#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Serikali ndio ilikuwa ya kwanza kupotosha wananchi wake, ndio maana sasa inakuwa ngumu kueleweka!!na wale wapotoshaji ndio hao hao leo wanaipigia debe!!hayo ni mawazo potofu tu kuwa eti wanajeshi wachanjwe kwa majaribio!!ina maana hizo nchi nyingine walizochanja wanajeshi, hawana akili kama tayari mmshekubali chanjo?!!hao manesi , madaktari polisi hawana umuhimu kwa taifa?!!
Ule wa kwanza ulikuwa ukwel, ila huu wa pili, Ni mpango(plan) ambayo cash ndo inawafanya waiendeshe, acha kucheza na fedha mkuu.. 570$
 
Ni muhimu sana kujua aina ya hizo chanjo na i)ubora wake kwa aina zote za COVID 19 ii)Madhara yake ya muda mfupi na ya muda mrefu ili tujue aina bora au tuamue kilicho sahihi

Tukumbuke kila dawa inayotibu huwa ina madhara yake kwa mtumiaji lakini dawa haiwezi kuwa dawa bila effectiveness ya dawa hiyo kuthibitika kwa kuzingatia viwango vya afya vilivyowekwa

Tukumbuke pia kwa wenzetu zinakotoka chanjo kuna waliochanjwa na bado wanaugua





Mungu ibariki Tanzania 🙏
 
..lakini msimamo wa SERIKALI ni kwamba chanjo za covid-19 ni salama.

..sasa Gwajima anaposema polisi na wanajeshi wasichanjwe ana maana gani?

..hudhani kuwa amevuka mipaka kuizungumzia serikali na vyombo vya ulinzi na usalama namna hiyo?
Ni salama kwa Nan?? Nan kathibitisha?? Lin? Wap? Kiongz yupi wa ngz za juu amechanjwa?? Au ndo Yale maigizo yakina nanillliiiii??
 
Punguza jazba , leo GWAJIMA ,anaponda chanjo KWA hoja nyepesi Sana kana vile wazungu hawatupendi , hivi GWAJIMA si anawatoto, na je hawakuwai kuchanjwa chanjo , ukiachana na Yeye mwenyewe kwamba Hana kovu la BCG kwenye bega lake la kulia,? Na Kama ndivyo izo chanjo zilitengenezwa na nani? Leo ndo anaona chanjo Zina madhala


GWAJIMA ANASEMA madactari wanao shabikia chanjo ya Cov 19 watakufa, hakuna Mungu wa ivyo, naungana na mtoa mada, GWAJIMA ni MNAFIKI, leo anajiona ni mtakatifu mbele za bwana, wakati ubunge kapata KWA njia ya dhuluma, Mungu wake ni yupi anaependa dhuluma?

Kama ni mtumishi wa Mungu Alie hai ,ajiuzuru ubunge,na akatubu


Watz fulsa ya chanjo Kama ipo tukachanje, GWAJIMA na waumini wake hawalazimishwi , ila asipotoshe watanzania,
Achana naye nawewe nenda kajitokeze utetee kivyako.
 
Maandiko ya kisayansi yapo yanayoelezea jinsi chanjo inavyofanya kazi na composition yake na hata majaribio yaliyofanyika kuweza kujiridhisha ufanisi wake....serikali kupitia vyombo vyake husika ndio ina uwezo wa kuhakiki kilichomo...wewe unafahamu chemical composition ya coca cola ?

Unafahamu hasa kiasi cha electromagnetic waves zinazotoka kwenye simu yako kama ni salama ?

Serikali ndio inayofanya kazi ya kujua kipi ni salama kwa wananchi wake, kama serikali na vyombo husika vikisema kitu ni salama, serikali za nchi nyingine zikasema ni salama, taasisi nyingine za kimataifa zikasema ni salama then who are you kupinga bila evidence ? Kama ukisema kisitumike basi weka ushahidi katika mfumo wa andiko la kisayansi ambapo wanasayansi wengine watajifunza kutoka kwako ama kukukosoa.
Ngoja nikuoneshe jinsi ulivyo naive......

nime quote baadhi ya maneno yako kama ifuatavyo...........uliandika hivi "Serikali ndio inayofanya kazi ya kujua kipi ni salama kwa wananchi wake, kama serikali na vyombo husika vikisema kitu ni salama, serikali za nchi nyingine zikasema ni salama, taasisi nyingine za kimataifa zikasema ni salama then who are you kupinga bila evidence ?"

Sasa naomba ukachukue kasha la kuhifadhia sigara yoyote iliyotengenezwa hapa Tanzania,utaona kuna maandishi makubwa yanasema "UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO",halafu pembeni ya kasha hilo kuna nembo ya TBS imepigwa hapo juu ya kasha,

Je,unaweza kunieleza kwanini TBS wamekubali kuthibitisha matumizi ya kitu ambacho hata aliyekitengeneza anakubali kwamba ni hatari kwa matumizi?

Nimekupa evidence kama ulivyotaka,maana najua utauliza evidence,sasa kafanye kama nilivyokwambia ili wewe mwenyewe ujionee hiyo evidence,ukishafanya hivyo rudi tena hapa niite nikupe elimu labda naweza kukuokoa na ujinga ambao unaweza kukusababishia madhara makubwa kwako au kwa uwapendao sasa au baadaye.
 
Kwenye uzi wa Elli M aliouanzisha jana uhusu chanjo, niligundua kitu. Kuna baadhi ya bavicha walianza kuziponda chanjo zilizoletwa na CCM wakidai kuwa zina madhara, nikawa nashangaa kwakua siku sio nyingi walikuwa wanadai chanjo zije Ili wao wachanjwe haraka na yeyote yule aliyejitokeza kuhoji usalama wa zile chanjo alioneka kuwa Sukuma gang😂.


Kwa alichokizungumza Gwajima atapondwa sana na baadhi ya Bavicha hapa,ila hata wao kimsingi wanaziogopa sana hizo chanjo.
 
Tapeli Gwajima kashindwa kumfufua Magu, Bora mwizi wa kuku kuliko mwizi mtumia dini.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Huu ni uongo na upotoshaji wa hali juu unaotaka kuuelza hapa. Serikali haijawahi kupotosha kuhusu UVIKO -19 (CORONA - 19) bali likuwa inatoa wananchi wake HOFU, WASIWASI NA WOGA juu ya UVIKO-19 na hivyo kuwatayarisha katika mapambano dhidi ya gonjwa hili na KUWA RUDISHA WATU WAMTEGEMEE MUNGU WAO! Hili nalo ni uongo au upotoshaji? Kila kiongozi huwa na approach na Imani kwa Mungu wake ili aiponye nchi (sasa hili ni la KIIMANI ZAIDI) kama wewe humuamini Mungu basi!
 
Njia zilizotumika kumpatia Ubunge anajua hazikuwa sahihi na haki haikutendeka lakini Leo hii hajawahi popote kuukataa ubunge wake Wala japo kuukubali lakini kutumia kanisa kukemea pale ambapo hakukuwa na haki

Amekywepo kwenye utawala wa awamu iliyopita ambapo tulishuhudia na kusikia watu wakipoteza uhai na kutekwa na watu wasiojulikana, tulishudia risasi adharani lakini hakuna siku amewahi kutoka adharani kukemea uvunjivu wa sheria na katiba ya nchi

Alikuwepo BUNGENI juzi wakati tozo kandamizi zinapitishwa hakuna siku tulimsikia akipinga na kura alipiga ya ndiyo. Hata hao waoumini wake hajawahi kuwaonea huruma, mshahara wake alipi Kodi na hatumsikii akikemea.

Leo anaibuka anaanza kumjadili JPM kwamba wakati wake hakuna aliyeleta chanjo. Je wakati wa JPM wakati watu wanabambikiwa kesi yeye hakuwepo? Alitusemea? Wakati watu wanakufa kwa corona alisema? Wakati tunaficha data alisema? Leo ametoa wapi ujasiri wakutumia nyumba za ibada kutaka kujifanya yeye ni daktari?

Tunaporuhusu watu wa aina ya Gwajima waongoze jamii ndipo tunapozalisha mawazo mgando. Yeye anaamini JPM alikuwa Mungu na kwamba maarifa ya JPM lazima yaheshimiwe hata Kama yalikuwa hayafai, kwamba Leo badala atueleze Mungu anasemaje anatulazimisha tufuate nyayo za binadamu ambaye ana mapungufu mengi ya wazi. Hii dini gani yakuelekeza watu wamwabudu mtu?

Leo ndipo amekuwa na msimamo, mbona huo msimamo upo kwa mambo ya mwendazake haupo kwa wengine?

Huyu mtu apuuzwe, siyo kiingozi wa dini Bali ni Kiongozi wa walafi wa madaraka. Kwenye siasa anataka, kwenye dini anataka na kwenye ushirikina anataka. Yeye Nani wakuombea watu wafe kisa awakubaliani naye? Unasiamama madhabauni unabiri kuua watu unadhani waumini wako wanajitunza Nini? Kwamba wanaokwenda kinyume na mtizamo wako na JPM wafe? Nani kakwambia ninyi ni miungu? Kwamba wewe utokufa?

Nadhani huyu mtu kwa kuwa tu Ni mwana ccm anayo haki yakutumia kanisa anavyojisikia yeye Tena kwa mambo ya hovyo kinyume kabisa na imani yake. Ila ipo siku ataadhibiwa
Mkuu umeandika VIZURI ,ila pia ,nitoe shukrani KWA Mungu, maana Kuna kipindi uliandika kua na changamoto ya kiafya, nami ,nilisema KWA kuombea kwamba kuugua Sio kufa utarudi ukiwa mzima na imekua,


Usiache mtegemea Mungu katika wakati wote mgum kwako , Yeye anajua kesho yetu, karibu tena mkuu
 
Tapeli Gwajima kashindwa kumfufua Magu, Bora mwizi wa kuku kuliko mwizi mtumia dini.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Jenga hoja kulingana na mada iliyotajwa,acha personal attacks na ushabiki wa kijinga.

Kama ni hivyo acha na mimi nikuulize kitu, Gaidi Mbowe yuko wapi?
 
Njia zilizotumika kumpatia Ubunge anajua hazikuwa sahihi na haki haikutendeka lakini Leo hii hajawahi popote kuukataa ubunge wake Wala japo kuukubali lakini kutumia kanisa kukemea pale ambapo hakukuwa na haki

Amekywepo kwenye utawala wa awamu iliyopita ambapo tulishuhudia na kusikia watu wakipoteza uhai na kutekwa na watu wasiojulikana, tulishudia risasi adharani lakini hakuna siku amewahi kutoka adharani kukemea uvunjivu wa sheria na katiba ya nchi

Alikuwepo BUNGENI juzi wakati tozo kandamizi zinapitishwa hakuna siku tulimsikia akipinga na kura alipiga ya ndiyo. Hata hao waoumini wake hajawahi kuwaonea huruma, mshahara wake alipi Kodi na hatumsikii akikemea.

Leo anaibuka anaanza kumjadili JPM kwamba wakati wake hakuna aliyeleta chanjo. Je wakati wa JPM wakati watu wanabambikiwa kesi yeye hakuwepo? Alitusemea? Wakati watu wanakufa kwa corona alisema? Wakati tunaficha data alisema? Leo ametoa wapi ujasiri wakutumia nyumba za ibada kutaka kujifanya yeye ni daktari?

Tunaporuhusu watu wa aina ya Gwajima waongoze jamii ndipo tunapozalisha mawazo mgando. Yeye anaamini JPM alikuwa Mungu na kwamba maarifa ya JPM lazima yaheshimiwe hata Kama yalikuwa hayafai, kwamba Leo badala atueleze Mungu anasemaje anatulazimisha tufuate nyayo za binadamu ambaye ana mapungufu mengi ya wazi. Hii dini gani yakuelekeza watu wamwabudu mtu?

Leo ndipo amekuwa na msimamo, mbona huo msimamo upo kwa mambo ya mwendazake haupo kwa wengine?

Huyu mtu apuuzwe, siyo kiingozi wa dini Bali ni Kiongozi wa walafi wa madaraka. Kwenye siasa anataka, kwenye dini anataka na kwenye ushirikina anataka. Yeye Nani wakuombea watu wafe kisa awakubaliani naye? Unasiamama madhabauni unabiri kuua watu unadhani waumini wako wanajitunza Nini? Kwamba wanaokwenda kinyume na mtizamo wako na JPM wafe? Nani kakwambia ninyi ni miungu? Kwamba wewe utokufa?

Nadhani huyu mtu kwa kuwa tu Ni mwana ccm anayo haki yakutumia kanisa anavyojisikia yeye Tena kwa mambo ya hovyo kinyume kabisa na imani yake. Ila ipo siku ataadhibiwa
Umefufuka?
 
Njia zilizotumika kumpatia Ubunge anajua hazikuwa sahihi na haki haikutendeka lakini Leo hii hajawahi popote kuukataa ubunge wake Wala japo kuukubali lakini kutumia kanisa kukemea pale ambapo hakukuwa na haki

Amekywepo kwenye utawala wa awamu iliyopita ambapo tulishuhudia na kusikia watu wakipoteza uhai na kutekwa na watu wasiojulikana, tulishudia risasi adharani lakini hakuna siku amewahi kutoka adharani kukemea uvunjivu wa sheria na katiba ya nchi

Alikuwepo BUNGENI juzi wakati tozo kandamizi zinapitishwa hakuna siku tulimsikia akipinga na kura alipiga ya ndiyo. Hata hao waoumini wake hajawahi kuwaonea huruma, mshahara wake alipi Kodi na hatumsikii akikemea.

Leo anaibuka anaanza kumjadili JPM kwamba wakati wake hakuna aliyeleta chanjo. Je wakati wa JPM wakati watu wanabambikiwa kesi yeye hakuwepo? Alitusemea? Wakati watu wanakufa kwa corona alisema? Wakati tunaficha data alisema? Leo ametoa wapi ujasiri wakutumia nyumba za ibada kutaka kujifanya yeye ni daktari?

Tunaporuhusu watu wa aina ya Gwajima waongoze jamii ndipo tunapozalisha mawazo mgando. Yeye anaamini JPM alikuwa Mungu na kwamba maarifa ya JPM lazima yaheshimiwe hata Kama yalikuwa hayafai, kwamba Leo badala atueleze Mungu anasemaje anatulazimisha tufuate nyayo za binadamu ambaye ana mapungufu mengi ya wazi. Hii dini gani yakuelekeza watu wamwabudu mtu?

Leo ndipo amekuwa na msimamo, mbona huo msimamo upo kwa mambo ya mwendazake haupo kwa wengine?

Huyu mtu apuuzwe, siyo kiingozi wa dini Bali ni Kiongozi wa walafi wa madaraka. Kwenye siasa anataka, kwenye dini anataka na kwenye ushirikina anataka. Yeye Nani wakuombea watu wafe kisa awakubaliani naye? Unasiamama madhabauni unabiri kuua watu unadhani waumini wako wanajitunza Nini? Kwamba wanaokwenda kinyume na mtizamo wako na JPM wafe? Nani kakwambia ninyi ni miungu? Kwamba wewe utokufa?

Nadhani huyu mtu kwa kuwa tu Ni mwana ccm anayo haki yakutumia kanisa anavyojisikia yeye Tena kwa mambo ya hovyo kinyume kabisa na imani yake. Ila ipo siku ataadhibiwa
Wewe na Gwajima wote ni vigugeu! Hivi karibuni ulikuja humu kuaga kuwa unakaribia kufa!? Ingefaa kwanza kabla hujamnyooshea mwenzio kidole utueleze nini kimekufanya uwepo hapa leo
 
Ni wazo baya sana kuwachanja chanjo ya Corona askari wa majeshi yetu kwa sababu hatujui usalama wa hizo chanjo.

Baba Gwajima amesema anapinga kwa 100% vyombo vya dola kuchanjwa kwa sababu tunaweza kupoteza taifa. Askofu Gwajima amesema haya Kanisani kwake leo.

Askofu Gwajima amewataka wafuasi wake na wapiga kura wa jimbo la Kawe wakatae kabisa kuchanja kwa sababu watapata hasara kubwa sana maishani.

" Naikataa kabisa chanjo ya Corona " amesisitiza baba askofu.

Chanzo: Mtandao wa You tube!
Sijui vyombo vya dola viko wapi kumdhibiti huyu. Kwani Serikali ilisema kuwa chanjo inahitaji kura ya maoni hadi yeye kupiga kampeni ya hapana?
 
Uingereza kuna mjadala unaendelea na wao hawataki kupata chanjo kwani asilimia 69 ya wanaopata corona ni wale waliopata chanjo ila kwa sababu sisi huku tumekuwa watu wa majaribio tusubiri kufanyiwa majaribio
 
Waumini mazuzu wanasimama na kupunga mkono hehehh
 
Bwashee kauli ya Ngwajima haina tofauti na ugaidi labda ni kwa vile imetolewa na mwanafamilia mwenzetu.
 
Ni muhimu sana kujua aina ya hizo chanjo na i)ubora wake kwa aina zote za COVID 19 ii)Madhara yake ya muda mfupi na ya muda mrefu ili tujue aina bora au tuamue kilicho sahihi

Tukumbuke kila dawa inayotibu huwa ina madhara yake kwa mtumiaji lakini dawa haiwezi kuwa dawa bila effectiveness ya dawa hiyo kuthibitika kwa kuzingatia viwango vya afya vilivyowekwa

Tukumbuke pia kwa wenzetu zinakotoka chanjo kuna waliochanjwa na bado wanaugua


View attachment 1868906


Mungu ibariki Tanzania 🙏
Huna akili
 
Back
Top Bottom