#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Nashangaa serikali inalea taasisi za hovyo kabisa kama kanisa la Gwajima, amekuwa akitoa kauli za kuhatarisha amani ya nchi lakini anaachwa tu kana kwamba nchi haina sheria.

Huyu alisikika akitoa kauli kwamba aunde kundi la wasukuma ndani ya serikali, na ahamasishe wasukuma wawe kabila la kuitawala nchi hii, je, kanisa lake lina malengo ya ukabila? Sheria ya usajili wa makanisa inaruhusu hilo? Msajili wa makanisa yuko wapi kuchukua hatua!

Juzi juzi tu alisikika akikashifu uislamu, amekashifu viongozi,anafanya siasa kanisani na serikali inamwangalia, siasa za kibaguzi, za kichawi, zinazohatarisha amani ya nchi!

Leo anamkashifu Rais wa nchi, anakashifu serikali nzima, watu wako kimya! Serikali ifute kanisa hili, ukidharau mwiba,mguu huota tende

Kikanisa hichi cha mtu mmoja chenye watu wasiofika 5000 kiharibu amani na ustawi wa watu milioni 60? Hivi usajili wake ukifutwa kuna hata vumbi yao itaonekana?

Tunahitaji serikali iingie kazini kupambana na huyu muhaini, haikubaliki, hii nchi ina serikali, huyu muhuni mmoja asituharibie nchi

Rwanda wanawadhibiti wahuni kama hawa kwa maslahi ya nchi,nchi kwanza
Kufungia kanisa lake ni kumpa kiki,ACHA waumini wake wajibebe, ili Hali siku ya mwisho KILA mtu atachimbiwa kaburi lake,na ataukumiwa kivyake, ACHA WAPUMBAVU WAENDELEE KUA WAPUMBAVU

Hakuna wa kubeba mzigo wa mwanzako siku ukifika ,utajipagania mwenyewe, that's hakuna kufa na ukarudi,ukirudi Basi hata akili haiwezi kua sawasawa ,siri ya mungu ni ya ajabu sana
 
Nashangaa serikali inalea taasisi za hovyo kabisa kama kanisa la Gwajima, amekuwa akitoa kauli za kuhatarisha amani ya nchi lakini anaachwa tu kana kwamba nchi haina sheria.

Huyu alisikika akitoa kauli kwamba aunde kundi la wasukuma ndani ya serikali, na ahamasishe wasukuma wawe kabila la kuitawala nchi hii, je, kanisa lake lina malengo ya ukabila? Sheria ya usajili wa makanisa inaruhusu hilo? Msajili wa makanisa yuko wapi kuchukua hatua!

Juzi juzi tu alisikika akikashifu uislamu, amekashifu viongozi,anafanya siasa kanisani na serikali inamwangalia, siasa za kibaguzi, za kichawi, zinazohatarisha amani ya nchi!

Leo anamkashifu Rais wa nchi, anakashifu serikali nzima, watu wako kimya! Serikali ifute kanisa hili, ukidharau mwiba,mguu huota tende

Kikanisa hichi cha mtu mmoja chenye watu wasiofika 5000 kiharibu amani na ustawi wa watu milioni 60? Hivi usajili wake ukifutwa kuna hata vumbi yao itaonekana?

Tunahitaji serikali iingie kazini kupambana na huyu muhaini, haikubaliki, hii nchi ina serikali, huyu muhuni mmoja asituharibie nchi

Rwanda wanawadhibiti wahuni kama hawa kwa maslahi ya nchi,nchi kwanza
shida yako ni nini? ni chanjo? si wamesema hiari? wewe nenda taratibu kapigwe chanjo kwasababu unataka, wasiotaka waache kama walivyo, hata maza alisema ile ni "hiari", sio lazima. sasa shida yako nini?
 
Kinga au Dawa ya Ukimwi (HIV) imetoka lini?.
Kwahiyo kwenye hicho kimiminika kuna nini? Watanzania tuna shida kweli.Dunia inapambana kuutokomeza huu ugonjwa wa corona sisi wabongo tuko busy kudanganyana.eti hatuamini mpaka tuwe na uhakika nayo.haha.chanjo zingine mlizowahi kupigwa mlikuwa na uhakika nazo?mbona bado mnazaliana tu tena kwa wingi na bila shida yoyote.Wazungu wawaue nyie ili iweje? Na wangekuwa na haja hiyo mbona wangeshatuondoa zamani tu.Gwaji boy yeye anatafuta umaarufu,wafuasi na utajiri zaidi kwa sadaka zenu.Sio daktari na hana uwezo na mamlaka yoyote ya kushauri mambo ya taaluma ya afya.anachukulia advantage ya ujinga wa watanzania kupotosha.Anaweza akawa amechanjwa tayari na bado akadanganya watu bado.Wajinga ndio waliwao.We kaa msikilize Gwaji boy corona ikupitie au ipitie ndugu au jamaa zako wa karibu ndio labda utatia akili.The choice is yours and yours alone.Labda tu kwa watakao amua kupata chanjo wahakikishe tu wanapata chanjo kwenye sehemu ambazo zimeidhinishwa na serekali na atleast wanasoma na kueilewa kiaina aina ya chanjo anayopata kabla ya kuipata.Stay safe and be blessed!!
Tumia akili basi, siyo kila kitu lazima aje mzungu akwambie, toka kuwepo kwa magonjwa hatari ya kushtukiza ni ugonjwa gani ambao dawa/kinga yake ilivumbuliwa kwa haraka na dunia kuipokea kwa mikono miwili pasi shaka kama hii?.
 
Mbona siku hizi za Korona wajinga mmeongezeka saana,

Jinga kabisa, Kanisa lifungwe kwa sababu zipi, Yule anahubiri kile kilichoko kwenye kitabu chake, na kitabu chake kinasema, hata baba yake mzazi akimzuia kuhubiri anaouhuru wa kumuona ni kama siyo baba yake tena, na huyo unayemsema, atausimamia ukweli wa kitabu anachokiamini na yuko tayari kukifia, utamtisha nini hapo?

Biblia ilionya juu ya siku za mwisho kwamba kutakuweko na chapa ya shetani na chapa hiyo ya shetani kwa atakayeikataa ataandamwa, hatauza wala kununua, atatengwa kama yatima, atateswa, lakini avumiliaye Hadi mwisho,huyo ataokoka

halafu wewe unaandika ujinga tu, mimi mwenyewe hapa stochanjwa na liwalo na liwe
Umeandika upumbavu sana, acha kuchanjwa, kuna ofisi hutaingia, utakuwa unaingia chooni kwako tu, nani umuachia maugonjwa yako?
 
Mkuu upo??
Watu walisema umefariki mkuu??
Binadam wabaya Sana

Unaendeleaje lkn kuna siku umetuaga hapa jukwaani
Nmecheka nikakumbuka ule uzi. Nilipoanza kusoma nilikuwa najiuliza hivyo na mimi.
 
Nashangaa serikali inalea taasisi za hovyo kabisa kama kanisa la Gwajima, amekuwa akitoa kauli za kuhatarisha amani ya nchi lakini anaachwa tu kana kwamba nchi haina sheria.

Huyu alisikika akitoa kauli kwamba aunde kundi la wasukuma ndani ya serikali, na ahamasishe wasukuma wawe kabila la kuitawala nchi hii, je, kanisa lake lina malengo ya ukabila? Sheria ya usajili wa makanisa inaruhusu hilo? Msajili wa makanisa yuko wapi kuchukua hatua!

Juzi juzi tu alisikika akikashifu uislamu, amekashifu viongozi,anafanya siasa kanisani na serikali inamwangalia, siasa za kibaguzi, za kichawi, zinazohatarisha amani ya nchi!

Leo anamkashifu Rais wa nchi, anakashifu serikali nzima, watu wako kimya! Serikali ifute kanisa hili, ukidharau mwiba,mguu huota tende

Kikanisa hichi cha mtu mmoja chenye watu wasiofika 5000 kiharibu amani na ustawi wa watu milioni 60? Hivi usajili wake ukifutwa kuna hata vumbi yao itaonekana?

Tunahitaji serikali iingie kazini kupambana na huyu muhaini, haikubaliki, hii nchi ina serikali, huyu muhuni mmoja asituharibie nchi

Rwanda wanawadhibiti wahuni kama hawa kwa maslahi ya nchi,nchi kwanza
Gwajima Ni mtu hatari Sana katika hii Nchi,mama atoe go ahead apate dawa yake mshenzi huyo
 
Mimi nataka polisi wote wachanjwe hata wakifa hakuna hasara ya taifa hapo ni sherehe
 
Chanjo ni hiari mkuu ndiyo maana hakuna anayelazimishwa kuchanjwa au kutochanjwa.

Tofautisha kuchanjwa na elimu kuhusu chanjo.

Elimu kuhusu chanjo ni kwa mujibu wa kauli za serikali. Unataka chanjo hutaki chanjo tahadhari zingine zote pia ni kwa mujibu wa kauli ya serikali.

Kuhamasisha watu kukiuka kauli ya serikali kuhusu Corona ndiyo msingi wa mada.

Kwa hilo Gwajima anakosea na anapaswa kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Cc: Jumbe Brown
Sahihi kabisa....

Nchi iko vitani dhidi ya UVIKO halafu mtu asiye na uelewa na mambo ya afya anapotosha tu mambo kwa sababu za kiimani na "conspiracy theories"....😲🤣

It's terrible.....

#TujitokezeTuchanjwe
#NchiKwanza
#KaziIendelee
 
Nashangaa serikali inalea taasisi za hovyo kabisa kama kanisa la Gwajima, amekuwa akitoa kauli za kuhatarisha amani ya nchi lakini anaachwa tu kana kwamba nchi haina sheria.

Huyu alisikika akitoa kauli kwamba aunde kundi la wasukuma ndani ya serikali, na ahamasishe wasukuma wawe kabila la kuitawala nchi hii, je, kanisa lake lina malengo ya ukabila? Sheria ya usajili wa makanisa inaruhusu hilo? Msajili wa makanisa yuko wapi kuchukua hatua!

Juzi juzi tu alisikika akikashifu uislamu, amekashifu viongozi,anafanya siasa kanisani na serikali inamwangalia, siasa za kibaguzi, za kichawi, zinazohatarisha amani ya nchi!

Leo anamkashifu Rais wa nchi, anakashifu serikali nzima, watu wako kimya! Serikali ifute kanisa hili, ukidharau mwiba,mguu huota tende

Kikanisa hichi cha mtu mmoja chenye watu wasiofika 5000 kiharibu amani na ustawi wa watu milioni 60? Hivi usajili wake ukifutwa kuna hata vumbi yao itaonekana?

Tunahitaji serikali iingie kazini kupambana na huyu muhaini, haikubaliki, hii nchi ina serikali, huyu muhuni mmoja asituharibie nchi

Rwanda wanawadhibiti wahuni kama hawa kwa maslahi ya nchi,nchi kwanza
Acha ushabiki wewe, hivi unatumia mind yako vizuri. Kwani kuchanjwa ni lazima. Si ukwende kuchanjwa hukooooo
 
Kilaza mkubwa wewe!! hujaona kilichotahadharishwa na hicho kitabu anachokihubiri askofu Gwajima? ndicho hicho unachojitapa eti mtu ambaye hana chanjo hataingia baadhi ya ofsi, wewe unaona hicho tu,bado hatasomesha watoto wake, hatanunua aridhi, hatafanya biashara, hatasafiri, hataruhusiwa kujichanganya na wengine, wewe unaona kuingia ofisini tu, Hayo ni lazima yaje ili kubakie walioyakana maisha yao, ambao wako tayari kwa kuifia Imani licha ya mateso kama hayo ila si kwa kuipokea chapa ya shetani, Kina Gwajima wako maelfu ambao wako tayari kwa hayo na zaidi, hata huko US wako ambao wameachishwa kazi kwa kukataa chapa hiyo ya mnyama,

Hata ukiishi miaka mia, lakini mwisho wake si ni kufa?

kwanza wewe kinakuuma nini na maisha ya wanaotaka wafe kwa kukataa chanjo mjinga wewe?
Umeandika upumbavu sana, acha kuchanjwa, kuna ofisi hutaingia, utakuwa unaingia chooni kwako tu, nani umuachia maugonjwa yako?
[/QUOTE
 
Nilichofanya ni kujibu hoja zako, ili kama kuna mtu hajafanya maamuzi asome pande mbili za shilingi na afanye maamuzi.

Hiyo survival rate ya 99.9% umeitoa wapi ? Unafikiri survival rate ya covid kwenye Scandinavian countries itakuwa sawa na Brazil, Ecuador, Tanzania ?
Nchi kama Tanzania hata survival rate haijulikani, kwa sababu hata data za corona zina gaps zisizoeleweka

Moshi tu KCMC tunaambiwa wameelemewa na upungufu wa mitungi ya gesi👇

Sasa hivi tunasikia corona ikiongelewa kwa sababu tu Magufuli hayupo, tunaambiwa tupo wimbi la tatu lakini ni lini tulipita wimbi la pili ? Wanatuambia wimbi la pili lilituathiri zaidi lakini ni lini tuliambiwa athari zake.

Haijulikani hasa idadi ya wagonjwa waliopo Tanzania kwa sababu hatuna kampeni ya kupima watu kwa wingi na hatuna huo uwezo.

Wengi wanakimbilia kusema "long term impact" lakini ndio hao hao akipata mafua ananunua Antibiotics pharmacy anapona bila kuwaza long-term impact ya kitendo hicho, baadae anakuja kupata bacterial infection sugu anaondoka, wengine wanabugia panadol kila siku kichwa kikiuma kumbe anashida nyingine mwisho wa siku anakuta amechoma maini. Sarakasi zote za kupinga chanjo zimeletwa na utandawazi, hakuna kingine !
Hospitali zinatumia janga la Corona kumaliza matatizo ya muda mrefu,nimefanya kazi ktk hospital moja kubwa ya rufaa,mitungi ya Oxygen ilikuwa haitoshi,hi inaitwa mgeni njoo mwenyeji apona.
 
Nashangaa serikali inalea taasisi za hovyo kabisa kama kanisa la Gwajima, amekuwa akitoa kauli za kuhatarisha amani ya nchi lakini anaachwa tu kana kwamba nchi haina sheria.

Huyu alisikika akitoa kauli kwamba aunde kundi la wasukuma ndani ya serikali, na ahamasishe wasukuma wawe kabila la kuitawala nchi hii, je, kanisa lake lina malengo ya ukabila? Sheria ya usajili wa makanisa inaruhusu hilo? Msajili wa makanisa yuko wapi kuchukua hatua!

Juzi juzi tu alisikika akikashifu uislamu, amekashifu viongozi,anafanya siasa kanisani na serikali inamwangalia, siasa za kibaguzi, za kichawi, zinazohatarisha amani ya nchi!

Leo anamkashifu Rais wa nchi, anakashifu serikali nzima, watu wako kimya! Serikali ifute kanisa hili, ukidharau mwiba,mguu huota tende

Kikanisa hichi cha mtu mmoja chenye watu wasiofika 5000 kiharibu amani na ustawi wa watu milioni 60? Hivi usajili wake ukifutwa kuna hata vumbi yao itaonekana?

Tunahitaji serikali iingie kazini kupambana na huyu muhaini, haikubaliki, hii nchi ina serikali, huyu muhuni mmoja asituharibie nchi

Rwanda wanawadhibiti wahuni kama hawa kwa maslahi ya nchi,nchi kwanza
Huyu Gwajima ni mtu hatari huyu ni gaidi kabisa.
FB_IMG_1618549208269.jpg
 
Mkuu mimi nimeshakata tamaa ná huyo mama. Asipofanya mabadiliko ya nguvu ya Baraza la Mawaziri kuwatema Majaliwa, Mwigulu, Gwajima, Ndugulile, Ummy na labda wachache wengine wa timu mwendazake basi dharau yao kwake itakuwa kubwa sana.
mama anatakiwa awe kauzu aisee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Jeshi lina wajibu mkubwa wa kulinda usalama wa watu na mali. Mpaka sasa hakuna anayejua madhara ya muda mfupi na muda mrefu yatokanayo na chanjo.

Mbaya zaidi tunaletewa Johnson & Johnson, chanjo iliyopigiwa kelele na kupingwa duniani kutokama na damu kuganda.

Ufanyike utafiti wa kutosha kujiridhisha na chanjo ya corona.

Naungana na Askofu Gwajima kupinga wanajeshi wetu kutumika kwa majaribio.

Kama ni issue ya interaction utumike utaratibu mwingine kujikinga na maambukizi.

Je, ukichanjwa utaambukizwa tena? Ndiyo
Je, ukichanjwa utaambukiza tena? Ndiyo
Je, ukichanjwa utaugua? Ndiyo
Je, ukichanjwa utavaa barakoa? Ndiyo
Jamani! Hii mambo gani sasa?
Haya maswali watetezi wa chanjo ndo wanatakiwa watupe majibu,siyo upupu wa kupinga alichosema Gwajima,au kusema tu asiyetaka asichanjwe.
 
Sahihi kabisa....

Nchi iko vitani dhidi ya UVIKO halafu mtu asiye na uelewa na mambo ya afya anapotosha tu mambo kwa sababu za kiimani na "conspiracy theories"....😲🤣

It's terrible.....

#TujitokezeTuchanjwe
#NchiKwanza
#KaziIendelee

Ilikuwa muhimu serikali ikatambua rasmi na hadharani:

1. kuwa awamu ya tano ilipotoka kwa kuchanganya siasa na Corona na yote yahusianayo na ugonjwa huo.
2. kuwa jitihada zisizochoka za Mh. Freeman Mbowe kuhimiza Corona kutofanyiwa usanii wa kisiasa zilikuwa ni za kizalendo.
3. umuhimu wa kuzuia hamasishaji haramu zote kuhusu Corona na chanjo zikiwamo hizi porojo za askofu Rashid.
4. msimamo wake ya kutumia nguvu ikibidi ili kuona maisha ya wananchi wake yanalindwa na kutofanyiwa ajizi na yeyote.

Au nasema uongo ndugu yangu Jumbe Brown ?
 
Back
Top Bottom