technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Kuna watu wanawashambulia Gwajima na Ndugai ila wao kama sehemu ya Bunge wanatakiwa kupingana na rais bila kuvunja katiba ya nchi.
Lazima tujifunze kuwa na mawazo huru hoja ya Gwajima ila mashiko inatakiwa kujibiwa kwa hoja
Waziri wa Afya aliwaaminisha watu ujinga leo amegeuka anatakiwa kujibu hoja za chanjo kwa undani zaidi ili watu waondoe shaka.
Hoja ya Ndugai pamoja na kuwa sikubaliani naye ila ana haki ya kutoa maoni yake.
Mimi napingana na Mwigulu kubishana na Rais maana yeye ni sehemu ya Serikali ila Gwajima na Ndugai sina sida nao.
Lazima tujifunze kuwa na mawazo huru hoja ya Gwajima ila mashiko inatakiwa kujibiwa kwa hoja
Waziri wa Afya aliwaaminisha watu ujinga leo amegeuka anatakiwa kujibu hoja za chanjo kwa undani zaidi ili watu waondoe shaka.
Hoja ya Ndugai pamoja na kuwa sikubaliani naye ila ana haki ya kutoa maoni yake.
Mimi napingana na Mwigulu kubishana na Rais maana yeye ni sehemu ya Serikali ila Gwajima na Ndugai sina sida nao.