Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kbisa mkuu Gwajima corcern yake nikujua ile chanjo ipo na component gani na athari yake ni ipo kwasasa na kwa muda ujao .
Gwajiboy angekuwa hayuko upande tawala ungesikia hajalipa ada za Rita,pia hajahuisha wadhamini wa kanisa nakukaguliwa akauti.Nashangaa serikali inalea taasisi za hovyo kabisa kama kanisa la Gwajima, amekuwa akitoa kauli za kuhatarisha amani ya nchi lakini anaachwa tu kana kwamba nchi haina sheria.
Huyu alisikika akitoa kauli kwamba aunde kundi la wasukuma ndani ya serikali, na ahamasishe wasukuma wawe kabila la kuitawala nchi hii, je, kanisa lake lina malengo ya ukabila? Sheria ya usajili wa makanisa inaruhusu hilo? Msajili wa makanisa yuko wapi kuchukua hatua!
Juzi juzi tu alisikika akikashifu uislamu, amekashifu viongozi,anafanya siasa kanisani na serikali inamwangalia, siasa za kibaguzi, za kichawi, zinazohatarisha amani ya nchi!
Kikanisa hichi cha mtu mmoja chenye watu wasiofika 5000 kiharibu amani na ustawi wa watu milioni 60? Hivi usajili wake ukifutwa kuna hata vumbi yao itaonekana?
Tunahitaji serikali iingie kazini kupambana na huyu muhaini, haikubaliki, hii nchi ina serikali, huyu muhuni mmoja asituharibie nchi
Rwanda wanawadhibiti wahuni kama hawa kwa maslahi ya nchi,nchi kwanza
Tena ifanyike haraka kabla hajawaambukiza covid wale wadada anaowaingilia kinguvuNashauri Gwajima akamatwe achanjwe kwa lazima
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Nashangaa serikali inalea taasisi za hovyo kabisa kama kanisa la Gwajima, amekuwa akitoa kauli za kuhatarisha amani ya nchi lakini anaachwa tu kana kwamba nchi haina sheria.
Huyu alisikika akitoa kauli kwamba aunde kundi la wasukuma ndani ya serikali, na ahamasishe wasukuma wawe kabila la kuitawala nchi hii, je, kanisa lake lina malengo ya ukabila? Sheria ya usajili wa makanisa inaruhusu hilo? Msajili wa makanisa yuko wapi kuchukua hatua!
Juzi juzi tu alisikika akikashifu uislamu, amekashifu viongozi,anafanya siasa kanisani na serikali inamwangalia, siasa za kibaguzi, za kichawi, zinazohatarisha amani ya nchi!
Leo anamkashifu Rais wa nchi, anakashifu serikali nzima, watu wako kimya! Serikali ifute kanisa hili, ukidharau mwiba,mguu huota tende
Kikanisa hichi cha mtu mmoja chenye watu wasiofika 5000 kiharibu amani na ustawi wa watu milioni 60? Hivi usajili wake ukifutwa kuna hata vumbi yao itaonekana?
Tunahitaji serikali iingie kazini kupambana na huyu muhaini, haikubaliki, hii nchi ina serikali, huyu muhuni mmoja asituharibie nchi
Rwanda wanawadhibiti wahuni kama hawa kwa maslahi ya nchi,nchi kwanza
Wewe chanjwa Tu shida nn ambao hatutaki chanjo tuacheni nasisi
Naunga mkono hojaNashauri Gwajima akamatwe achanjwe kwa lazima
Angekuwa sheikh wangemshughulikia
Gwajima in muhaini,akamatweHakuna kosa mtu akitoa maoni yake ilihali hajavunja sheria.
Mnapenda kusikia tu mnacho kipenda.
kamkamateGwajima in muhaini,akamatwe