#COVID19 Askofu Gwajima ndiye kiongozi pekee aliyebaki na msimamo usioyumba kuhusu UVIKO 19 na chanjo zake

#COVID19 Askofu Gwajima ndiye kiongozi pekee aliyebaki na msimamo usioyumba kuhusu UVIKO 19 na chanjo zake



CCM BWANAA!!!
1627472084211.png
 
Sina la kuongea, maana people are ready to ridiculousness. Magufuli alijitahidi kuwalinda watu na machanjo na kuwa Covid19 ni Scum watu wakamwona mjomba hana upendo nao. Kama mama kawaonyesha mfano kuwa chanjo ni salama.

Hizi chanjo zimetengenezwa kwa nano technology, vitu vilivyomo ni vidogo kuliko cells zetu mwilini. Ndani ya chanjo kuna microchip ya artificial intelligence, ambayo inakwenda kumuunganisha Human with machine through kitu inayoitwa "internet of things" hivyo binadamu kwa jicho la binadamu ni among the things na si utu.

Mambo haya yanaenda sambamba duniani kote na kutimiza agenda hiyo kwa kufunga satelite angani zenye 5G network wifi, mwenye kazi hiyo amepewa elites, Elon Musk na kampuni yake ya Spacex. Chanjo hizi za Covid19 amepewa kazi hiyo computer engineer anayemiliki Microsoft na ambaye pia hajamaliza hata bachelor yake ya engineering, na sasa hivi ndio anaye fund WHO ukiondoa USA, agency yake ya chanjo inayojulikana kama GAVI agency ndo inayofanya kazi hii duniani kote, huyu ni elite, Bill Gates.

Agenda ya microchipping ni ya tangu mwaka 1884, ukisoma kitabu kinaitwa "1984" by George Orweil ameandika kama mpango mkakati wa microchipping the entire population ili pia ku enzi miaka 100 ya The Fabian Society, ambayo ni society ya Illuminatti ilitoleta siasa za kijamaa na kikomunist kwa mataifa mbali mbali duniani.

Illuminati hawapendi binadamu na wanataka total control by using technology (hiyo Ai semiconductors). Unaweza kuona kazi zao kuwa hawatupendi hawa jamaa, angalia wametuletea mbolea za chumvi ili kuharibu ardhi isitoe mazao, wamebadilisha DNA ya mbegu sasa hivi mbegu zinashambuliwa na wadudu kwa kutumia utaalamu wao wanaoufundisha kwenye vyuo vya kilimo na mifugo, wamefundisha utumiaji wa herbicide na pesticide na enzymes kwenye mboga na matunda.

Wameweka fortification kwenye nafaka kama mahindi na ngano, fortification ni chemical foods zinazowekwa kwenye vitu hivyo zikiitwa kama "lishe" matokeo yake ni watu kuumwa na kufa.

Wameweka fluoride kwenye maji ya kunywa. Wamefundisha ku treat water by chemicals hazard kama Chlorine, tumepewa water guard ili kuuwa vijidudu vya maji.

Hata television hasa zile mainstream ni mali yao, na zinaharibu akili za watu wengi. Kama unabisha angalia youtube " Hulu Super Bowl" Reptilians humanoid wana lengo la kuharibu brain zetu " mind control and manipulation.

Nimechoka kuandika maana ujumbe huu unadharaulika sana, kila mtu na akili yake. Mimi hunipigi chanjo kwa vile najua ina nini na inalengo gani na sio Kutibu covid19 ambayo haipo. Na hii chanjo msifikiri inafanana na polio au ya TT.
 
Samia anaweza kuja kuwa Raisi mbaya kuwahi kutokea hapa Tanzania baada ya kikwete.

waziri mkuu hata aibu hana kabisa na misimamo yote kipindi kile leo anayageuka maneno yake.
 
Hii Kitu tumeshaambiwa ni HIARI. Mbona kama kuna Watu wanafosi mambo! Nenda Kivyako yako Ukachanjwe.

Ninachohofia Mimi Serikali isije na Matamko kama. Hakuna mtu kuingia Hospitali za Umma Kama hana cheti cha kuchanjwa, Mahakamani marufuku kama hujachanjwa, Polisi na Watoa huduma za Afya lazima chanjo n.k! Hapo Lazima itaingia indirectly. Please please Msitulazimishe
Kutokana na uchache wa chanjo sidhani kama tutafika huko kwa sasa, kama tutakuwa na chanjo nyingi za kuweza kupewa zaidi ya asilimia 60 ya wananchi na wakazi huko huenda tukafika, lakini tunaomba pia upimaji wa Corona uwe bei nafuu au kama si bure kabisa ili watu tujijue afya zetu.
 
Na nikwel hawa wanasiasa wa ccm n vigeu geu, na hata inapotokea umewazid points ktk kutetea kile wanachoamn wanaishia kukutisha tuu
Screenshot_2021-07-28_142809.jpg
 
Samia anaweza kuja kuwa Raisi mbaya kuwahi kutokea hapa Tanzania baada ya kikwete.

waziri mkuu hata aibu hana kabisa na misimamo yote kipindi kile leo anayageuka maneno yake.
Wakati mwingine misimamo ya kijinga haisaidii. Watu wanafanya mambo kisayansi nyie bado mmekazana na tunguri
 
Samia anaweza kuja kuwa Raisi mbaya kuwahi kutokea hapa Tanzania baada ya kikwete.

waziri mkuu hata aibu hana kabisa na misimamo yote kipindi kile leo anayageuka maneno yake.
Huko CCM yamejaa matapeli ya kisiasa tu,na leo ndiyo wamedhihirisha hilo.
 
Chanjo haikwepeki maana Corona ni ugonjwa unahitaji sayansi kuutibu na haihusiani na mapepo ya kuyaombea yatoke.
 
Angekuwa sio msisiemu unadhani muda huu angekuwa wapi?
 
Mkono wa BAUNSA ni tapeli ,kashawapeleka vijana wa kawe Birmingham na california ? Vipi kanisa lake la mita 400 kashalimaliza?
 
Hivi we Askofu Rashidi unamjua vizuri lakini?

subiri hutaamini siku ukimuona anaemda kuchanjwa, ye ataawaambia kondoo wake Bwana ameniambia nikanjanje nao wataitikia Ameeeeee kama mazombi

mtu aliwaambia waumini wake kamwe hawezi kuwa mbunge maana atakua amejishusha baadae akawaambia Bwana amemuonyesha,

mtu aliyetwambia ule mkono ulikua sio wake ni wa baunsa huyo sio wa kumuamini hata kidogo
Mi nikikumbuka ile clip anayomkatikia mauno muumini wake... namvulia kofia kabisa
 
Magufuli kafika ahera bado anasema "Nireteeni Gwajima".
Hahahaah

Watanzania hivi sasa wanalazimika kumsikiliza Gwajima... Ni Gwajima yupi, hapo ndio kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
 
Mimi hapa The Palm Tree nilikiri na kukubali hadharani kuwa, moja ya jambo lililosimamiwa kwa usahihi na mwendazake Rais John Pombe Magufuli ni hili la msimamo wake thabiti wa ishu ya COVID 19 na chanjo zake.

Ni bahati mbaya kuwa viongozi wenzake wote waliokuwa pamoja naye wakati wa uhai wake ktk kusimamia hili akiwemo huyu mama Samia Suluhu leo wameonesha unafiki na kutoaminika kwao waziwazi mchana kweupe.

Bishop Rev. Josephat Gwajima ni mbunge wa jimbo la Kawe [CCM] ktk mkoa wa Dar as Salaam.

Kasoro yake nionayo mimi ni kwa sababu tu yuko CCM lakini ni kiongozi - mbunge wa tofauti sana na wana CCM wengi.

Ana msimamo dhabiti ktk mambo anayoyaamini kuwa siyo sahihi. Hapo humbadilishi. Si mnafiki walw mwongo kama wanaCCM walio wengi.

The best reference ya kuitumia kum - describe huyu nchungaji ni global pandemic ya COVID 19.

Kuanzia Rais Samia Suluhu Hassani aliyekuwa VP wakati wa u - Rais wa Magufuli, PM Majaliwa, mawaziri karibu wote na wabunge wa CCM wote ni wanafiki na waongo wasio na msimamo.

Wote wamepiga U - TURN ya hatari wakimkana waziwazi mchana kweupe aliyekuwa kinara wao Mwendazake John P. Magufuli..

Lakini Bishop Rev. Josephat Gwajima hamkani kabisa Magufuli na msimamo wake juu ya COVID 19 na chanjo yake. Na kwa msimamo wake huu, wenzake wanamwandama na kuanza kujenga hoja za eti kumfuta uanachama wa CCM.

Mimi najua Bishop Rev. Josephat Gwajima hataweza kamwe kubadili msimamo wake kwenye ishu nzima ya UVIKO 19 na chanzo.

Huu ndiyo uongozi na kiongozi wanaohitajika katika jamii iliyostaarabika. Viongozi wenye kusimamia wanachokiamini, wasio vigeugeu, wasio wanafiki, na wasio waoga na waongo kama Rais Samia Hassani na wenzake wote huko CCM.
Ni bahati mbaya kuwa viongozi wenzake wote waliokuwa pamoja naye wakati wa uhai wake ktk kusimamia hili akiwemo huyu mama Samia Suluhu leo wameonesha unafiki na kutoaminika kwao waziwazi mchana kweupe.

[emoji3516]
Hawa ndo viongozi,
Mwendazake alikua maiti inayotembea,
Wacha msukule mwenzake GWAJIMA abwate ila corona haitamuacha salama
 
Back
Top Bottom