#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Nafikiri tuanze kubishana kwa vitendo. Kuna makataratasi yameshaandiwa na unasain kwamba serikali haitawajibika kwa madhara yatakayojotokeza na ni hiari. Mzigo uko tayari na tutaanza na U-VCCM, SPIKA, WABUNGE, RC, DC, Wakurugenzi halafu tupate break ya miezi mitatu tuone Kama kuna breaking nyuz
 
Gwajima ni Mtanzania anayo haki ya kugombea nafasi yeyote kama atatumia haki yake kugombea tutamchagua tukiona anafaa
 
Wwe inaonekana unaogopa sana kifo, usiogope sana kifo, maana kuna Watu wanalala tu wakiwa wazima wa afya na kifo kinawakuta usingizini! Kifo hakikwepeki ndg muda wowote kikikufika huna ujanja hata Kama umezungukwa na ma Dakitari Bora wa Dunia,utakwenda tu kwa Sir God bila ubishi!!

Kuna nadharia nyingi kuhusiana na vifo ila hii imeshiba:

IMG_20210726_191325_936.jpg



Hapo #2 na #4 ndipo kama binadamu tunapaswa kukomaa napo.
 
Habari!

Hili jambo nililisikia 2020 toka kwa waumini 2 wa Gwajima.

Mimi niko karibu na waumini kadhaa wa Askofu Gwajima ambapo kati yao 2 ninafanya nao kazi ofisi moja, idara moja. Na hao wote ni wachungaji wa kikundi (Ministry pastors) wa kanisa la Ufufuo na Uzima.

Aliamini huenda angerithi mikoba ya Magufuli 2025 lakini Magufuli ametangulia mbele za haki.

Je, atasubiri mpaka 2030 pindi atakapomaliza Rais Samia Suluhu?
Hapana.

Hataweza kusubiri 2030 bali atajaribu karata yake ya bahati 2025.

Msitegemee 100% kuwa Gwajima atamuunga mkono Rais Samia Suluhu kwa sasa.

Gwajima mtu mwenye akili nyingi anaweza kuipiga ngome ya mama na ikapigika. Ngoja tusubiri.

Hii ni tetesi hivyo naomba msiufute huu uzi, hauna dhamira ya uchochezi.
Kama wakitutumia polisi tena kuiba uchaguzi kama mwaka jana basi tutakuwa na rais wa kwanza duniani mcheza porn! Hii ni taarifa njema kwa CHAPUTA.


Bora utawala wa kikoloni wa wajerumani kuliko utawala huru wa majambazi na madikteta ya ccm
 
Wewe na huyo bibi yako samia mmefanya utafiti gani kujua kuwa chanjo ni salama?
Jibu kwanza ndipo uniulize. Lakini niseme tu serikali kupitia wataalamu wake wa afya imethibitisha uwa chanjo ni salama na inaweza kutumika. Sasa na wewe umetumia wataalamu gani kuonyesha chanjo iliyoletwa Tanzania siyo salama?
 
Hata sielewi nishike lipi[emoji38][emoji38][emoji38] lkn kwamm sikua na Wala Sina mpango kabisa na hzo chanjo na Wala Sina sababu
 
PURE LIES! sasa kama wataalamu wanakwambia hata kama umechanja bado ni muhimu kuvaa masks unataka kuwapinga? Kwa utaalamu upi uliokuwa katika PANDEMIC diseases hadi upinge? Usivae mask wala usipate chanjo soon utamfuata mwendazake. Kifo unakijua na makaburi pia unayajua lakini USIPOTOSHE kwa kuandika uongo humu.
Sasa kama umechanja na unavaa mask hiyo ndo nini sasa maana huna tofauti na ambaye hajachanjwa....maana yake hiyo chanjo ni ya mashaka mashaka tu halafu unavyosema napinga chanjo kama mwendazake aiii nimesema bayana kwamba sipingi chanjo zote napinga hizo chanzo cha mrna na nachoangalia ni usalama wa chanjo....siwezi kuchoma kitu ambacho ni majaribio brother ambacho hata hakijawa approved
 
Nafikiri tuanze kubishana kwa vitendo. Kuna makataratasi yameshaandiwa na unasain kwamba serikali haitawajibika kwa madhara yatakayojotokeza na ni hiari. Mzigo uko tayari na tutaanza na U-VCCM, SPIKA, WABUNGE, RC, DC, Wakurugenzi halafu tupate break ya miezi mitatu tuone Kama kuna breaking nyuz
Na ubaya wa MRNA vaccine ni kwamba madhara yake yapo mpaka miaka 20 baadae tofauti na covid vaccines nyingine ambazo hazitengenezwi ktk format ya mrna
 
Hahahahaha tofauti yake ni KIFO NÁ UHAI ná kupunguza maambukizi duniani. Kwani uliambiwa chanjo ni mandatory!? Chanjo ni hiari lakini usije humu kuandika uongo wako kwamba katika nchi ambazo watu wamechanjwa kuna vifo maelfu huo NI UONGO. Kadanganye kwingine siyo humu. Huna hata chembe ya ushahidi wa ulichoandika nakuwekea ushahidi lakini bado unapinga tu!!!
Sasa kama umechanja na unavaa mask hiyo ndo nini sasa maana huna tofauti na ambaye hajachanjwa....maana yake hiyo chanjo ni ya mashaka mashaka tu halafu unavyosema napinga chanjo kama mwendazake aiii nimesema bayana kwamba sipingi chanjo zote napinga hizo chanzo cha mrna na nachoangalia ni usalama wa chanjo....siwezi kuchoma kitu ambacho ni majaribio brother ambacho hata hakijawa approved
 
Hii nchi hata Pablo Escobar angekuwepo angegombea urais...

Nchi zenye maadili Gwajima angekuwa jela siku nyingi
Sio nchi zenye maadili,nchi zenye vyombo vya usalama makini na vinavyotambua wajibu wake
 

Fauci: 99 percent of Americans who died of COVID-19 last month were unvaccinated​

Vaccinations save lives, experts say.
By
Christian Spencer | July 9, 2021


Story at a glance:
  • In June, more than 9 out of 10 Americans, or 99.2 percent, who died from COVID-19 had not gotten vaccinated.
  • The new variant accounts for 50 percent of the nation’s newest cases, and it dominates 80 percent of new cases in some regions.
  • About 67 percent of American adults aged 18 or older have received at least one dose of the vaccine, and only 58 percent are fully vaccinated.
There is a strong correlation between not getting vaccinated and dying inside a hospital because of COVID-19, according to the country’s top public health official.
ca._fauci_smile_gettyimages-1227856235.jpg

Most of the people who died from COVID-19 were unvaccinated, said Anthony Fauci, the director of the National Institute of Allergy and Infectious Diseases and President Biden's chief medical adviser, The Guardian reported.


In June, more than 9 out of 10 Americans, or 99.2 percent, of those who died from COVID-19 had not gotten vaccinated.
In Maryland, 100 percent of patients diagnosed with COVID-19 who died were not vaccinated, with 93 percent of those with new cases or those being hospitalized also are unvaccinated, The Washington Post reported.
With the rise of the new delta variant in certain regions, the urgency of getting vaccinated has been placed in the spotlight once again.
The new variant accounts for 50 percent of the nation’s newest cases, and in some regions it dominates 80 percent of new cases, the Centers for Disease Control and Prevention (CDC) reported in a statement.
The delta or B.1.617.2 variant was first identified in India in December 2020. While current vaccines were not designed to combat this variant, experts say they provide some protection as opposed to not being vaccinated.
President Biden, whose initial goal was to encourage 70 percent of the adult population to receive one vaccination shot by the Fourth of July — which wasn’t quite realized — has reiterated the importance of getting vaccinated
“We can’t get complacent now,” he said during a press briefing. “Millions of Americans are still unvaccinated and unprotected. And because of that, their communities are at risk, their friends are at risk, the people they care about are at risk.”
Data from the CDC shows that about 67 percent of American adults aged 18 or older have received at least one dose of the vaccine, and about 59 percent are fully vaccinated.
The data also reveals that most of the people getting vaccinated are from coastal states on the West Coast and in the Northeast, while southern states are the most resistant.
Vaccine hesitancy is a political issue, stemming from one’s distrust in their government or media, or the belief that receiving life-saving vaccines or practicing socially distancing favors one political party over the other, according to a WaPo-ABC poll.
“The solution is the vaccinations,” said Asa Hutchinson, Republican governor of Arkansas, which has one of the lowest vaccination rates in the country, on CNN’s State of the Union on Sunday. “We’re in a race against this Delta variant, which spreads very fast, and every state is going to be faced with this.”
Sasa kama umechanja na unavaa mask hiyo ndo nini sasa maana huna tofauti na ambaye hajachanjwa....maana yake hiyo chanjo ni ya mashaka mashaka tu halafu unavyosema napinga chanjo kama mwendazake aiii nimesema bayana kwamba sipingi chanjo zote napinga hizo chanzo cha mrna na nachoangalia ni usalama wa chanjo....siwezi kuchoma kitu ambacho ni majaribio brother ambacho hata hakijawa approved
 
Kwenye swala la corona na chanjo,wasio na elimu na wanaopinga hatua za kukabiliana na corona,wana point za msingi kuliko wasomi,wanasayansi na wanazuoni wanaohimizaa tuchanjwe[emoji28][emoji28][emoji28].

Ukichanjwa una uwezekano wa kupata corona???NDIO
Ukichanjwa unaweza ambukiza wengine???NDIO
Ukichanjwa unawezakufa kwa corona??NDIO


Sasa tunachanjwa ili iweje???
 
Habari!

Hili jambo nililisikia 2020 toka kwa waumini 2 wa Gwajima.

Mimi niko karibu na waumini kadhaa wa Askofu Gwajima ambapo kati yao 2 ninafanya nao kazi ofisi moja, idara moja. Na hao wote ni wachungaji wa kikundi (Ministry pastors) wa kanisa la Ufufuo na Uzima.

Aliamini huenda angerithi mikoba ya Magufuli 2025 lakini Magufuli ametangulia mbele za haki.

Je, atasubiri mpaka 2030 pindi atakapomaliza Rais Samia Suluhu?
Hapana.

Hataweza kusubiri 2030 bali atajaribu karata yake ya bahati 2025.

Msitegemee 100% kuwa Gwajima atamuunga mkono Rais Samia Suluhu kwa sasa.

Gwajima mtu mwenye akili nyingi anaweza kuipiga ngome ya mama na ikapigika. Ngoja tusubiri.

Hii ni tetesi hivyo naomba msiufute huu uzi, hauna dhamira ya uchochezi.

Aanze na kusema alisoma wapi A-level na alisoma na nani?
 
Back
Top Bottom