Na akisaidiwa na polisi maana yake lazima kuwepo na ukiukwaji wa haki za binadamu na hata wizi wa kura.Naomba na mimi nichangie kwenye mada hii! Askofu huyu ni mpumbavu, hakuna tafasiriya hivyo kwenye Biblia. Tena Biblia imekataza kabisa huwezi kuwatumikia mabwana wawili! Yeye kama ameamua kumtumikia Mungu abaki huko huko!! Ila ukweli ubaki pale pale bila mbereko ya polisi hawezi kushindana na Halima!
Askofu Gwajima amesema Mungu anayemtumikia alijitambulisha kwa majina tofauti tofauti kulingana na nyakati na jukumu husika.
Alijiita Jehova, Niko ambaye Niko, Mungu Mwenyezi, Bwana wa Majeshi nk.
Hivyo mtumishi wa Mungu unaweza kufanya kazi yoyote ilimradi tu kazi hiyo siyo katazo la kibiblia.
Askofu Gwajima ametangaza nia ya Kugombea Ubunge katika jimbo la Kawe Wilayani Kinondoni.
Maendeleo hayana Vyama!
Kwani mchungaji. Msigwa anatumikia mabwana wangapi ??Gwajima Anataka kutumikia Mabwana wawili. Siasa ni mchezo mchafu, haoni kuwa akichafuliwa anakuwa anemchafua YESU wake?
Gwajima alisema hawez gombania ubunge nafasi aliyokua nayo ni kubwa ni Zaid ya ubungeSasa nyie watu mnaamini katika demokrasia ipi? Akiwa mbunge Mch. Msigwa sawa. Mch. Israel yule wa Karatu sawa. Ila akiwa Gwajima inakuwa nongwa! Acheni ubaguzi. Kila mtu anayo haki ya kugombea na kuchaguliwa. Ikiwa anastahili atashinda na ikiwa hastahili atashindwa. Muache kujiona mnajua kila kitu.
Aliposema hawezi kujishusha kuwa diwani, mbunge au waziri alimaanisha nini au dili zimeisha kanisani sasa anajishusha ili apige dili siasani?Mkuu haya ndiyo yalikua mahubiri yake kanisani leo???
Amejisahaulisha na anadhani watanzania wote ni wasahaulifu kama wa chama chake au waumini wake waliotetea ule ufuska wake kana kwamba ndio utakasifu wenyewe!!Gwajima alisema hawez gombania ubunge nafasi aliyokua nayo ni kubwa ni Zaid ya ubunge
Mathayo 6:24Askofu Gwajima amesema Mungu anayemtumikia alijitambulisha kwa majina tofauti tofauti kulingana na nyakati na jukumu husika.
Alijiita Jehova, Niko ambaye Niko, Mungu Mwenyezi, Bwana wa Majeshi nk.
Hivyo mtumishi wa Mungu unaweza kufanya kazi yoyote ilimradi tu kazi hiyo siyo katazo la kibiblia.
Askofu Gwajima ametangaza nia ya Kugombea Ubunge katika jimbo la Kawe Wilayani Kinondoni.
Maendeleo hayana Vyama!
Ama akiri kwanza na kuwaomba radhi watanzania kwa ulaghai ule... kisha ajikane mwenyewe na kuingia kwenye siasa...Kama anataka ubunge akatufufulie kwanza Amina Chifupa, tapeli kubwa hilo
Rwakatare na Msigwa hakuna mahali waliukana udiwani, ubunge au uwaziri kama gwajiboy aliyesema ana cheo kikubwa kuliko hivyo na havihitajii...Ni sawa ana wajibu wake kiroho huko kanisani kwake lakini yeye ni mtanzania ana haki sawa na watanzania wengine.
Tunaweza kuhoji dhamira na integrity yake lakini hatuwezi kuhoji haki yake ya msingi ya kiraia. Marehemu Rwakatare na Mchungaji Msigwa wote walikuwa wabunge hatukuwahi kuhoji haki zao.
Watanzania tusome zaidi siasa hata kama hatutaki kuwa wanasiasa ili tunapojadili tujadili mambo kwa kufuata misingi badala ushabiki.
Makaburi yote yatafukuliwa.Kama aliwahi kukataa madhabahuni kuwa hajawahi kuunga mkono UKAWA huku video zake zote akiwa kwenye vikao vya UKAWA viko online tutamwaminije huyu mzinzi, muongo na msahaulifu?
Anatuona sisi sote ni kama wale waumini wake kila anachoropoka hushangiliaMakaburi yote yatafukuliwa.
Mungu hawezi kudhihakiwa.
Halafu sijui waumini wake akili zao zikoje.
Watamuunga mkono ktk hili pia.
Hawa wanaojiita manabii, mitume mara maaskofu wenye makanisa yao sijawahi kuwaamini.Anatuona sisi sote ni kama wale waumini wake kila anachoropoka hushangilia
Inabidi Akasome Tena Bible kwa Umakini; Watu ndio waliokuwa wanamtambulisha Mungu kulingana na Matendo yake; Mungu habadiliki; ni yeye yule Miaka Hiyo, Jana Leo na Milele yote.Askofu Gwajima amesema Mungu anayemtumikia alijitambulisha kwa majina tofauti tofauti kulingana na nyakati na jukumu husika.
Alijiita Jehova, Niko ambaye Niko, Mungu Mwenyezi, Bwana wa Majeshi nk.
Huna lolote mzee mbona kunayaliyo katazwa kwenye biblia unafanya?Askofu Gwajima amesema Mungu anayemtumikia alijitambulisha kwa majina tofauti tofauti kulingana na nyakati na jukumu husika.
Alijiita Jehova, Niko ambaye Niko, Mungu Mwenyezi, Bwana wa Majeshi nk.
Hivyo mtumishi wa Mungu unaweza kufanya kazi yoyote ilimradi tu kazi hiyo siyo katazo la kibiblia.
Askofu Gwajima ametangaza nia ya Kugombea Ubunge katika jimbo la Kawe Wilayani Kinondoni.
Maendeleo hayana Vyama!
Askofu Gwajima amesema Mungu anayemtumikia alijitambulisha kwa majina tofauti tofauti kulingana na nyakati na jukumu husika.
Alijiita Jehova, Niko ambaye Niko, Mungu Mwenyezi, Bwana wa Majeshi nk.
Hivyo mtumishi wa Mungu unaweza kufanya kazi yoyote ilimradi tu kazi hiyo siyo katazo la kibiblia.
Askofu Gwajima ametangaza nia ya Kugombea Ubunge katika jimbo la Kawe Wilayani Kinondoni.
Maendeleo hayana Vyama!