#COVID19 Askofu Gwajima ndiye kiongozi pekee aliyebaki na msimamo usioyumba kuhusu UVIKO 19 na chanjo zake

#COVID19 Askofu Gwajima ndiye kiongozi pekee aliyebaki na msimamo usioyumba kuhusu UVIKO 19 na chanjo zake

The Palm Tree

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
7,951
Reaction score
12,541
Mimi hapa The Palm Tree nilikiri na kukubali hadharani kuwa, moja ya jambo lililosimamiwa kwa usahihi na mwendazake Rais John Pombe Magufuli ni hili la msimamo wake thabiti wa ishu ya COVID 19 na chanjo zake.

Ni bahati mbaya kuwa viongozi wenzake wote waliokuwa pamoja naye wakati wa uhai wake ktk kusimamia hili akiwemo huyu mama Samia Suluhu leo wameonesha unafiki na kutoaminika kwao waziwazi mchana kweupe.

Bishop Rev. Josephat Gwajima ni mbunge wa jimbo la Kawe [CCM] ktk mkoa wa Dar as Salaam.

Kasoro yake nionayo mimi ni kwa sababu tu yuko CCM lakini ni kiongozi - mbunge wa tofauti sana na wana CCM wengi.

Ana msimamo dhabiti ktk mambo anayoyaamini kuwa siyo sahihi. Hapo humbadilishi. Si mnafiki walw mwongo kama wanaCCM walio wengi.

The best reference ya kuitumia kum - describe huyu nchungaji ni global pandemic ya COVID 19.

Kuanzia Rais Samia Suluhu Hassani aliyekuwa VP wakati wa u - Rais wa Magufuli, PM Majaliwa, mawaziri karibu wote na wabunge wa CCM wote ni wanafiki na waongo wasio na msimamo.

Wote wamepiga U - TURN ya hatari wakimkana waziwazi mchana kweupe aliyekuwa kinara wao Mwendazake John P. Magufuli..

Lakini Bishop Rev. Josephat Gwajima hamkani kabisa Magufuli na msimamo wake juu ya COVID 19 na chanjo yake. Na kwa msimamo wake huu, wenzake wanamwandama na kuanza kujenga hoja za eti kumfuta uanachama wa CCM.

Mimi najua Bishop Rev. Josephat Gwajima hataweza kamwe kubadili msimamo wake kwenye ishu nzima ya UVIKO 19 na chanjo yake.

Huu ndiyo uongozi na kiongozi wanaohitajika katika jamii iliyostaarabika. Viongozi wenye kusimamia wanachokiamini, wasio vigeugeu, wasio wanafiki, na wasio waoga na waongo kama Rais Samia Hassani na wenzake wote huko CCM.
 
Mambo ya Imani ukichanganya na ya Dunia unapata kichekesho, ya Mungu apewe Mungu na ya Kaiser apewe Kaiser
 
Hii Kitu tumeshaambiwa ni HIARI. Mbona kama kuna Watu wanafosi mambo! Nenda Kivyako yako Ukachanjwe.

Ninachohofia Mimi Serikali isije na Matamko kama. Hakuna mtu kuingia Hospitali za Umma Kama hana cheti cha kuchanjwa, Mahakamani marufuku kama hujachanjwa, Polisi na Watoa huduma za Afya lazima chanjo n.k! Hapo Lazima itaingia indirectly. Please please Msitulazimishe
 
Aaah! Askofu naye ni wale wale tu, mwambie aendeleze lile swala la vyeti vya mkoromije kama si mnafiki [emoji23][emoji23]
 
Msimamo unagharama mkuu.aliyetoka alijua anazipata wapi pesa. Sharti la wazungu no vaccines no loan/no aid.
 
Hii Kitu tumeshaambiwa ni HIARI..... mbona kama Kuna Watu wanafosi mambo...! Nenda Kivyako yako Ukachanjwe....
Ninachohofia Mimi Serikali isije na Matamko kama...Hakuna mtu kuingia Hospitali za Umma Kama hana cheti cha kuchanjwa, Mahakamani marufuku kama hujachanjwa, Polisi na Watoa huduma za Afya lazima chanjo n.k..! Hapo Lazima itaingia indirectly....please please Msitulazimishe.

1. "Uhiari" ndio msimamo wa Rev. Gwajima na ndiyo msimamo wangu na ninavyokusoma hapa inaonekaña ndiyo msimamo wako...

2. Bishop Rev. J. Gwajima, anatumia Uhuru wake kushawishi watu wakatae chanjo kwa kueleza matatizo na madhara ya chanjo hiyo in spiritual perspectives. Hili siyo kosa hata kidogo...

3. It's true, kwamba, kuna watakao kubali na watakaokataa kuchanjwa...

4. Hii ya eti usipochanjwa chanjo hizi hutakubaliwa kuingia ktk maeneo yote yq huduma za kijamii i.e dukani au benki au shule nk...

Ni kweli kabisa upo huo wakati wa hayo kutokea, lakini siyo sasa...

Kutouza wala kununua mpaka uwe na alama ya 666 mpinga Kristo kutaanza kutekelezwa mara kanisa litakapokuwa limenyakuliwa. Kanisa bado halijanyakuliwa...

Kwa hiyo hanjo hii intentionally imelenga kueneza madhara mengine tu kwa binadamu na kutengeneza njia ya agenda za mpinga Kristo. Mimi nakubaliana Bishop Rev. Gwajima...

Nakushauri na wewe kataa, kuwa upande wa Mungu Yehova...
 
Back
Top Bottom