#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Gwajima ambaye hawezi kuelewa hata ingredients za aspirin ataelewaje ingredients za chanjo ?!
Kbisa mkuu Gwajima corcern yake nikujua ile chanjo ipo na component gani na athari yake ni ipo kwasasa na kwa muda ujao .
 
Gwajima vs CCM machinery
IMG_20210725_185702.jpg
 
Nashangaa serikali inalea taasisi za hovyo kabisa kama kanisa la Gwajima, amekuwa akitoa kauli za kuhatarisha amani ya nchi lakini anaachwa tu kana kwamba nchi haina sheria.

Huyu alisikika akitoa kauli kwamba aunde kundi la wasukuma ndani ya serikali, na ahamasishe wasukuma wawe kabila la kuitawala nchi hii, je, kanisa lake lina malengo ya ukabila? Sheria ya usajili wa makanisa inaruhusu hilo? Msajili wa makanisa yuko wapi kuchukua hatua!

Juzi juzi tu alisikika akikashifu uislamu, amekashifu viongozi,anafanya siasa kanisani na serikali inamwangalia, siasa za kibaguzi, za kichawi, zinazohatarisha amani ya nchi!

Kikanisa hichi cha mtu mmoja chenye watu wasiofika 5000 kiharibu amani na ustawi wa watu milioni 60? Hivi usajili wake ukifutwa kuna hata vumbi yao itaonekana?

Tunahitaji serikali iingie kazini kupambana na huyu muhaini, haikubaliki, hii nchi ina serikali, huyu muhuni mmoja asituharibie nchi

Rwanda wanawadhibiti wahuni kama hawa kwa maslahi ya nchi,nchi kwanza
Gwajiboy angekuwa hayuko upande tawala ungesikia hajalipa ada za Rita,pia hajahuisha wadhamini wa kanisa nakukaguliwa akauti.
Chezea CCM wewe
 
Nashangaa serikali inalea taasisi za hovyo kabisa kama kanisa la Gwajima, amekuwa akitoa kauli za kuhatarisha amani ya nchi lakini anaachwa tu kana kwamba nchi haina sheria.

Huyu alisikika akitoa kauli kwamba aunde kundi la wasukuma ndani ya serikali, na ahamasishe wasukuma wawe kabila la kuitawala nchi hii, je, kanisa lake lina malengo ya ukabila? Sheria ya usajili wa makanisa inaruhusu hilo? Msajili wa makanisa yuko wapi kuchukua hatua!

Juzi juzi tu alisikika akikashifu uislamu, amekashifu viongozi,anafanya siasa kanisani na serikali inamwangalia, siasa za kibaguzi, za kichawi, zinazohatarisha amani ya nchi!

Leo anamkashifu Rais wa nchi, anakashifu serikali nzima, watu wako kimya! Serikali ifute kanisa hili, ukidharau mwiba,mguu huota tende

Kikanisa hichi cha mtu mmoja chenye watu wasiofika 5000 kiharibu amani na ustawi wa watu milioni 60? Hivi usajili wake ukifutwa kuna hata vumbi yao itaonekana?

Tunahitaji serikali iingie kazini kupambana na huyu muhaini, haikubaliki, hii nchi ina serikali, huyu muhuni mmoja asituharibie nchi

Rwanda wanawadhibiti wahuni kama hawa kwa maslahi ya nchi,nchi kwanza
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Wewe chanjwa Tu shida nn ambao hatutaki chanjo tuacheni nasisi

Chanjo ni hiari mkuu ndiyo maana hakuna anayelazimishwa kuchanjwa au kutochanjwa.

Tofautisha kuchanjwa na elimu kuhusu chanjo.

Elimu kuhusu chanjo ni kwa mujibu wa kauli za serikali. Unataka chanjo hutaki chanjo tahadhari zingine zote pia ni kwa mujibu wa kauli ya serikali.

Kuhamasisha watu kukiuka kauli ya serikali kuhusu Corona ndiyo msingi wa mada.

Kwa hilo Gwajima anakosea na anapaswa kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Cc: Jumbe Brown
 
Hakuna kosa mtu akitoa maoni yake ilihali hajavunja sheria.

Mnapenda kusikia tu mnacho kipenda.
 
Mbona siku hizi za Korona wajinga mmeongezeka saana,

Jinga kabisa, Kanisa lifungwe kwa sababu zipi, Yule anahubiri kile kilichoko kwenye kitabu chake, na kitabu chake kinasema, hata baba yake mzazi akimzuia kuhubiri anaouhuru wa kumuona ni kama siyo baba yake tena, na huyo unayemsema, atausimamia ukweli wa kitabu anachokiamini na yuko tayari kukifia, utamtisha nini hapo?

Biblia ilionya juu ya siku za mwisho kwamba kutakuweko na chapa ya shetani na chapa hiyo ya shetani kwa atakayeikataa ataandamwa, hatauza wala kununua, atatengwa kama yatima, atateswa, lakini avumiliaye Hadi mwisho,huyo ataokoka

halafu wewe unaandika ujinga tu, mimi mwenyewe hapa stochanjwa na liwalo na liwe
 
Back
Top Bottom