo hazifai

Gwajima anasema Leo ghafla wataalamu hao wanahubiri chanjo, Je wanamdanganya nani?

Gwajima anahoji lile jiko sasa wana alitumia kwa kazi gani pale muhimbili kwani waliokataa chanjo ndio hao vinara wa kusisitiza chanjo

Gwajima anasisitiza hao wataalamu wa ndani walete Papers au Research zao wamefanya lini na wapi kuhusu chanjo za korona?

Gwajima anasema waje wataalamu hao wa ndani waeleze Madhara ya muda mrefu na mfupi wa chanjo ndio hapo atakuja na Maswali magumu ya kufanya watawanyike

Anasema viongozi makini wangejiuzuru kazi hawafai kuongoza Taifa kwa kuwa vigeugeu kwa kuangalia nani anaongoza juu yao
Huyu jamaa mbona anaichezea sana serikali...na ukimya wa serikali tutautafasiri kama ukweli kwa kinachosemwa na mtumishi G
 
Anapointi ila kwa watanzania hawa kila wakati ni waongowaongo.Anagalia hata kazi za ikulu zimeeudi Dar kalibia mwezi na matokeo yake hera nyingi zinatumika kulioana posho
Kwahiyo point ni kusema wataalamu wetu lazima nao wazifanyie research chanjo?
Kwahiyo madawa yote tunayotumia kutoka Pharmacies zetu yalifanyiwa kwanza research na Wafamasia wetu?
Ndio maana inasemwa, shule hizi ni muhimu.
Sipingani na wewe kuhusu hilo la viongozi kukosa misimamo.
 
Gwajima anasema viongozi na wataalamu wetu ni vigeugeu na hawafai kuongoza, Wanafanya mambo kwa kuangalia upepo na sio utaalamu

Anasisitiza wajiuzulu mapema kwenye suala la korona

Akihutubia maelfu ya waumini wake leo Gwajima amesema wataalamu wetu ndio hao walijenga pale muhimbili jiko la kujifukiza nyungu na waliwaaminisha wananchi kuwa chanjo hazifai

Gwajima anasema Leo ghafla wataalamu hao wanahubiri chanjo, Je wanamdanganya nani?

Gwajima anahoji lile jiko sasa wana alitumia kwa kazi gani pale muhimbili kwani waliokataa chanjo ndio hao vinara wa kusisitiza chanjo

Gwajima anasisitiza hao wataalamu wa ndani walete Papers au Research zao wamefanya lini na wapi kuhusu chanjo za korona?

Gwajima anasema waje wataalamu hao wa ndani waeleze Madhara ya muda mrefu na mfupi wa chanjo ndio hapo atakuja na Maswali magumu ya kufanya watawanyike

Anasema viongozi makini wangejiuzuru kazi hawafai kuongoza Taifa kwa kuwa vigeugeu kwa kuangalia nani anaongoza juu yao
Katika yote namuunga mkono kwenye viongozi vigeugeu waondoke wakalime tu.
 
Gwajima anaitafuta nafasi ya urais wa jmt hivyo anapiga jaramba baada ya kuona ombwe lililopo! Ni kweli ana watu wengi Sana nyuma yake ambao ni wale wasiojitambua ( illiterate) na ukabila kwani yeye ni kiongozi wa wale wa Kanda pendwa kule fb! Mkijashtuka yupo magogoni au chamwino!
 
Keshawaambia ukishadadia anakupa risasi ya kichwa spiritual.I mean spiritual kama aliyopewa makonda.
 
Gwajima anasema viongozi na wataalamu wetu ni vigeugeu na hawafai kuongoza, Wanafanya mambo kwa kuangalia upepo na sio utaalamu

Anasisitiza wajiuzulu mapema kwenye suala la korona

Akihutubia maelfu ya waumini wake leo Gwajima amesema wataalamu wetu ndio hao walijenga pale muhimbili jiko la kujifukiza nyungu na waliwaaminisha wananchi kuwa chanjo hazifai

Gwajima anasema Leo ghafla wataalamu hao wanahubiri chanjo, Je wanamdanganya nani?

Gwajima anahoji lile jiko sasa wana alitumia kwa kazi gani pale muhimbili kwani waliokataa chanjo ndio hao vinara wa kusisitiza chanjo

Gwajima anasisitiza hao wataalamu wa ndani walete Papers au Research zao wamefanya lini na wapi kuhusu chanjo za korona?

Gwajima anasema waje wataalamu hao wa ndani waeleze Madhara ya muda mrefu na mfupi wa chanjo ndio hapo atakuja na Maswali magumu ya kufanya watawanyike

Anasema viongozi makini wangejiuzuru kazi hawafai kuongoza Taifa kwa kuwa vigeugeu kwa kuangalia nani anaongoza juu yao
Marisasi tena ?
 
Gwajima amejitokeza front na anapambana kwelikweli
hiyo vita itakuwa mbaya sana na macho yote ni kwa Gwajima
namwomba sana Gwajima akae standby
Hana vita wala nini

if the people decide, anapotea mazima

kakobe yuko wapi
 
hivi hii mbuzi inachotaka ni nini jasa? hayo mambo siyaliisha isha?

hii mbuzi imesahahu kama yenyewe iliiambia hiyo misukule yake kwamba haiwezi kugombea ubunge maana ni demotion?

nimeshagundua kinachoisumbua hii mbuzi inataka umaarufu wa kuongelewa mitandaoni
Mama kazidi kuwa mpole aisee ,huyu kenge si wa kuchekea hata kidogo
 
IZilipendwa...yeye kishakuwa zama za kale.
Atuletee pia wataalamu wa kuhakiki wafu anaowafufua.
Watu wanachanjwa na tutachanjwa kwa hiyari yetu, tukifa hatotufufua.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
hivi hii mbuzi inachotaka ni nini jasa? hayo mambo siyaliisha isha?

hii mbuzi imesahahu kama yenyewe iliiambia hiyo misukule yake kwamba haiwezi kugombea ubunge maana ni demotion?

nimeshagundua kinachoisumbua hii mbuzi inataka umaarufu wa kuongelewa mitandaoni
Jibu hoja. Mbona povu?? Mbuzi ni yule anayetumia matusi kumshambulia mtoa hoja.
 
hivi hii mbuzi inachotaka ni nini jasa? hayo mambo siyaliisha isha?

hii mbuzi imesahahu kama yenyewe iliiambia hiyo misukule yake kwamba haiwezi kugombea ubunge maana ni demotion?

nimeshagundua kinachoisumbua hii mbuzi inataka umaarufu wa kuongelewa mitandaoni
nashangaa hata hao wanaoacha kazi zao na kwenda hapo kilingeni kwa huyo tapeli sijui akili zipo
 
Back
Top Bottom