Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Mantiki za hoja ziko 100% perfect.
Kuna watakaokuja kuunganisha dot (.)
Kuna watakaokuja kuunganisha dot (.)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo wachanjwe wanafunzi au wamachingaNi wazo baya sana kuwachanja chanjo ya Corona askari wa majeshi yetu kwa sababu hatujui usalama wa hizo chanjo.
Baba Gwajima amesema anapinga kwa 100% vyombo vya dola kuchanjwa kwa sababu tunaweza kupoteza taifa. Askofu Gwajima amesema haya Kanisani kwake leo.
Askofu Gwajima amewataka wafuasi wake na wapiga kura wa jimbo la Kawe wakatae kabisa kuchanja kwa sababu watapata hasara kubwa sana maishani.
" Naikataa kabisa chanjo ya Corona " amesisitiza baba askofu.
Chanzo: Mtandao wa You tube!
Hongera. Hiyo ni haki yako. Hakuna mwuungwana wa kukulazimisha, kukusikitikia wala kukushangilia.Mm chanjo siwezi kuchanjwa
Gwajima ana hoja!
Yupo sahihi, lakiniMbunge wa bunge la JMT kupitia jimbo la Kawe mh Josephat Gwajima amesema ni balaa kubwa kuchagua Kigeugeu kuwa kiongozi katika jambo lolote lile.
Mkiwa na Kiongozi anayebadilikabadilika kulingana na maslahi yake binafsi basi mjihesabu " mmekwisha" maana yeye anaijua kesho yake tu na siyo kesho yenu, amesema.
We dalali wa chanjo tuliza boga hilo!Kwa wenye akili finyu tu. Chanjo za ndui, pepo punda, kifua kikuu. Polio etc nazo zilizokwapuliwa kwa BEBERU huyo mpuuzi alizifanyia tathmini ili kujua kama ni salama kwa Watanzania!?
Naamini alishinda kihalali japo wapo wanaoamini alipita kwa goli la mkono la uchafuzi mkuu wa 2020Mjinga huyo, hapo kanisani watajadili?
Yeye ni mbunge ana nafasi kubwa kuwawakilisha bungeni.
Hivi ilikuwaje Kawe nzima akapewa ubunge huyu mtu
We dalali wa chanjo tuliza boga hilo!
Uwe na adabu ya kuufyata unapoona watumishi wa Mungu wanazungumza!
kwa hiyo akamatwe kama mbowe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] I am just jokingYule mnafiki wa Kawe amehamia huku? Huyu mtu wanamwachaje anataka kuchezea vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kutia hofu na uchochezi?
Tapeli huyoAnataka watu wa Kawe wafe ili wasimdai tiketi za kwenda jimbo la Birmingham Marekani.
Amandla...
Wewe pia tukuulize una kiwango gani cha Elimu? Kwa nini Elimu yako haikupi kushtuka kuona chanjo isiyokubalika Amerika, Canada, ulaya na aftika ya kusini ndio tupewe sisi!Una kiwango gani cha elimu?
Mm kwenye swala la chanjo, namwamini, serikali wanatudanganya kwa hili, huyohuyo waziri wa afya gwajima alikuepo kipindi cha mwendazake na alituhimiza kutokuchanjwa leo ndo anahamasisha baada ya mwendazake kufariki, hawana msimamo ni unafiki tu!!
Hizo chanjo utazinywa na mashoga wenzio.Kwa kuwa Babaako ni boga kakufundisha nawe uwe boga ili mjiuze pamoja usidhani kila mtu anafanya huo ujinga dunya wewe!
Eti Gwajima mtumishi wa Mungu!!! Mungu yupi ZWAZWA wewe! Dikteta Magufuli!?
Nireteeni gwajimaaaaaKwa hio Gwajima ana maanisha kwamba Rais Samia ni kigeugeu.
Mambo gani ya kitaalamu?Hivi ni kwa nini ma layman ndio wamekuwa vinara wa kuongelea mambo ya kitaalam?
Asili yake yeye ni Mungu