Askofu Gwajima: Nchi imekosa maono, kila Rais anakuja na lake, ipo siku tutajuta

Askofu Gwajima: Nchi imekosa maono, kila Rais anakuja na lake, ipo siku tutajuta

Hatuna mwongozo wa Taifa kutokana na ubovu wa katiba. Kila kitu kipo mikononi mwa Rais. Ndiyo maana hata yeye aliweza kuupata ubunge kwa njia chafu.

Tupiganie katiba mpya.
Sio kweli wataalamu wanaandaa mipango ya maendeleo ya muda mrefu ipo mezani toka kipindi cha mkoloni

Mfano hakuna mtawala mzuri aliyekuwa na mipango mizuri ya kuemuendeleza mtu wa kijijini kama mkoloni.Akaleta mazao ya biashara kama pamba,chai,Kahawa,mkonge,korosho no.

Watu kipindi cha mkoloni matajiri walikuwa watu wa vijijini kupitia vyama vyao vya ushirika Nyerere tulipopata uhuru akataifisha mashamba na vyama vyao vya ushirika akavifanya taasisi za Serikali. Ambapo Serikali ndio anateua nani awe bosi!

Vikafa na kilimo kusua sua sasa hivi kijijini kunaonekana sehemu ya kuishi Maskini wakati kipindi cha mkoloni matajiri wakubwa kibao walikuwa ni wakulima wa vijijini akimiliki mali mijini,mabasi Malori na nyumba za kupangisha mijini na kusomesha watoto private na Ulaya kibinafsi au kupitia vyama vyao vya ushirika
 
Huyu hakupaswa kuwa bungeni kabisa angeendelea na kazi yake ya kuchunga kondoa za bwana, ila jpm kwa sabb ya ukabila na ukanda kaleta wakina Tom and Jerry
Ni maoni yake yaheshimiwe, kama wewe Jamiiforums inavyokupa space hapa.

Yote haya anayozungumza huyo Gwajima yanaweza kutatuliwa na KATIBA MPYA ambayo contents zake zitabeba maoni ya wananchi kwa 100%.
 
Sio kweli wataalamu wanaandaa mipango ya maendeleo ya muda mrefu ipo mezani toka kipindi cha mkoloni

Mfano hakuna mtawala mzuri aliyekuwa na mipango mizuri ya kuemuendeleza mtu wa kijijini kama mkoloni.Akaleta mazao ya biashara kama pamba,chai,Kahawa,mkonge...
Nimekuelewa Sana mkuu.
 
Sio kweli wataalamu wanaandaa mipango ya maendeleo ya muda mrefu ipo mezani toka kipindi cha mkoloni

Mfano hakuna mtawala mzuri aliyekuwa na mipango mizuri ya kuemuendeleza mtu wa kijijini kama mkoloni.Akaleta mazao ya biashara kama pamba,chai,Kahawa,mkonge...
Mifano yako ni irrelevant kabisa back 70's , maendeleo ya nchi yanapaswa kwenda sambamba na mawazo ya dunia ya sasa, ndio maana tunasema katiba mbovu ya 1977 haiwezi kusolve changamoto ya dunia ya sasa.
 
Askofu Gwajima ambaye ni Mbunge wa Kawe kasema nchi imekosa maono kwa kuwa kila Rais akiingia madarakani anaachana na ya mtangulizi wake, kuongeza hilo kamwe halitaweza kutuletea maendeleo...
Hivi, hapa hoja ya Khadija Kopa inaingia? Vile anavyosema kuna kuzaa na kunya?
 
Aliekuja na bila kufuata kilichoachwa na mtangulizi wake ni Magufuli, ilikuwa kwenye hata ilani kuhamia Dodoma? uwanja wa Chatto? msituchoshe sie na mambo yenu ya bunge kama whatassps group la CCM
Very true, Maono ya kijima ya CCM hayawezi kutatua changamoto za dunia ya sasa, zaidi kututia umasikini tu.
 
kasome ilani mkuu, hacha maneno ya kusikia...
Kujenga bandari.mpya bagamoyo kwenye ilani ya uchaguzi ya mwaka husika mwambie iko wapi? Sababu kila uchaguzi huwa tuna ilani ya CC M ya kipindi hicho tunayoahidi tutafanya kwa Miaka mitano CCM tukiomba kura kaangalie ilani ya 2005 na 2010 kipindi cha Kikwete CCM tukiomba kura ni wapi ilani ilitamka kuhusu ujenzi wa bandari mpya bagamoyo
 
Huyu hakupaswa kuwa bungeni kabisa angeendelea na kazi yake ya kuchunga kondoa za bwana, ila jpm kwa sabb ya ukabila na ukanda kaleta wakina Tom and Jerry
Wewe mjinga unaona ukabila tu badala ya kuangalia alichosema! Huwapendi sana Wasukuma wewe pimbi!
 
Back
Top Bottom