Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Naweza kufanya kazi yoyote ambayo haijakatazwa kibiblia, Mungu alijitambulisha kwa majina tofauti!

Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Naweza kufanya kazi yoyote ambayo haijakatazwa kibiblia, Mungu alijitambulisha kwa majina tofauti!

Ni sawa ana wajibu wake kiroho huko kanisani kwake lakini yeye ni mtanzania ana haki sawa na watanzania wengine.

Tunaweza kuhoji dhamira na integrity yake lakini hatuwezi kuhoji haki yake ya msingi ya kiraia. Marehemu Rwakatare na Mchungaji Msigwa wote walikuwa wabunge hatukuwahi kuhoji haki zao.

Watanzania tusome zaidi siasa hata kama hatutaki kuwa wanasiasa ili tunapojadili tujadili mambo kwa kufuata misingi badala ushabiki.


Unasema: "Tunaweza kuhoji dhamira na integrity yake..." Dhamira yake ni - Peasa, maana KORONA imesababisha kibano mpaka kasalimu amri. Sasa kaingia katika utapeli.

Chond chonde, msithubutu kuingia CHOO CHA KIKE, ni TAPELI wa kutupwa huyu.
 
Nadhani ni uamuzi wa wapiga kura siyo uamuzi wake kuwa mbunge au la. Watu wa eneo hili hawawezi kudanganywa hivyo eti Umetumwa na Mungu!
 
Mnafiki mkubwa

Biblia inasema huwezi kutumikia Mabwana wawili

Either utamdharau huyu umfate yule.

Huyu ni mpumbavu na mjinga anaeamini Watanzania wote mazuzu na yeye anauelewa zaidi yetu wote.

Mungu ampe laana na stahiki kwa kadri ya utapeli, uwongo, unafiki na uchonganishi.

Anainajisi Meza ya Mungu aliehai na kufitinisha watanzania kwa kisingizio cha kumtumikia Mungu ilihali gwajima amejazwa ushetani ndani yake.
Mkuu punguza mihemuko maana hata wewe na mimi tusijihesabie haki. Wote wakosaji tu.
Mbona Mchungaji Msigwa ni mbunge na ni wakwanza kuonba msamaha baada ya kutoa tuhuma ambazo si zakweli namaanisha MUONGO.
 
Mkuu punguza mihemuko maana hata wewe na mimi tusijihesabie haki. Wote wakosaji tu.
Mbona Mchungaji Msigwa ni mbunge na ni wakwanza kuonba msamaha baada ya kutoa tuhuma ambazo si zakweli namaanisha MUONGO.

Tatizo lako na uelewa tu baasi

1. Umetathmini(ume- Analyse) aina ya huduma ya gwajima vs msigwa

A) Gwajima ndiye muasisi na mtumishi wa kanisa la ufufuo na uzima 24hrs/day.... anacheo chake baba askofu, while never to Peter Msigwa.

B) Ndani ya kanisa lake ndie kuhani mkuu, decision maker na organiser however Msigwa doesn't posses

Anapoondoka hizi critical issues anamsusia Mungu? Nini kinamsukuma kuacha madhabahu kukimbilia bungeni?

2. Umetafakali kauli na matendo ya gwajima vs msigwa?

Gwajima
A) Siwezi gombea ubunge, maana nitakuwa nimejishusha! Mtumishi wa Mungu nizaidi ya kila kitu.

Let this man walk the talk otherwise Mnafiki hananafasi machoni pa Mungu. (Msigwa has never given these controversial statements)

B) Huyu ndiye mwenye kashfa ya ukabila
- kwa kauli zake
- pia mitandaoni kuasisi magroup ya ukabila

Msigwa has never found of these unspeakable revelations

Huo utumishi uliotukuka anautoa wapi? Mungu hadhihakiwi.
 
Back
Top Bottom