technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Gwajima ana hoja!
Sawa covid ipo, na variants zake and whatever waves we are expecting in the future, hata lije wimbi la 40, ni hivi tutahimiza watu wasichanjwe... hawa watu wametengeneza tatizo ku create fear ili wachome watu masindano(chanjo) bila kuwa na uhakika na content ya hizo chanjo? Kachome wewe na familia yako... wanaopinga sio wajinga kama unavyofikiri, we are well informed and we know exactly what is goin on huko duniani... Tumesoma na kujifunza mambo mengi sana kuhusu hizi chanjo. Wajinga pekee ndio watachoma hizo chanjo.
Wewe nijibu kwa niaba yake.Unauliza swali shallow sana hata mtoto mwenye akili aliye darasa la tano hawezi kuuliza hivi. Sorry
Ametumia hiyari kuhiyarisha wengine!Si wamesema hii ni Hiari ?
Sasa kutumia muda wako kuwakataza / kuwa-convince watu hiari yao si ni kupotoka ?
Huu kama sio Uchochezi ni nini ?
Huyu jamaa CCM mnamlea kweli...anapingana na Serikali yenu kuhusu chanjo, anapotosha watu na mnamuacha anarandaranda tu mitaanii..Ni wazo baya sana kuwachanja chanjo ya Corona askari wa majeshi yetu kwa sababu hatujui usalama wa hizo chanjo.
Baba Gwajima amesema anapinga kwa 100% vyombo vya dola kuchanjwa kwa sababu tunaweza kupoteza taifa. Askofu Gwajima amesema haya Kanisani kwake leo.
Askofu Gwajima amewataka wafuasi wake na wapiga kura wa jimbo la Kawe wakatae kabisa kuchanja kwa sababu watapata hasara kubwa sana maishani.
" Naikataa kabisa chanjo ya Corona " amesisitiza baba askofu.
Chanzo: Mtandao wa You tube!
Hamna wa kulia ndugu, Yesu yupo pamoja nasi!! Aliyetuvusha 2020 atakuwa na sisi pia
Gwajima ameanza kulisea hili toka mwanzo msimamo wake haujayumba ana hoja kwa wale waliokuwa wanakataa ila sasa wanaikubaliLAKINI kwanini wasingekomaa wakiwa kule bungeni?
baba askofu ama mpiga dili mmoja hivi" Naikataa kabisa chanjo ya Corona " amesisitiza baba askofu.
Chanzo: Mtandao wa You tube!