Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakwenda Kupanua Huduma Kama Wakati Anautaka Ubunge😂😁😀😄😃😅😅Gwajima anafaa Sana kuchukua nchi hii
Wwe inaonekana unaogopa sana kifo, usiogope sana kifo, maana kuna Watu wanalala tu wakiwa wazima wa afya na kifo kinawakuta usingizini! Kifo hakikwepeki ndg muda wowote kikikufika huna ujanja hata Kama umezungukwa na ma Dakitari Bora wa Dunia,utakwenda tu kwa Sir God bila ubishi!!
Kama wakitutumia polisi tena kuiba uchaguzi kama mwaka jana basi tutakuwa na rais wa kwanza duniani mcheza porn! Hii ni taarifa njema kwa CHAPUTA.Habari!
Hili jambo nililisikia 2020 toka kwa waumini 2 wa Gwajima.
Mimi niko karibu na waumini kadhaa wa Askofu Gwajima ambapo kati yao 2 ninafanya nao kazi ofisi moja, idara moja. Na hao wote ni wachungaji wa kikundi (Ministry pastors) wa kanisa la Ufufuo na Uzima.
Aliamini huenda angerithi mikoba ya Magufuli 2025 lakini Magufuli ametangulia mbele za haki.
Je, atasubiri mpaka 2030 pindi atakapomaliza Rais Samia Suluhu?
Hapana.
Hataweza kusubiri 2030 bali atajaribu karata yake ya bahati 2025.
Msitegemee 100% kuwa Gwajima atamuunga mkono Rais Samia Suluhu kwa sasa.
Gwajima mtu mwenye akili nyingi anaweza kuipiga ngome ya mama na ikapigika. Ngoja tusubiri.
Hii ni tetesi hivyo naomba msiufute huu uzi, hauna dhamira ya uchochezi.
Nchi Ngumu Sana Hii 😂😁😀😅😅Sawa tumejua una gari subiri mapovu 😂
Jibu kwanza ndipo uniulize. Lakini niseme tu serikali kupitia wataalamu wake wa afya imethibitisha uwa chanjo ni salama na inaweza kutumika. Sasa na wewe umetumia wataalamu gani kuonyesha chanjo iliyoletwa Tanzania siyo salama?Wewe na huyo bibi yako samia mmefanya utafiti gani kujua kuwa chanjo ni salama?
Anaendesha Gari Yake😃😂😁😀Tupe shule kdgo
Sasa kama umechanja na unavaa mask hiyo ndo nini sasa maana huna tofauti na ambaye hajachanjwa....maana yake hiyo chanjo ni ya mashaka mashaka tu halafu unavyosema napinga chanjo kama mwendazake aiii nimesema bayana kwamba sipingi chanjo zote napinga hizo chanzo cha mrna na nachoangalia ni usalama wa chanjo....siwezi kuchoma kitu ambacho ni majaribio brother ambacho hata hakijawa approvedPURE LIES! sasa kama wataalamu wanakwambia hata kama umechanja bado ni muhimu kuvaa masks unataka kuwapinga? Kwa utaalamu upi uliokuwa katika PANDEMIC diseases hadi upinge? Usivae mask wala usipate chanjo soon utamfuata mwendazake. Kifo unakijua na makaburi pia unayajua lakini USIPOTOSHE kwa kuandika uongo humu.
Na ubaya wa MRNA vaccine ni kwamba madhara yake yapo mpaka miaka 20 baadae tofauti na covid vaccines nyingine ambazo hazitengenezwi ktk format ya mrnaNafikiri tuanze kubishana kwa vitendo. Kuna makataratasi yameshaandiwa na unasain kwamba serikali haitawajibika kwa madhara yatakayojotokeza na ni hiari. Mzigo uko tayari na tutaanza na U-VCCM, SPIKA, WABUNGE, RC, DC, Wakurugenzi halafu tupate break ya miezi mitatu tuone Kama kuna breaking nyuz
Sasa kama umechanja na unavaa mask hiyo ndo nini sasa maana huna tofauti na ambaye hajachanjwa....maana yake hiyo chanjo ni ya mashaka mashaka tu halafu unavyosema napinga chanjo kama mwendazake aiii nimesema bayana kwamba sipingi chanjo zote napinga hizo chanzo cha mrna na nachoangalia ni usalama wa chanjo....siwezi kuchoma kitu ambacho ni majaribio brother ambacho hata hakijawa approved
Sio nchi zenye maadili,nchi zenye vyombo vya usalama makini na vinavyotambua wajibu wakeHii nchi hata Pablo Escobar angekuwepo angegombea urais...
Nchi zenye maadili Gwajima angekuwa jela siku nyingi
Sasa kama umechanja na unavaa mask hiyo ndo nini sasa maana huna tofauti na ambaye hajachanjwa....maana yake hiyo chanjo ni ya mashaka mashaka tu halafu unavyosema napinga chanjo kama mwendazake aiii nimesema bayana kwamba sipingi chanjo zote napinga hizo chanzo cha mrna na nachoangalia ni usalama wa chanjo....siwezi kuchoma kitu ambacho ni majaribio brother ambacho hata hakijawa approved
Habari!
Hili jambo nililisikia 2020 toka kwa waumini 2 wa Gwajima.
Mimi niko karibu na waumini kadhaa wa Askofu Gwajima ambapo kati yao 2 ninafanya nao kazi ofisi moja, idara moja. Na hao wote ni wachungaji wa kikundi (Ministry pastors) wa kanisa la Ufufuo na Uzima.
Aliamini huenda angerithi mikoba ya Magufuli 2025 lakini Magufuli ametangulia mbele za haki.
Je, atasubiri mpaka 2030 pindi atakapomaliza Rais Samia Suluhu?
Hapana.
Hataweza kusubiri 2030 bali atajaribu karata yake ya bahati 2025.
Msitegemee 100% kuwa Gwajima atamuunga mkono Rais Samia Suluhu kwa sasa.
Gwajima mtu mwenye akili nyingi anaweza kuipiga ngome ya mama na ikapigika. Ngoja tusubiri.
Hii ni tetesi hivyo naomba msiufute huu uzi, hauna dhamira ya uchochezi.