Askofu Gwajima: Nchi imekosa maono, kila Rais anakuja na lake, ipo siku tutajuta

Kama Jiwe aliacha miradi ya gas na Bagamoyo...akaja na mambo yake
 
kuna maana gani ya vyama vingi... kama hata Hashimu Rungwe akiwa Rais hakuta kuwa na jipya? aelewe Ilani ya chama chetu ipo wazi hakuna Rais aliyeingia madarakani akatoka nje ya ilani...

Ilani ya CCM 2005-2010 CCM kuamia Dodoma Johnny Sack



Ilani ya CCM 2005-10 Bandari ya Malindi - Rais Mwinyi anaendelea huko nazani taarifa mnazo ya hiki kitu huko malindi



Ilani ya CCM 2005-10 nazania taarifa za wafaranza mnazo kuhusu ujenzi wa uwanja wa dar... na taarifa za viwanja vingine kama songwe pia



Ilani ya CCM 2005-10 nazani Taarifa za kuwatambua diaspora mnazo pia baada ya safari ya kikzi ya mama pale ulaya



Ilani ya CCM mwaka 2005-10 na Reli mpya huku ikiendelea kutafuta pesa kuleta maendeleo



YEHODAYA Last emperor pateni Muda wa kusoma soma hizi ilani zetu kutawasaidia sana... hapa nimeamua kukurejesha nyuma sana uone jinsi maisha ya CCM yalivyo ktk kuwaletea maendeleo wananchi wake....
 
Mikakati ya muda mrefu si ndiyo ipo kwenye ilani ya chama cha mapinduzi chenye kurasa 303
Kidumu Chama...... CCM Oyeeeeee!,

Ilani ya CCM 2010-15 Umeme wa Rufiji na utafutaji wa mafuta na gas, pia kuna njia ya dar mwanza itakuja tuwe wapole... hii ndio ccm



Ilani ya CCM juu ya DEMOKRASIA



Ilani ya ccm 2010-15 na madaraja lukuki



Ilani ya ccm 2010-15 reli mpya kwenda rwanda na burundi



Ilani ya ccm 2010-15 ya bagamoyo mpya na zingine....



Ilani ya CCM 2010 - 15 Juu ya usafiri wa anga na kununua madege...



Ilani ya CCM 2010-15 juu ya upanuzi wa barabara ya mbezi na ujenzi wa flyovers



Ilani ya ccm 2010-15 juu ya kuamia dodoma hatua kwa hatua... ujenzi wa majengo ya wizara mbalimbali baada ya kukamilika mtandao wa barabara





YEHODAYA Last emperor Mshana Jr britanicca cocastic cocochanel Mohamed Said Zitto Saint Ivuga Maxence Melo Yna2 Aikambee financial services slip way Salary Slip

Dp800 wemamzuri Lu-ma-ga Fabolous Prince Kunta kolola Behaviourist Helixir Abrianna chinembe Phillipo Bukililo mzeewaSHY goodlif1600 Allency DON kina kirefu Swet-R Kilembwe AGITATOR pilipili kichaa jaap FUSO Gulwa Micho mapema KikulachoChako Larkin king suleman Daudi Mchambuzi sambulugu nyabhingi Mwana Mageuzi Covax Lucas philipo Josh J Subira the princess Pythagoras Sang'udi MGOGOHALISI Kambi ya Fisi sambulugu brazaj Blandes Noti bandia secret file denooJ KateMiddleton Matola GODZILLA utah jazz Ettore Bugatti Miss Madeko mdudu MALCOM LUMUMBA Mtafiti77 NOSWEAT Kennedy THE FIRST BORN TUJITEGEMEE Championship Mlachake Madukwa Peter Nipo huru Eng. Zezudu Kipangaspecial Paulsylvester Bams Saint Anne jonas amos Yoda allypipi Fiati Ikitotanzila Extrovert Me too Meagan tashwishwi tamsana beth chizcom Jay One
 
Kama Jiwe aliacha miradi ya gas na Bagamoyo...akaja na mambo yake
Mambo aliyokuja nayo hakuyatoa mbinguni... pata muda wa kupitia ilani ya chama vizuri... ni aliamua kuanza na jambo aliloanza nalo na mambo ya gas na bagamoyo yaliitaji muda kuyapitia vizuri hasa mikataba yake...

Ilani ya ccm 2015-20 mabarabara






ilani ya ccm 2015-20 Madaraja



Ilani ya CCM 2015-20 flyovers



Ilani ya CCM 2015-20 upanuzi wa miundombinu dar



Ilani ya CCM 2015-20 upanuzi wa miundombinu ktk majiji mengine



Ilani ya CCM 2015-20 Vivuko



Ilani ya CCM 2015-20 Reli mpya



Ilani ya CCM 2015-20 Reli ya Kisasa



Ilani ya CCM 2015-20 mambo mengine na katiba mpya



Ilani ya CCM 2015-20 Juu ya umoja wetu afrika mashariki na sarafu yetu



Ilani ya CCM 2015-20 juu ya wafanyakazi



Ilani ya CCM 2015-20 Juu ya mpango kazi wa kuhamia Dodoma




mrangi FaizaFoxy Depal konda msafi kareem kim Pascal Mayalla
 
Mambo aliyokuja nayo hakuyatoa mbinguni... pata muda wa kupitia ilani ya chama vizuri... ni aliamua kuanza na jambo aliloanza nalo na mambo ya gas na bagamoyo yaliitaji muda kuyapitia vizuri hasa mikataba yake...
Kwani wakati hiyo miradi inajadiliwa kwenye baraza la mawaziri yeye alikuwa wapi?
 
Mbona aliyepita aliacha yamtangulizi wake akaanzisha mapya na hakusema?
Tulieni nyie sukuma Gang zamu yenu ilishapita.
The past does not equal the future !! Nchi isiendeshwe kwa kusema mbona aliyepita alifanya hata kama ilikuwa haistahili kufanywa vile !! Mbunge Gwajima alitakiwa afafanue kwamba hayo maono yanatakiwa yaandikwe wapi ili Rais alazimike kuyafuata !! Na pia itakuwaje kama akikataa kuyafuata !! Mhe Mbunge hajafafanua !!
 
Kifupi Tanzania ni sawa na saluni ambayo mwendawazimu ambayo kila Raisi anayekuja anajifunzia kunyoa au kusuka mtindo unadhani yeye uko sawa

Ndio maana Kikwete alisema uraisi hausomewi .Nakubaliana naye hata Kibajaji aweza kuwa Raisi ndio maana baada ya tamko lile elfu 2915 CCM ilipata wagombea uraisi wataka kupitishwa na CCM zaidi ya 40 na kitu akiwemo mkulima darasa la saba toka kijijini kigoma aliyehamasika kuwa uraisi hausomewi kitaeleweka mbeleni akakopa milioni moja kununua fomu na pesa za kuzunguka kutafuta wadhamini!!

Kuna shida mahali uraisi nchi hii
 
Toka Magufuli afariki kuna watu wanateseka sana.
 
Ulichokiwaza juzi ndicho unakiwaza leo! Juzi hukuwa na maono haya....leo maono yamekuja kupitia fikra na unayatoa kupitia kinywa ulichobarikiwa. Tatizo lipo wapi hapo?
Hakuna tatizo lolote. Anabadilika kulingana na mazingira. Mimi nasisitiza awe na msimamo endelevu kwenye masuala ya msingi na sio kubadilika kila wakati.
 
Kama alivyokuja John magufuli halafu akavuruga vuruga kila kitu.
 
Ameshindwa kusema kwamba tatizo ni katiba mpya. Ameona akisema hvyo wenzie watamnanga lkn alimaanisha tatizo ni katiba itakayo tengeneza taasisi imara ambayo ndio itamuongoza mtu na siyo mtu kui guide taasisi
Hapo ndipo palipoungua shoka pakabaki mpini !!
 
Hatuna mwongozo wa Taifa kutokana na ubovu wa katiba. Kila kitu kipo mikononi mwa Rais. Ndiyo maana hata yeye aliweza kuupata ubunge kwa njia chafu.

Tupiganie katiba mpya.
 
..Ni mambo yapi yaliyoachwa? Maana kama ni miradi Mama Samia kwa kiasi kikubwa anajitahidi kumalizia miradi mikubwa iliyoachwa na marehemu huku pia akianzisha na mengine.
Mradi wa kuua watu, kuteka, kutesa na kuwapoteza wanaokosoa, Mama hajauendeleza kwa uaminifu.
 
Katiba mpya ndiyo kila kitu
 
Angemlaumu kwanza jpm ambaye alikuwa anawatukana akina mkapa na jk kila akipewa maiki. Jpm ndo alianza kupandika mbegu mbaya ya chuki
 
Huyu hakupaswa kuwa bungeni kabisa angeendelea na kazi yake ya kuchunga kondoa za bwana, ila jpm kwa sabb ya ukabila na ukanda kaleta wakina Tom and Jerry
Kondoo gani? Sema kuchunga mazwazwa yasiyo kuwa na elimu Wala akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…