#COVID19 Askofu Gwajima ndiye kiongozi pekee aliyebaki na msimamo usioyumba kuhusu UVIKO 19 na chanjo zake

#COVID19 Askofu Gwajima ndiye kiongozi pekee aliyebaki na msimamo usioyumba kuhusu UVIKO 19 na chanjo zake

Mimi hapa The Palm Tree nilikiri na kukubali hadharani kuwa, moja ya jambo lililosimamiwa kwa usahihi na mwendazake Rais John Pombe Magufuli ni hili la msimamo wake thabiti wa ishu ya COVID 19 na chanjo zake.

Ni bahati mbaya kuwa viongozi wenzake wote waliokuwa pamoja naye wakati wa uhai wake ktk kusimamia hili akiwemo huyu mama Samia Suluhu leo wameonesha unafiki na kutoaminika kwao waziwazi mchana kweupe.

Bishop Rev. Josephat Gwajima ni mbunge wa jimbo la Kawe [CCM] ktk mkoa wa Dar as Salaam.

Kasoro yake nionayo mimi ni kwa sababu tu yuko CCM lakini ni kiongozi - mbunge wa tofauti sana na wana CCM wengi.

Ana msimamo dhabiti ktk mambo anayoyaamini kuwa siyo sahihi. Hapo humbadilishi. Si mnafiki walw mwongo kama wanaCCM walio wengi.

The best reference ya kuitumia kum - describe huyu nchungaji ni global pandemic ya COVID 19.

Kuanzia Rais Samia Suluhu Hassani aliyekuwa VP wakati wa u - Rais wa Magufuli, PM Majaliwa, mawaziri karibu wote na wabunge wa CCM wote ni wanafiki na waongo wasio na msimamo.

Wote wamepiga U - TURN ya hatari wakimkana waziwazi mchana kweupe aliyekuwa kinara wao Mwendazake John P. Magufuli..

Lakini Bishop Rev. Josephat Gwajima hamkani kabisa Magufuli na msimamo wake juu ya COVID 19 na chanjo yake. Na kwa msimamo wake huu, wenzake wanamwandama na kuanza kujenga hoja za eti kumfuta uanachama wa CCM.

Mimi najua Bishop Rev. Josephat Gwajima hataweza kamwe kubadili msimamo wake kwenye ishu nzima ya UVIKO 19 na chanzo.

Huu ndiyo uongozi na kiongozi wanaohitajika katika jamii iliyostaarabika. Viongozi wenye kusimamia wanachokiamini, wasio vigeugeu, wasio wanafiki, na wasio waoga na waongo kama Rais Samia Hassani na wenzake wote huko CCM.

Kuna watu nchi yeyote watashabikia ujinga tu na hili ndiyo group lake. Anasema anafufua watu wajinga wanakubali. Hivyo kabaki mwenyewe kwasababu ana wafuasi wanaopenda uongo na cha ajabu ndiyo wanampa pesa.
 
Mimi hapa The Palm Tree nilikiri na kukubali hadharani kuwa, moja ya jambo lililosimamiwa kwa usahihi na mwendazake Rais John Pombe Magufuli ni hili la msimamo wake thabiti wa ishu ya COVID 19 na chanjo zake.

Ni bahati mbaya kuwa viongozi wenzake wote waliokuwa pamoja naye wakati wa uhai wake ktk kusimamia hili akiwemo huyu mama Samia Suluhu leo wameonesha unafiki na kutoaminika kwao waziwazi mchana kweupe.

Bishop Rev. Josephat Gwajima ni mbunge wa jimbo la Kawe [CCM] ktk mkoa wa Dar as Salaam.

Kasoro yake nionayo mimi ni kwa sababu tu yuko CCM lakini ni kiongozi - mbunge wa tofauti sana na wana CCM wengi.

Ana msimamo dhabiti ktk mambo anayoyaamini kuwa siyo sahihi. Hapo humbadilishi. Si mnafiki walw mwongo kama wanaCCM walio wengi.

The best reference ya kuitumia kum - describe huyu nchungaji ni global pandemic ya COVID 19.

Kuanzia Rais Samia Suluhu Hassani aliyekuwa VP wakati wa u - Rais wa Magufuli, PM Majaliwa, mawaziri karibu wote na wabunge wa CCM wote ni wanafiki na waongo wasio na msimamo.

Wote wamepiga U - TURN ya hatari wakimkana waziwazi mchana kweupe aliyekuwa kinara wao Mwendazake John P. Magufuli..

Lakini Bishop Rev. Josephat Gwajima hamkani kabisa Magufuli na msimamo wake juu ya COVID 19 na chanjo yake. Na kwa msimamo wake huu, wenzake wanamwandama na kuanza kujenga hoja za eti kumfuta uanachama wa CCM.

Mimi najua Bishop Rev. Josephat Gwajima hataweza kamwe kubadili msimamo wake kwenye ishu nzima ya UVIKO 19 na chanzo.

Huu ndiyo uongozi na kiongozi wanaohitajika katika jamii iliyostaarabika. Viongozi wenye kusimamia wanachokiamini, wasio vigeugeu, wasio wanafiki, na wasio waoga na waongo kama Rais Samia Hassani na wenzake wote huko CCM.
Wengi walikuwa wanajipendekeza yaani wanafakiki na inadhihirika sasa
 
U turn
IMG-20210731-WA0007.jpg
 
Hivi we Askofu Rashidi unamjua vizuri lakini?

subiri hutaamini siku ukimuona anaemda kuchanjwa, ye ataawaambia kondoo wake Bwana ameniambia nikanjanje nao wataitikia Ameeeeee kama mazombi

mtu aliwaambia waumini wake kamwe hawezi kuwa mbunge maana atakua amejishusha baadae akawaambia Bwana amemuonyesha,

mtu aliyetwambia ule mkono ulikua sio wake ni wa baunsa huyo sio wa kumuamini hata kidogo
Tuwaulize wana Kawe "Yanayaonaje mazingira ya Birmingham" [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Kuna watu nchi yeyote watashabikia ujinga tu na hili ndiyo group lake. Anasema anafufua watu wajinga wanakubali. Hivyo kabaki mwenyewe kwasababu ana wafuasi wanaopenda uongo na cha ajabu ndiyo wanampa pesa.
Huna maarifa ya kiroho wewe na kwa hiyo ni vigumu kwako kuyaelewa mambo haya unless ugeuke na kumfuata Yesu Kristo...

Imeandikwa, ".....watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa....." [Hosea 4:6a]...

Sasa kwa kuwa wewe umekosa maarifa ya Mungu, umekubali upotee na uangamie kabisa. Ndiyo sababu hutaweza kutuelewa sisi na watu kama Rev. Josephat Gwajima na mimi wanaotazama na kupima kila jambo katika vipimo vya kiroho/ki - Mungu...

Kwa lugha rahisi ni kuwa, sisi na nyie msioyaelewa wala kuamini KATIKA MUNGU, basi maana yake ni hii:

Kwamba tunaishi na kusafiri ktk masafa (frequency) tofauti kabisa....!!

Kwa mantiki hii, si rahisi ukatokea wakati wowote tukaelewana ama kupatana katika mambo haya ya kiroho unless wote tusomeke ktk ukurusa mmoja wa kitabu (same book page)...!
 
Yeye hana haja ya kuthibitisha chochote; wanaoipigia chanjo upatu ndio watuambie beyond reasonable doubt kuhusu usalama wa chanjo husika. Ndicho ambacho amekuwa akisema Askofu Gwajima tangu kitambo tu.

Justification yake, kama unataka, ni kwamba sisi kama wananchi hatujathibitishiwa usalama wa afya zetu kuhusu suala la chanjo. Soma ile document ya kukubali kuchanjwa, uone namna serikali ya JMT inavyowaruka wananchi mchana kweupe!!!

NB: If you don't appreciate what Bishop Gwajima is talking about, then you cannot appreciate anything else.
Chanjo zingine watoto wanazopata au dawa za malaria, kisukari, ukimwi, tezi dume, kichocho, shinikizo la damu, matende, TB na vitamin supplements etc tunazitumia kwa rely on wataalamu wa afya - wawe wa tiba asilia au ya kisasa. Kama kuna mtu ana wasiwasi na findings zao, basi alete za kwake (mbadala). Lakini kutumia tu platform ya mahubiri kusema tu mambo bila kuwa na justification (mfano kwamba aina ya chanjo iliyoletwa haifai kwa sababu hizi na hizi na badala yake tutumie chanjo x yenye faida hizi na hizi) ni useless. Only, uncritical thinkers can take on board what he says. Mimi nataka mtu anishawishi kwa data na siyo aina ya maneno ya kujenga 'castle in the air'.
 
Mimi hapa The Palm Tree nilikiri na kukubali hadharani kuwa, moja ya jambo lililosimamiwa kwa usahihi na mwendazake Rais John Pombe Magufuli ni hili la msimamo wake thabiti wa ishu ya COVID 19 na chanjo zake.

Ni bahati mbaya kuwa viongozi wenzake wote waliokuwa pamoja naye wakati wa uhai wake ktk kusimamia hili akiwemo huyu mama Samia Suluhu leo wameonesha unafiki na kutoaminika kwao waziwazi mchana kweupe.

Bishop Rev. Josephat Gwajima ni mbunge wa jimbo la Kawe [CCM] ktk mkoa wa Dar as Salaam.

Kasoro yake nionayo mimi ni kwa sababu tu yuko CCM lakini ni kiongozi - mbunge wa tofauti sana na wana CCM wengi.

Ana msimamo dhabiti ktk mambo anayoyaamini kuwa siyo sahihi. Hapo humbadilishi. Si mnafiki walw mwongo kama wanaCCM walio wengi.

The best reference ya kuitumia kum - describe huyu nchungaji ni global pandemic ya COVID 19.

Kuanzia Rais Samia Suluhu Hassani aliyekuwa VP wakati wa u - Rais wa Magufuli, PM Majaliwa, mawaziri karibu wote na wabunge wa CCM wote ni wanafiki na waongo wasio na msimamo.

Wote wamepiga U - TURN ya hatari wakimkana waziwazi mchana kweupe aliyekuwa kinara wao Mwendazake John P. Magufuli..

Lakini Bishop Rev. Josephat Gwajima hamkani kabisa Magufuli na msimamo wake juu ya COVID 19 na chanjo yake. Na kwa msimamo wake huu, wenzake wanamwandama na kuanza kujenga hoja za eti kumfuta uanachama wa CCM.

Mimi najua Bishop Rev. Josephat Gwajima hataweza kamwe kubadili msimamo wake kwenye ishu nzima ya UVIKO 19 na chanjo yake.

Huu ndiyo uongozi na kiongozi wanaohitajika katika jamii iliyostaarabika. Viongozi wenye kusimamia wanachokiamini, wasio vigeugeu, wasio wanafiki, na wasio waoga na waongo kama Rais Samia Hassani na wenzake wote huko CCM.
Mimi siamini kuwa Majaliwa Yuko kwenye kundi Hilo ulilolitaja...

Ila ni kweli there is something wrong somewhere kwenye uongozi..binafsi Nina hofu kubwa na hali Hii...najiuliza Kama tunao strategists na thinkers wanaoweza kutoa ushauri kwa mustakabali wa nchi...nakosa jibu...
 
Back
Top Bottom