Askofu Gwajima: Nchi imekosa maono, kila Rais anakuja na lake, ipo siku tutajuta

Askofu Gwajima: Nchi imekosa maono, kila Rais anakuja na lake, ipo siku tutajuta

Hii Documentary ya The Royal Tour ipo kwenye Ilani ya Chama chetu cha CCM?
 
Mbona aliyepita aliacha yamtangulizi wake akaanzisha mapya na hakusema?
Tulieni nyie sukuma Gang zamu yenu ilishapita.
Unafiki WA tapeli huyu asiyeeleweka kama Ile milango ya Push Pull!

Yeye ana maono gani!? Ukiachia maono ya kimwili Kwa kondoo!
 
Back
Top Bottom