#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Tulia mkuu, ACHA jazba, GWAJIMA haongei kiroho, ni sarakasi tu , Mungu Sio mwanadam mpaka akutumie hata kwenye dhuluma, hayupo Mungu wa ivyo mkuu , nakubali GWAJIMA WENDA alikua na kitu ndani yake, ila KWa Sasa hamna kitu pale asema bwana, utabisha kisa naongea ukweli, mpaka mda nisemavyo anachaguo moja, na simwambii, ila Kama anae Mungu wa kweli ,Basi ampe jibu vinginevyo ajipange tu, WENDA akaja shangaa wakati ana mda mda na Jambo la kufanya ili kurudisha connection na Mungu wake,

Ila tu aelewe tu huu ni mwanzo akiendelea au shupaza shingo ,ipo siku usipo sema, Basi mawe yatasema,Amin nakwambia
Achana naye nawewe nenda kajitokeze utetee kivyako.
 
1. Ni kweli kuwa kuna umuhimu wa kujiridhisha usalama wa chochote kile kitakachotumiwa na mtanzania. Ndio maana tuna mamlaka kadha wa kadha zinazosimamia usalama, ikiwemo usalama wa madawa na chanjo.
2. Chanjo ya UVIKO19 haizuii kuambukizwa au kuambukiza virusi vya ugonjwa huo. Hata hivyo vinapunguza makali ya virusi na uwezo wa kujibadilisha.
3. Kirusi/Virusi vya UVIKO19 vinavyoendelea kuambukizwa mara kwa mara, vinapata mwanya wa kujigeuza au kujibadilisha. Inaweza fika mahali hata chanjo zilizopo zisifanye kazi ipasavyo. Ndio maana dunia inakimbizana kuhakikisha watu wanachanjwa wengi ili kudhibiti hili.
4. Afya ya mwili ni muhimu sana. Chanjo siyo mbadala wa lishe bora, mazoezi ya mwili, usafi na hewa safi.
5. Kuna njia nyingi sana za kumdhuru mtanzania au mwafrika pasi na "kutengeneza ugonjwa na chanjo ya kumdhuru."
 
Ngoja madalali wa chanjo waje. Huwaambii kitu kuhusu hayo matakataka.

Wameshalipwa kibunda na mabeberu wamevimba vinyeo kwa KIBRI.
 
Ujinga wa aina hii, no wonder hili bara lina zaidi ya miaka 50 ya uhuru lakini zaidi ya asilimia 70 ya watu wake ni masikini wa kutupwa..akili kama hizi hizi

Tatizo la mjinga huwa hajijui kuwa yawezekana kuwa mjinga ni yeye.

😂😂😂!

Miaka 60 baada ya uhuru wengine wanaangalia Mars kunani, sisi tunaongelea nyungu na mikaratusi kama huyu:

IMG_20210614_192655_399.jpg


Au kuwa tumekumbwa na matatizo tumeamua ki utu uzima tu kuwa:

IMG_20210718_063455_991.jpg


Eti kuwa:

IMG_20210218_174254_207.jpg


Huu si ndiyo ujinga wenyewe sasa?

IMG_20210708_070119_331.jpg
 
Hizi chanjo zilikuwa za emergency, zimeharakishwaharakishwa tu. Bado hatujui madhara yake, ndiyo maana serikali imejiweka pembeni. Magufuli alisema wazi kabisa hataruhusu Watanzania watumike kama panya wa maabara. Hata hivyo, anayetaka kufanyiwa majaribio kwa hiari yake hakuna anayemkataza.
 
Uingereza kuna mjadala unaendelea na wao hawataki kupata chanjo kwani asilimia 69 ya wanaopata corona ni wale waliopata chanjo ila kwa sababu sisi huku tumekuwa watu wa majaribio tusubiri kufanyiwa majaribio
Majaribio gani tena?
Uingereza mpaka sasa wameshatoa chanjo kwa asilimia 70 ya watu wake. Tanzania sidhani hata asilimia 2 wameshapata chanjo. Majaribio yanafanyika kivipi hapo?
 
Gwajima ni mwanaume Kumamake ...!! Ni jukumu la kila mmoja sasa aamuae uchanjwe au usichanjwe , uhai wa mtu upo mkononi mwake mwenyewe for about 75%
 
Kuna mahala nimesoma eti ukichanjwa likelihood ya wewe kua shoga ni 90%😂😂.

Atakaechanjwa achanjwe na asiechanjwa asilazimishwe.

Lakini pia ieleweke hata ukichanjwa bado utaugua Covid na bado covid inaweza kukuua kwa 90% pamoja na chanjo yako.
Hakuna Covid19 ndugu,that is Influenza.wanatumia loophole ya Influenza kupenyeza agenda zao kwa kutumia jina jipya la covid19.....hakuna kipimo kilichomwona corona virus ndani ya damu ya mtu yeyote yule duniani aliyeambiwa kwamba ana covid19,HAKUNA!

Covid19 ni ugonjwa HEWA/FAKE uliopata sifa kwa kutumia mwamvuli wa uwepo wa Influenza,asthma,magonjwa ya moyo nk ambayo yapo tangu zamani na kupewa promo na vyombo vikubwa vya habari,wasanii wakubwa,wanamichezo maarufu nk ili tuje kuangukia kwenye vaccine shots ambazo wengi hawajui lengo halisi la wazungu kutuletea na kulazimisha serikali zetu kukubali kupokea chanjo hizo.....

Ni kama HIV/AIDS ulivyo FAKE lakini umepata promo vivyo hivyo na umaarufu kupitia magonjwa ambayo yapo kweli kama TB,Malaria nk pamoja na side effects za ARVs ambazo haswaa ndio sumu inayoongoza kuua watu huku akisingiziwa virus HEWA aliyepachikwa jina la HIV ambaye hakuna kipimo kiliwahi kumwona tangu wale wapumbavu wawili watangazwe kumgundua mwaka 1984 hadi leo.Wanatumia vipimo vilevile vya kijanjajanja kupima HIV kama ilivyo kwa Covid19 ili kutuogopesha na kutusukumia kwenye matumizi ya ARVs na kudungwa chanjo ya Covid19 ambavyo vyote vina lengho moja.....

Hivi watu hata hawataki kufikiri hata kidogo tu.....hivi mzungu anatupenda saaaana kiasi cha kutulazimisha kudunga chanjo ili atuokoe na vifo kutokana na Covid19?...kweli?....mwenye masikio na asikie.
 
Asante mchungaji, baba wa kiroho na mbunge wangu kwa kupaza sauti

Imetufikia na tumekuelewa sana





Ila kiukweli CCM wako na akili sana

Mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan tunakuelewa mama. Chapa kazi

#AsiyejuaMaanaHaambiwiMaana
 
Huu ni uongo na upotoshaji wa hali juu unaotaka kuuelza hapa. Serikali haijawahi kupotosha kuhusu UVIKO -19 (CORONA - 19) bali likuwa inatoa wananchi wake HOFU, WASIWASI NA WOGA juu ya UVIKO-19 na hivyo kuwatayarisha katika mapambano dhidi ya gonjwa hili na KUWA RUDISHA WATU WAMTEGEMEE MUNGU WAO! Hili nalo ni uongo au upotoshaji? Kila kiongozi huwa na approach na Imani kwa Mungu wake ili aiponye nchi (sasa hili ni la KIIMANI ZAIDI) kama wewe humuamini Mungu basi!

IMG_20210726_145234_441.jpg
 
Mimi sioni sababu ya kumfuata kibwetere Gwajima.Asitulishe matango Poli.Kanisa lake ni la ufufuo na uzima.Amefufua wangapi tangu lianze.?.Anayetaka kuchanja achanje.na asiyetaka ruksa
Je,unajua kama covid19 vaccine shot inaweza kufanya damu ya mtu i react positive kwenye vipimo vya "HIV" kutegemea na damu ya mtu?

Maana naona watu wengi sana bado wako gizani....kama una rafiki zako kadhaa(kama watano hivi) unaofahamiana nao vizuri na wote mmekubali kudungwa chanjo hiyo,basi fanya utafiti kupitia miili yenu....baada ya kudungwa chanjo hiyo,nendeni mkapime HIV,majibu utakayoyapata utabaki nayo mwenyewe kama evidence.
 
umeshaambiwa chanjo ni hiari.sasa hapo shida iko wapi.Soma machapisho huko amerika.utakuta watu wako huru kuhamasisha kukataa chanzo hizo.wewe tu unaona tabu watu wakitoa elimu huru.
Wewe nani kakwambia hiari watumishi wa afya usipochanjwa unawez,akupoteza ajira watuminshi wengi wanaweza kuacha kazi kwa sababu ya chanjo
 
Wengi wanakifahamu au wamewahi kukisikia kisa cha Joseph Kibweteere wa Uganda mshirika aliyejitenga kutoka kanisa katoliki na akaanzisha huduma yake iliyokuwa na mafundisho mengi ya ajabu lakini ikijitambulisha kama dhehebu la Kikristo.

Kilele cha huyu bwana ilikuwa March 17,2000 alipowafungia waumini wake takribani 700 ndani ya kanisa akawaaminisha mwaka 2000 ulikuwa mwisho wa dunia na wakakubali kuchomwa moto wote hadi kufa huko Kanungu Uganda.

Kibwetere mwenyewe haiweleweki mpaka leo kama alijichoma moto na washirika wake au yeye alichoropoka, mpaka leo amebaki katika listi ya mojawapo wa watu wanaotafutwa sana Uganda.

Nikirudi hapa nyumbani katika video na taarifa ziliozasambaa sana leo ni pamoja na ya Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake akiwasisitiza sana wafuasi wake wakatae chanjo kwa sababu wanaweza kugeuka mazombi.

Ameenda mbali zaidi akiipuzulia mapendekezo ya kamati ya wataalamu wa serikali iliyondwa kumshauri Rais katika suala la Corona.

Njia inayoonekana bora katika kukabiliana na Corona mpaka sasa ni chanjo, ikiwa Gwajima atasikilizwa na kutiliwa maanani na maelfu ya watu katika makundi hatarishi ya kupata na kufa kwa korona atakuwa hana tofauti na Kibweteere wa Uganda
Story ndefu halafu pointless
Mama chanjo ni nzuri kwako kachanje.
 
Ukishakulaa Hela za Watu kifupi UTAFANYWAA CHOCHOTE NA UTAKUWA MTUMWAA...!! Huwezi kubali mamilion ya pesa ya Msaada ya Covid alafu Ukatae Chanjo yani utakubali show tu na ubaya Viongozi wakubwa akiwepo Rais inabdi awe mfano.


Chanjo ya covid haijafanyiwa study popote kiufupi wata wanafanyiwa study bila kujua na bila malipoo wazungu wajanja sana pia hatuna uhakika hiyo chanjo ni kweli au Ndo ile Nchi hii inapewa Chanjo ya kweli wengine wanapewa Placebo kufanyika kama Reference ya kama chanjo inafanya kazi. Chanjo hii sip ya kukurupuka inawezekana disaster itakayosababishwa na Chanjo ikawa kubwa zaidi maana HATUJUI TUNACHOMWA NINI NA BEBERU NI BEBERU TU kamwe hawezi kumpenda mtu mweusi na Ukizingatia nchi za kiafrika rate yetu ya Kufa kwa corona ni ndogo sana ukilinganisha na mataifa ya wazungu huko Nje.
 
Huwa wanajeshi wanatumika wachache tu Kwa ajili ya majaribio na sio wote.

Sasa mamlaka waangalie namna wanafanya,

Isiwe wote ila Wachache tu Kwa ajili ya kuangalia uelekeo wakee.
Jeshi lina wajibu mkubwa wa kulinda usalama wa watu na mali. Mpaka sasa hakuna anayejua madhara ya muda mfupi na muda mrefu yatokanayo na chanjo.

Mbaya zaidi tunaletewa Johnson & Johnson, chanjo iliyopigiwa kelele na kupingwa duniani kutokama na damu kuganda.

Ufanyike utafiti wa kutosha kujiridhisha na chanjo ya corona.

Naungana na Askofu Gwajima kupinga wanajeshi wetu kutumika kwa majaribio.

Kama ni issue ya interaction utumike utaratibu mwingine kujikinga na maambukizi.

Je, ukichanjwa utaambukizwa tena? Ndiyo
Je, ukichanjwa utaambukiza tena? Ndiyo
Je, ukichanjwa utaugua? Ndiyo
Je, ukichanjwa utavaa barakoa? Ndiyo
Jamani! Hii mambo gani sasa?
 
Kuna kuongea na facts, na kuongea na mihemko...kila unachorudia kuuliza nimeshakijibu mwenye post yangu uliyoiquote na kusema tu "toa ujinga wako" kama nilichoandika ni "ujinga" basi wewe majibu yako yana "ujinga" wakipekee ni "ujinga" uliokithiri na usio na kikomo !
Kazi kubwa ya propaganda ni kuibadili akili timamu ya mtu ili aweze kuamini zaidi anachoambiwa na mtu mwingine kuliko kile anachokiona yeye mwenyewe.

Hivi ile ripoti ya kujua kwanini sample kutoka kwa mbuzi,papai nk zilitoa majibu positive baada kupimwa covid19 ilishatolewa eenh?Naombeni kujuzwa tafadhali...

Nadhani nitakua nimeeleweka hata kama aliyenielewa hatasema waziwazi.
 
No! sio Kibwetere yeye anataka kujua kuna components gani ndani ya hii chanjo kwanza ndio itumike haawamrishi waumini kijinga na wewe uelewe vizuri kwanza
Kbisa mkuu Gwajima corcern yake nikujua ile chanjo ipo na component gani na athari yake ni ipo kwasasa na kwa muda ujao .
 
Back
Top Bottom